DIVA WA CLOUDS FM AJIPIGA TATOO YA KICHINA KIUNONI...


Katika  kile  kinachotafsriwa  kuwa  ni  harakati  za  kulimwagilia  maji  na  marashi  penzi  lake  kwa  prezzo, Diva  wa  clouds fm  sasa  ameamua  kujipiga TATOO YA  KICHINA  kiunoni  ili  kumchanganya  mwanakaka  wa  Kenya  anayegombaniwa  na  warembo  kibao...

Diva amejikuta  katika  ugomvi  mkubwa  na  warembo  wa  Kenya  ambao  wanadai  kunyang'anywa   mpenzi  wao.Miongoni  mwa warembo hao  ni Hudahh  aliyekuwa  mshiriki  wa  Big Brother mwaka huu  akiiwakilisha  Kenya...

Kabla  ya  kujipiga  tatoo ya  kichina  kiunoni, Diva  aliwahi  kujianika  akiwa  nusu  uchi  huku  shanga  zake  zikiwa  hadharani.
 Uamuzi  huo  aliufanya  ili  kulipiza  kisasi  kwa  mke  mwenza Huddah  ambaye  naye  alijianika  mtupu  na  kumtaka  Diva afanye  hivyo  pia  kama  ana mapenzi  ya  dhati  kwa  Prezzo

Comments

Popular posts from this blog