Posts

Showing posts from August 10, 2013

Huyu ndiye Paula Paul, binti wa Kajala

Image
Paula Paul, binti wa muigizaji Kajala Masanja… Beautiful; like mother like daughter

KAJALA, AUNT, BI MWENDA WAJIKABIDHI WATOTO YATIMA

Image
Kajala Masanja akiwa na mtoto. MASTAA  wa filamu nchini, Aunt Ezekiel, Kajala Masanja na Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ kila mmoja amejikabidhi mtoto yatima ili amlee. Wasanii hao walijikabidhi watoto hao nyumbani kwa Aunt Ezekiel maeneo ya Mwananyamala jijini Dar, kulipokuwa na shughuli ya futuru hivi karibuni ambapo Aunt aliwaalika watu mbalimbali wakiwemo watoto hao wa Kituo cha Watoto Yatima, Magomeni.Na Global Publisher Baada ya kumaliza kufuturu, wasanii hao walijikusanya kwa pamoja na kupiga picha na watoto hao ambapo kila msanii alichagua mtoto wake na kuahidi kwenda kila wakati kumtembelea kituoni na kumpa huduma muhimu kama mwanaye. Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ naye akiwa na mtoto aliyeahidi kumlea. Watoto hao walipokuwa wamebebwa na mastaa hao walionekana wenye nyuso za furaha na wakati mwingine walikuwa hawataki kushuka chini wakitaka waendelee kubebwa na mastaa hao.

MWANAMKE ACHOMA MOTO RANGE ROVER SPORT YA BOYFRIEND WAKE KISA WIVU

Image
Wivu noma sana , Dada mmoja huko Mbezi amelitia Kiberiti Gari la mpenzi wake aina ya Range Rover Jipyaaa Baada ya kukuta Condom iliyotumika kwenye gari hilo , Mashahidi wanasema wakati analiwasha moto alikuwa akisema kuwa hilo gari ndio linakutia kiburi mpaka kutembea na wanawake zako ndani ya gari , tuone sasa ukitaka katembee nao vichakani.... Whats your tak

MAGOROFA YABOMOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Image
aSKARI POLISI WAKIWA KATIKA DORIA WAKATI WA UBOMOAJI WA MAGOROFA KATIKA BARABARA YA SAMORA LEO ENEO LA MAGOROFA YANAYOBOMOLEWA KATIKATI YA MJI BARABARA YA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM MAGOROFA HAYO YALE AMBAYO YAMESHA KUWA MAGOFU LEO   Subscribe for updates: Email: Submit

WATOTO WATATU WATEKETEA KWA MOTO- MAMA YAO AZIRAI

Image
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Leonard Paul Watoto watatu wakiwamo wawili wa familia moja, wamekufa kwa kuungua kwa moto usiku wa kuamkia jana na kusababisha mama yao kuzirai na kulazwa kituo cha Afya cha Katoro kwa matibabu. Tukio hilo lilitokea katika Kitongoji cha Ludete Kijiji  cha Katoro Wilaya ya Geita  mkoani hapa. Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni moto wa kibatari kushika  godoro katika nyumba waliyokuwa wanalala watoto hao  na wenzao wengine wawili wenye umri kati ya miaka 13 na 15 ambao wamenusurika. Afisa Mtendaji wa Kata ya Katoro, Aloyce Kamuli, aliwataja watoto wa familia moja  waliokufa kuwa ni Japhet Boniface (5); Clavery Boniface (8) na wa jirani yao,  Farida Binamungu (8) alikuwa na mazoe ya kwenda kulala kwenye nyumba hiyo. Kamuli alisema kuwa  Clavery na Farida walikufa baada ya kufikishwa Hospitali ya Wilaya ya Geita na Japhet alikufa papohapo baada y

KIJANA ATIWA MBARONI KWA KUFANYA MAPENZI NA NG'OMBE HUKO KILIMANJARO..... ANADAI KILA AKITONGOZA HUKATALIWA

Image
JESHI la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia kijana mwenye umri wa miaka 15 mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kelamfua iliyopo wilayani Rombo baada ya kukutwa akimwingilia ndama wa ng’ombe. Akithibitisha, Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alisema tukio hilo lilitokea Agosti 3 mwaka huu saa 5:10 usiku nyumbani kwao Kelamfua. Boaz alisema kuwa baba wa kijana huyo ndiyo aliyemfumania kwa kuwa alikuwa akimfuatilia kwa muda mrefu na ndipo alipomkamata.   Alisema kuwa kabla ya tukio hilo kijana huyo aliwahi kukutwa akifanya mapenzi na kuku na kuanzia hapo mzazi wake huyo akaanza kumfuatilia na hivyo kumkamata akifanya mapenzi na ng’ombe ambaye ni ndama.   Kamanda alisema kuwa baada ya kukamatwa kijana huyo alifikishwa kituo cha polisi na kuhojiwa ambapo alikiri kufanya kitendo hicho na kueleza kuwa amekuwa akitafuta wasichana bila mafanikio. Aidha aliongeza kuwa kila msichana anayemtakia neno la mapenzi ameku

