WADAU WA UTOAJI HAKI WA CHAMA CHA MAJAJI WANAWAKE NCHINI WAKUTANA KUJADILI UTOKOMEZAJI WA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YANAYOAMBATANA NA RUSHWA YA NGONO
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini
(WAMA),mama Salma Kikwete (kulia) akizungumza na washiriki wa warsha ya
utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana
na rushwa ya ngono mara baada ya kukabidhiwa kitabu cha mwongozo wa
namna ya kushughulikia mashauri mbalimbali ya kisheria alichokabidhiwa
na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania Mh. Jaji Engera Kileo leo
jijini Dar es salaam. Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA)
mama Salma Kikwete akifungua warsha ya siku 1 ya utoaji Haki juu ya
kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono
iliyoandaliwa na Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) leo jijini
Dar es salaam.
Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA)
mama Salma Kikwete (kushoto) akizungumza jambo na Bi. Salome Anyoti
Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Jinsia, Usawa
na Uwezeshaji wa Wanawake leo jijini Dar es salaam.
Baadhi
ya Washiriki wa warsha ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya
ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono wakiwemo waheshimiwa
Majaji wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa wakati wa
warsha hiyo ya siku 1. Washiriki
wa warsha ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka
yanayoambatana na rushwa ya ngono wakiwa katika picha ya pamoja na mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) leo
jijini Dar es salaam. Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA)
, mama Salma Kikwete (kulia) akiagana na viongozi wa Chama Cha Majaji
Wanawake Tanzania mara baada ya kufungua wa warsha ya siku 1 ya utoaji
Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na
rushwa ya ngono.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment