M 2 THE P AKILIA KWA UCHUNGU WAKATI WA KUMUAGA ALBERT NGWEA MOROGORO MCHANA HUU


 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
M2  THE P amefanikiwa  kutoa  salamu zake  za  mwisho  kwa  rafiki yake  kipenzi  ambaye  alikuwa  naye  huko  Afrika  kusini  tena  walikuwa  ndani  ya  chumba  kimoja  kabla ya  mauti  kumkuta Ngwea....!! Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa  amefichwa  na  kudanganywa  kuwa  Ngwea  alikuwa  ametangulia  Tanzania. Baadaye  Maggie  alilazimika  kumweleza  ukweli...... ...
TUPE MAONI YAKO 
 

KADA WA CHADEMA ALIMWA SHOKA LA MGONGONI NA WATU WANAODAIWA KUWA NI WALINZI WA CCM

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mtu  mmoja  anayedaiwa  kuwa  ni  kada  wa CHADEMA  amelimwa  shoka  la  mgongoni  na  watu  wanaodaiwa  kuwa  ni  walinzi  wa  CCM wakati  wa  harakati  za  kampeni  za  uchaguzi  wa  udiwani  huko  Arusha.. Mtu  huyo  aliyefahamika  kwa  jina  moja  la  Amos  amelazwa  katika  hospitali  ya  Mount Metu  mkoani  humo... Mtandao  huu  unaendelea  kufuatilia  chanzo  halisi  na  undani ...
TUPE MAONI YAKO

Comments

Popular posts from this blog