DIAMOND ALIVYOFANYA TENA MAMBO MOMBASA AWAACHA BADO NA KIU

Image
huyu ndie The PLATINUMZ Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kumaliza mfungo huu waRamadhani pia kutuweka salama hadi leo..Sikukuu yangu nimeilia nchi Kenya lakini nilikuwa na kibarua kukonga nyoyo za maelfu ya mashabiki zangu jijini Nairobi.Kwangu hii ilikuwa mara ya pili kufanya show  kenya,lakini ni mara ya kwanza kabisa kufanya show jijini Nairobi,kutokana na kiu ya mashabiki zangu nchini humo nikaona zawadi ya Eid hii iwadondoke wao. .It was crayzz yanii niliposhuudia umati wa  watu wakiimba nyimbo sambamba na mimi,na kufurika hadi getini kiukweli nilifurahi sana kwa hali iliyokuwa usiku wa jana..... Nikiwa na team yangu nzima ya wasafi,stejini na silaha zangu 4 hatari kwenye Mashine alikuwepo Dj Rommy Jones kama kawaida stage manager Qboy msafii alikuwepo kuhakikisha usalama upo saawia kabisa.....!! UNAWEZA CHEKI PICHA KADHAA ZA TUKIO ZIMA  LA SHOW NCHINI KENYA KWENYE SIKUKUU YA EID... .. Backstage nikisubiria go ahead nikafanye mauja

MTOTO AZALIWA NA UVIMBE WA MKIA KICHWANI MKOANI MARA....MSAADA WAHITAJIKA KUYAOKOA MAISHA YAKE

Image
  MTOTO mchanga wa kike wa eneo la Sabasaba wilayani Tarime  Mkoa wa Mara, Maria Samwel anatakiwa kuhamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando ya jijini Mwanza kwa ajili kuondolewa uvimbe wa ajabu uliopo kisogoni. Mganga Mfawidhi wa Wilaya, Dk. Marco Nega alimwambia  mwandishi wetu  kuwa walifikia uamuzi wa kumhamishia mtoto huyo Hospitali ya Rufaa ya Bugando baada ya kubainika kuwa tatizo lake hilo ni kubwa.   “Mtoto huyu alizaliwa na tatizo hilo Julai 14, mwaka huu na atakwenda kutibiwa bure Bugando ili  kuokoa uhai wake,” alisema Dk. Nega. Mwandishi wetu alizungumza na baba mzazi wa mtoto huyo, Samwel Ryoba, mkazi wa Sabasaba mjini hapa akasema mwanaye anahitajika kufanyiwa upasuaji lakini walichelewa kumpeleka Bugando kutokana na ukata. ‘’Tumechelewa kumpeleka mtoto wetu Bugando ili akaondolewe tatizo hilo kwa kupasuliwa kutokana na kukosa fedha za matumizi wakati tukiwa Mwanza licha ya kuambiwa kuwa mtoto atatibiwa bure.   “Tunaomba msaada wa fedha y

JAPAN YATANGAZA SERA MPYA KWA TANZANIA KATIKA UWEKEZAJI

Image
Japan yatangaza sera mpya kwa Tanzania                  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na  Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda wa Japan, Mheshimiwa Toshimistu Motegi alipokutana na kufanya mazungumzo naye  Ikulu, Dar Es Salaam, leo Agosti 10, 2013                 ·          Sasa Tanzania kuwa nchi lengwa ya Japan ·          Japan itasaidia Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji katika Afrika ·          Kushiriki maboresho Reli ya Kati ·          Kusaidia kupanua na kuboresha Bandari ya Dar Es Salaam ·          Viwanda vya Japan kujengwa nchini kikiwemo cha kutengeneza pikipiki za Honda ·          Ni matokeo ya Ziara ya Rais Kikwete Japan JAPAN imeamua kuanzisha ushirikiano mkubwa zaidi na Tanzania ambako nchi hiyo itaifanya Tanzania kuwa nchi lengwa ya Japan na kuiwezesha kuwa kitovu cha biashara na uwekezaji katika Afrika kwa nia ya kuiwezesha kuwa na uchumi ulioim

MAZISHI YA ALIYEKUWA KAIMU KAMANDA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MKOA WA KATAVI , KATIKA KATA YA MZUMBE, WILAYA AYA MVOMERO

