Bibi kizee mchawi adondoka wakati akiwanga saa mbili usiku

 
 
Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi. Ni aliyekaaa katikati.

...Akipewa chakula, wali na maharage kutoka kwa wasamaria wema.

  Akiwa kapakatia sahani la wali aliopewa.
Watu waliokusanyika kumshangaa.
 
BIBI mmoja ambaye hakuweza kupatikana jina lake mara moja, jana majira ya saa mbili usiku maeneo ya Chanika, jijini Dar es Salaam alidaiwa kuanguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali kama anavyoonekana pichani.

Comments

Popular posts from this blog