Posts

Showing posts from March 23, 2014

MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.

Image
Mtalii  Jeanne Traska kutoka Ujerumani Bi.Jeanne Traska kutoka Ujerumani na Muongoza Wageni Athumani Juma wakiwa katika Lango la Marangu pamoja na vifaa mbalimbali walivyokwama navyo katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro mara baada ya kuokolewa. Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani  pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi  Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la  kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza  kuwanasua majira ya kumi na moja jioni. Licha ya hali mbaya ya hewa iliyotokana na mawingu mazito katika eneo hilo, Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kukabiliana na hali hiyo na kuweza kuwanasua na kisha kuwapeleka katika kituo cha Horombo majira ya saa mbili usiku ambapo walichukuliwa na gari kupitia njia maalum ya uokoaji na kufika katika Lango

BREAKING NEWSS:::WATU WAWILI WAUAWA KANISANI KENYA

Image
  Baadhi ya waumini wa Kanisa la Joy Jesus wakiwa nje ya kanisa baada ya shambulio hilo. WATU wawili wameuawa wakati wengine kumi wakijeruhiwa baada ya mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa la Joy Jesus huko Lokoni, karibu na Mombasa nchini Kenya. Maafisa wa polisi katika wilaya ya Likoni iliyopo kusini mwa Mombasa wamesema kuwa jambazi huyo alilivamia kanisa hilo na kuanza kuwafyatulia risasi waumini hao kiholela. Bado haijafahamika kama muuaji huyo ana uhusiano na vikundi vya kigaidi

TATIZO LA HARUFU MBAYA UKENI

Image
Tatizo la uchafu ukeni Leo tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri. Kitaalamu hali ya mwanamke kutokwa na majimaji yenye rangi nyeupe au ya njano,  ni hali ya kawaida na wala siyo tatizo endapo majimaji hayo siyo mazito sana na wala hayatoi harufu mbaya. Lakini endapo majimaji yanayotoka yapo katika hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia, yanatoa harufu kali na yanawasha, basi hiyo ni ishara ya ugonjwa uitwao Vaginosis. Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha na kuutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili. Pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria au fangasi wanaoleta magonjwa. Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa na rangi nyeupe au ya njano. Pia huwa na asidi ya Lactic ambayo huzuia kuzaliana kwa vijidudu vya maradhi na huzalishwa kwenye tezi za B

ZIFAHAMU FAIDA NA HASARA ZA STYLE HIZI 6 ZA KIUFUNDI KABLA YA KUFANYA TENDO LA NDOANA MWEZI WAKO

Image
JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MWEZI KUBORESHA PENZI.                                                                                                  1.FLATIRON FLATIRON Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke alale kitandani uso ukiangalia chini makalio yaangalie juu, asisahau kubinua nyonga/makalio juu kidogo(kama mvivu kidogo aweke mto(pillow) chini ya kinena),kujibinua kwake kutaongeza raha na utamu zaidi Faida Za Hii Style Mwanamke anapata nafasi ya kuenjoy Raha na Utamu akiwa amerelax,na kwakuwa miili inakuwa imebanana sana,mashine ya mwanaume itaonekana kubwa kidogo Maujanja Ya Ziada Mwanaume awe anapump taratibu kwa juu sio lazima sana aingie deep,akumbuke kuhema vizuri asije akachoka haraka   FLATIRON How ?. You lie face down on the bed, legs straight, hips slightly raised. Benefit This position creates a snug fit. Your guy’s stuff will seem even larger. Bonus Some shallow thrusts and deep breathing will help him last longer.

HIZI NI TABIA 27 ZA WANAUME/­ WAVULANA WANAOJUA KUPENDA

Image
  1. Hupiga simu mara kwa mara kumuulizia mpenzi wake anaendeleaje 2. Hujihisi vibaya pale anaposahau siku ya kuzaliwa (birthday) au siku mliyoanza mahusiano (anniversary) na huomba msamaha  3. Hushukiza na zawadi mbalimbali hata kama sio muda maalumu   4. Mara kwa mara hukuambia" NAKUPENDA">>>"I Love You " 5. Anajua kufanya mapenzi na wewe 6. Anajua jijnsi ya kujali,kukumbatia, kuchumu nakutimiza mahitaji ya kimahaba akwa mpenzi wake 7. Huhisi kuumia pale mpenzi wake anapopitia hali ngumu.           8. Hupenda kuona mpenzi wake ana furaha na hutamani kufurahi pamoja 9. Siku zote hutafuta muda mzuri kutumia pamoja na mpenzi wake                      10. Kamwe hawezi kumpiga au kumuumiza kisaikolojia mpenzi wake 11. Huoa bila kusubiria sanaaaa...            12. Husamehe na kusahau pale anapoumizwa hisia zake 13. Hatotumia siri au udhaifu wako kukufanyia mabaya 14. Hatotangaza kama mpenzi wake ana ma

UNFORTUNATE LOVE SIMULIZI SEHEMU YA 1.

