MAELFU NA MAELFU YA WATU WAJITOKEZA MPENDWA WETU ALBERT NGWEA.....SALAMU ZA MWISHO ZIMEANZA KUTOLEWA


Diamond Platnumz akipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima zake za mwisho.


Rais wa Chama cha Wanamuziki Nchini Tanzania akitoa neno la Shukurani kwa wananchi walifanikisha shughuli nzima

maelfu ya wananchi wakielekea kutoa heshima zao za mwisho
Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho



Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by.
Baadhi ya wasanii wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.








hili ndo gari maalumu la kusafirisha mwili wa marehemu toka dar es saalam mpaka mkoani morogoro

Comments

Popular posts from this blog