Zoezi la kuaga Mwili wa Askofu Dr. Mosses Kulola linaendelea hivi sasa CCM Kirumba.

Jeneza_1e878.jpg
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Askofu Dr. Mosses Kulola
Zoezi la Kuaga mwili wa Marehemu Askofu Dr. Mosses Kulola linaendelea hivi sasa katika Uwanja wa CCM Kirumba na Mwisho itakuwa ni Saa 10:00 Jioni, na hii ni kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi ya Askofu Dr. Mosses Kulola.
Mwili wa Marehemu utazikwa kesho Siku ya Jumatano September 4, 2013 katika Kanisa la EAGT Bugando.
Imetolewa na M/Kiti - Kamati ya Mazishi
0754 394337/0688 857629 

Comments

Popular posts from this blog