Image
katika maisha yangu ya kimapenzi nilishwahi kutoka na kufanya mapenzi na wanaume wanne na nikadanganywa, nikaumizwa na kukosa raha, nilikuwa natumiwa kama chombo starehe pasipo kujijua mimi mwenyewe ila ni mwanaume mmoja tu ambaye alinionjesha utamu wa mapenzi na kunipenda, kunijali na katika mikono yake nilihisi kama ni mwanamke wakipekee sana kuzidi wengi ne….. Ni kwasababu gani niliwahi kufanya mapenzi na wanaume wanne na ni mwanaume gani ndiye aliyenipa na kunionjesha utamu wa mapenzi??? Sikiliza kwa makini nikuelezee yalionitokea mpaka ikawa hivyo. SEHEMU YA 1. Naitwa sarah james, mimi ni mtoto wa pili wakike kutoka kwenye familia ya bwana James ambaye ni baba yangu mzazi na Anna amabaye ni mama yangu mzazi, Kwenye familia yetu tupo wanne; mimi; baba yangu; mama yangu na dada yangu aitwaye suzy.   Mimi pamoja na familia yetu tunaishi kinondoni, morocco na familia yetu ni tabaka la kati kwa maana sio maskini sana wala sio matajiri sana.

A Kenyan lady Cecile got her facebook account shutdown after posting nude pics and offering men money

Image
A Kenyan lady Cecile Chikitta got her facebook account shutdown after posting nude pics and offering men money in exchange for sex.. She posted the photos above and wrote any broke handsome dude around nairobi who wants to make some few cash this Friday night for just making me scream all night long at my house..you must be ready for an H:V-test coz I want it raw & dry no c*ndoms. Its been long since I got f****d!! oh my I am so h*rny even wet now.  -She even posted bundles of cash to back up her claims.Ofcourse she got so many willing  magas  participants ...Due to their no- nudity policy, the account was deactivated ... More below

Loveness Diva atukanwa baada ya kumtaka kimapenzi Lulu Michael...."Nampenda sana huyu binti, ningekuwa mwanaume ningemtongoza"

Image
Mwanadada Loveness aka Diva the Boss mtangazaji wa Clouds fm kipindi cha Ala Za Roho, kinachozungumzia maswala ya mapenzi na mahusian juzi usiku alijikuta akielezea hisia zake kwa Muigizaji Elizabeth Michael a.k.a Lulu na kudai kuwa anampenda sana... "Kutoka moyoni nampenda sana huyu binti, ningekuwa mwanaume ningemfuata na kumtongoza, sema mimi ni mwanamke tu" Hii ilikuwa kabla ya kucheza wimbo wa atatamani ambayo ni version ilioimbwa na Lulu. Wimbo halisi uliimbwa na Linnah msanii kutoka THT. Hata hivyo kauli ya Diva imepokelewa kwa hisia tofauti na watu hasa katika mitandao ya kijamii wakimponda Diva kuwa ni lazima atakuwa msagaji . Angalia baadhi ya comments za mashabiki mbalimbali kutoka page ya Bongoswagz

CHADEMA YAAHIDI MAKUBWA CHALINZE ENDAPO WATAICHAGUA

Image
 Mwenyekiti wa Baraza la Vijana  (Chadema) Mkoa wa Pwani, Elison Kinyaha amesema ili kudumisha maendeleo, upendo na amani ndani ya Jimbo la Chalinze, upo ulazima wa wakazi wa jimbo hilo kumchagua Mathayo Torongey katika uchaguzi mdogo unaotarajia kufanyika mapema Aprili 6, mwaka huu. Kinyaha alisema kutokana na uelewa mpana wa wakazi wa jimbo hilo ni wazi kuwa chama hicho ndicho kinachoweza kuibuka na ushindi kwani mtu anayegombea nafasi hiyo ni mpigania haki za wanyonge na anayetambua shida zinazowakabili kwa kipindi kirefu. Alisema kumpitisha mgombea huyo hawakukurupuka bali walitumia utashi na heshima kubwa iliyomo ndani ya uongozi wa Chadema, hivyo mpaka sasa wanatambua kuwa, kazi wanayoifanya sasa ya kampeni si ya kubahatisha bali ni kushika uongozi wa ubunge ndani ya Jimbo la Chalinze.  “Sisi leo tuko Kata ya Pera na Kijiji cha Chamakweza, tukiendelea na kampeni ambayo tuliizindua tangu Jumapili. Kikubwa ni kuzungumza na wananchi kwa ustaarabu

MREMBO ATAPIKA VYUPA, MISUMARI NA PINI AKIWA KANISANI

Image
  Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika  pesa  na vyuma. MSICHANA mwenye umri wa miaka 19, ambaye jina lake halikuweza kupatikana  mara  moja, anatapika pesa, vyupa, misumari, mayai na pini akiwa kanisani nchini Ghana. Pesa zilizotapikwa na msichana huyo.   Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.   Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo. Kwa mujibu wa habari zilizopatikana, msichana huyo alitoweka nyumbani kwao kwa muda wa wiki moja mapema Januari, mwaka huu na aliporejea ndipo alipoanza kufanya vitendo hivyo vinavyohisiwa kuwa vinatokana na imani za kishirikina.

BUNGE LAPITISHA SHERIA WANAUME KUOA WANAWAKE WENGI KADRI WAPENDAVYO

Image
Bunge nchini  Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo. Katika marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa Alhamisi iliyopita,ndoa zote zitatakiwa kusajiliwa na umri wa chini  wa mwanamke kuweza kuolewa umewekwa ili kuzuia ndoa za mapema  za watoto, hasa wasichana.  Siku hiyo ya Alhamisi Wabunge wote wanaume, ambao ni wengi, waliunga mkono kuondolewa kwa kipengele katika Sheria hiyo ya Ndoa kilichomtaka mwanaume afanye mashauriano na mkewe kwanza kabla ya kuoa mwanamke mwingine. Wabunge wanawake walilaani hatua hiyo,  walikuja juu na kususia kikao kwa kutoka nje wakidai Sheria hiyo haiwatendei haki wanawake