MERKEL APENDEKEZA MARUFUKU YA SILAHA MISRI
- Get link
- X
- Other Apps
Amesema suala hilo litajadiliwa kati ya Ujerumani na washirika wenzake wa Umoja wa Ulaya katika mkutano utakaofanyika siku chache zijazo. Umoja wa Ulaya utakuwa na kikao chake cha kwanza cha mazungumzo ya dharura kutokana na umwagaji damu nchini Misri uliozusha wasiwasi mkubwa huku ukionya kwamba utaangalia upya uhusiano wake na nchi hiyo iliokumbwa na ghasia.
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment