Posts

Showing posts from September 24, 2017

Mke wa Lissu aamua kufunguka

Image
Nairobi. Kwa mara ya kwanza, Alicia Magabe ambaye ni mke wa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amezungumzia tukio la mumewe kushambuliwa kwa risasi na kudokeza kwamba haliwezi kuwa limetokana na sababu nyingine isipokuwa kazi ambazo amekuwa akizifanya. Pia amezungumzia kuhusu afya yake na kueleza kuwa bado siyo nzuri na kuwaomba Watanzania waendelee kumuombea. Mbali ya Alicia ambaye pia ni mwanasheria, dereva wa Lissu naye amezungumza akisema ameathiriwa kwa kiasi kikubwa na tukio hilo huku akiahidi kuripoti polisi mara baada ya kurejea nchini. Lissu ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), amelazwa katika Hospitali ya Nairobi tangu alipopelekwa huko baada ya kupigwa risasi akiwa ndani ya gari nje ya nyumba yake mjini Dodoma mchana wa Septemba 7 akitokea bungeni. “Watanzania wote wanajua Lissu maisha yake yote amekuwa ni mtetezi wa wanyonge na tukio hili amelipata kutokana na kazi zake hizo hivyo nawaomba tumuombee tu,” alise

NACTE: MAOMBI MAPYA AWAMU YA PILI KWA DIPLOMA NA CHETI YAMESHAANZA KUPOKELEWA

Image
ATTENTION Please read carefully the information in this page before attempting to do anything. WELCOME TO STUDENT’S ADMISSION VERIFICATION SYSTEM Welcome to Student’s Admission Verification System for Certificate and Diploma Applicants. The System allows you to apply for Admission for Further Education in Certificate and Diploma programmes for  academic year 2017/2018 . Currently Available Application Categories:- – Admission Verification for Certificate/DiplomaHealth and Allied Sciences (Including Community Health, Health Records etc) :-  Deadline 01/10/2017 Mafunzo ya Ualimu :-  Deadline 01/10/2017   IMPORTANT NOTES: You are advised to select your most preferred category according to prior qualifications that you hold, because your selection depends on your choices and qualifications. To proceed with the this application you must have the following 1. Valid and Working Email Address2. Valid Phone Number3. Payment Mpesa Confirmation Code   Read Guide

CHUO CHA TUMAINI JIPYA MAFINGA KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO

Image
 MKUU WA CHUO CHA AFYA CHA  TUMAINI JIPYA MAFINGA ANA FURAHA KUWATANGAZIA KUWA CHUO KIMEANZA KUPOKEA MAOMBI YA MASOMO KWA MWAKA WA MASOMO 2017/18 KATIKA KOZI ZIFUATAZO.                                                      1. CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE YAANI TABIBU MSAIDIZI KWA MIAKA MIWILI Sifa za mwombaji: Awe na ufaulu wa kidato cha nne kwa angalau alama D nne yakiwemo masomo ya sayansi yaani Fizikia (Physics), Kemia (Chemistry) na Baolojia (Biology) 2. CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH (Uhudumu wa afya ngazi ya jamii) MWAKA MMOJA Sifa za mwombaji: Awe na ufaulu wa kidato cha nne kwa angalau D nne likiwemo somo la Baolojia (Biology) MUHULA MPYA UTAANZA MWEZI SEPTEMBA, 2017. YOTE HAYO YANAZINGATIA MWONGOZO WA WIZARA YA AFYA NA NACTE. CHUO KIMESAJILIWA KWA USAJILI WA KUDUMU KWA NAMBA 144. ADA ZETU NI NAFUU NA ZINALIPWA KWA AWAMU. FOMU ZINAPATIKANA CHUONI TUMAINI JIPYA MAFINGA – IRINGA AU KWENYE WEBSITE YA CHUO. www.tumainijipya.ac.tz Kwa maulizo tafadhali wasiliana na