MSANII DIAMOND AFUNIKA MBAYA JANA AKIWA KWENYE SHOW MOMBASA
- Get link
- Other Apps
Diamond Platinumz ambaye sikukuu ya Idd anafanya show ndani ya Mombasa, unaambiwa ticket
zote za show hiyo zimiesha kabla hata muda wa show haujafika. Habari
kutoka kwa Hudda Monroe ambaye pia yupo Mombasa kwa ajili ya
show,amesema kwamba ticket za kuingia KICC grounds kuona show ya Diamond
are sold out. Big up to Diamond na crew nzima iliyondaa show hii.
- Get link
- Other Apps
Comments
Post a Comment