Image
Baadhi ya maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji waliwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Jeshi hilo mkoa wa Katavi, Mrakibu msaidizi, Mohamed     Madulika,    mara baada ya kifikishwa nyumbani kwake , Kijiji cha Mikongeni, Kata ya Mzumbe, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro kwa ajili ya utaratibu wa mazishi , Madulika alifariki dunia kwa ajali ya gari Augoti 5, mwaka huu ,Wilayani Sumbawanga wakati akielekea mkoani Katavi akitokea Jijini Dar es Salaam na mazishi yake yamefanyika Augost 8, mwaka huu kijijini hapo. Kuswaliwa kwa Mwili kabla ya kwenda Mazikoni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,Faustine Shilongile akiweka udongo kaburini. Mazishi yakiendelea. Luteni Kanali , Lidwino    Simion Mgumba, Naibu Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini,    Augt 8, mwaka huu    akiweka udogo ndani ya     kaburi anamozikwa Kaimu Kamanda wa Jeshi

BREAKING NEWZZZ :SHEIKH PONDA AJERUHIWA KWA RISASI MJINI MOROGORO

Image
    Habari zilizotufikia muda huu  Sheikh Ponda  ajeruhiwa kwa risasi mjini morogoro katika Mkutano wa Muhadhara, Machafuko hayo yalitokea baada ya kuisha kwa Muhadhara huo wakati wakeielekea Katika Msikiti wa Mungu mmoja wakati wako njiani walipigwa mabomu ya machozi na Kupigwa Risasi na ndipo Sheikh Ponda alipo jeruhiwa…Hadi sasa Haijajulikana Wapi alipo.CHANZO CLOUDS

ANGALIA PICHA ZA AWALI MHADHARA ALIOFANYA SHEIKH PONDA MOROGORO LEO

Image
 PICHA BAADA YA MABOUMU YA MACHOZI KUPIGWA Leo kwenye kongamano la kuita umoja wa waislam katika yanayo wakabili waislam mkoani Morogoro..Kongamano lillienda vizuri likiwa limepambwa na mashekh wakubwa wakubwa kama vile Riko,Mwaipopo,Kondo pamoja na shekh Ponda.Shekh ponda alikuwa wa mwisho kutoa mawaidha na aliaga waislam ili aweze kuelekea Msikiti wa Mungu mmoja hivyo waislam walitaka kumsindikiza Shekh Ponda mpaka Msikiti wa Mungu mmoja.Maaskari waliovalia nguo za fild force wakiwa kwenye defender waliingia na kuanza kuifuata gari kwa nyuma.Waislam waliendelea kuizunguka gari ya Shekh ponda ila maaskari walianza kupiga mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi kisha kuifukuza gari ya shekh Ponda. at Saturday, August 10, 2013

MWANAMKE APOTEZA NYETI ZAKE(UKE)

Image
Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya kula uroda na mwanaume mmoja katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe uko kigoma, mwanamke huyo alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana nae ni mkazi wa kigoma,baada ya muda mama huyu akiwa ametokomea alijikuta amezungukwa na umati mkubwa. Police walifika maeneo ya tukio na kumchukua huyo mama,tunafanya jitihada za kumpata msemaji wa jeshi la police,na ikibidi taarifa rasmi ya daktari kudhibitisha kama kweli hana sehemu zake za siri panda mama tukifika huko tutajua zipo au zimetoweka... akiwa hajaamini kwa kile kilichomtokea kuwa kweli amepoteza sehemu za siri na ndio  akipelekwa polisi.  Epuka wizi usiokuwa na sababu yoyote kama ni mpenzi wako. TUPE MAONI YAKO

AMA KWELI DUNIA IMEISHA;ANGALIA PICHA IKWAONYESHA WANAFUNZI WA PRIMARY WAKIFANYA MAPENZI VICHAKANI!

Image
by Phars   HEBU ONA HAWA WATOTO WANACHOKIFANYA.......AIBU!!! Now, children are beginning to do what is not supposed to be done or talked about at their age, but the blame we don't feel should be put on them, because most of them is from peer pressure, seeing it's too much in their daily lives that they now think its normal and so many other things. It was not long ago that we saw two students kíssing in class, guess that one was only a little. Here these two secondary school students are doing it in the forest within their school. These days, its not much of a big deal, and if people don't come to see what they are doing by allowing students watch bad movie which nollywood producers have began to show like this one "Bold 5 Babes" then the future will only be worse.

MSANII DIAMOND AFUNIKA MBAYA JANA AKIWA KWENYE SHOW MOMBASA

Image
  Diamond baada ya kuwasili Kenya alipokelewa kwenye gari hili Diamond Platinumz ambaye sikukuu ya Idd anafanya show ndani ya Mombasa, unaambiwa  ticket zote za show hiyo zimiesha kabla hata muda wa show haujafika. Habari kutoka kwa Hudda Monroe ambaye pia yupo Mombasa kwa ajili ya show,amesema kwamba ticket za kuingia KICC grounds kuona show ya Diamond are sold out. Big up to Diamond na crew nzima iliyondaa show hii.