PICHA NNE ZA KWANZA NAMNA FIESTA INAVYOENDELEA MUDA HUU SHINYANGA

DSC_0248

Show ndio kwanza imeanza hapa kwenye uwanja wa Kambarage 87.5 Shinyanga mtu wangu ambapo wakali kama Ney wa Mitego, Juma Nature, Linah, Stamina, Young Killer, Dudubaya, Godzilla, Nikki wa II, Joh Makini na G Nako ni baadhi tu ya watakaoonekana kwenye stage usiku huu hapa Shy Town.
DSC_0247
DSC_0243
DSC_0241
DSC_0238

Comments

Popular posts from this blog