Posts

Showing posts from December 28, 2014

AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA SANA NA WANAUME

Image
WAPENDA USAWAA: ina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi niwanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu yakifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamiikwa asilimia 50 kwa 50 WANAOJUA MAPENZI :Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa niuwezo wa kuwatosheleza wenzi wao katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwasita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaumebila kujali sifa zao za nje au za ndani  . MARAFIKI :Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume.Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida naraha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, ni waungwana na wapenda amani  WAPENDA UWAZI: Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo nawapenda uwazi. Si we

DIAMOND NA ZARI MAHABA NIUE NDANI YA JIJI LA BUJUMBURA BURUNDI

Image
  Diamond is in Burundi for music performance this night, he took a flight with his allegedly new love interest Zari The Boss Lady.    BOFYA KUONA PICHA KIBAO>>

YULE MWANAMKE MNENE KULIKO ANAHITAJI KUJIKONDESHA ILI AFUNGE NDOA NA MPEZNI WAKE

Image
Although it is for love, for health reasons, we are in support of her losing weight. 38-year-old Charity Pierce who holds the current world record for fattest woman alive, has revealed plans to slim down, so she can walk down the aisle with her fiancé 22-year-old Tony Saur. Pierce weighs 56 stone (784 lbs). She has been home bound and is unable to walk without help. She plans to lose 20 stones for her dream wedding. “I’m determined not to have to get married at home – I want to be able to walk up the aisle. We both love country music so I plan to wear a wedding dress, cowboy boots and cowgirl hat and Tony will be in jeans and cowboy boots.” she says. Her doctors have advised her to lose weight because she is at risk of having a heart attack or a stroke and dying in her sleep. Tony who is nearly half her age, is helping her diet and finding a doctor who is willing to perform bypass surgery on her. Photo Credit:  Daily Star U K

JAMAA ALIYE BAKA WAZEE NA WATOTO AVIMBISHWA SEHEMU ZA SIRI

Image
jamaa raia wa nigeria ambaye ni bonge la maarufu mtaani kwao haswa katika shughuli nzima ya ubakaji haswa mabinti wadogo na wazee apata fresh ya shamba baada ya watu wasio julikana kumpiga juju a.ka. kipapai kutokana na kukerwa na tabia hiyo, na kuinesha msisitizo wame mvimbisha kor0dani zake na sehemu ya siri ili kumkomesha, vp adhabu hii inafaa kwa mijitu kama hii?? toamaoni yako

BREAKING NEWZ: MMILIKI WA NYUMBNI PARK AVAMIWA KUJERUHIWA NA KUPORWA FEDHA

Image
  Sehemu alizoathilika Mkurugenzi mtendaji wa Nyumbani Park & Samaki Sport Farida mess Matlou alivamiwa na majambazi na kumjeruhi.Tukio hilo lilitokea usiku wa Trh 19 kuamki 20 maeneo ya nyumbani kwake Kihonda. Kwa taarifa zilizofikia mtandao huu ni kwamba tayari watu wawili wamekatwa kuhusishwa na tukio hiloMkurugenzi huyu alivamiw ausiku wa saa saba BOFYA KUONA PICHA ZAIDI>>

ALIYEMPIGA RISASI PAPA JOHN PAUL NA KUTAKA KUMUUA AWEKA SHADA LA MAUWA KATIKA KABULI LA PAPA

Image
Mehmet Ali Agca aliyetaka kumuua papa John wa Pili mwaka 1981. Mwanamme mmoja raia wa Uturuki aliyempiga risasi na nusura amuue aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoliki papa John Paul wa pili mwaka 1981 ameweka maua kwenye kaburi lake katika makao makuu ya kanisa katoliki ya Vatican. Ziara ya Mehmet Ali Agca kwenye makao ya Vatican inafanyika miaka 30 tangu John Paul amtembelee gerezani na kumsamehe kwa kujaribu kumuua. Bwana Agca aliomba kukutana na kiongozi wa sasa wa kanisa katoliki papa Francis lakini hata hivyo ombi lake lilikataliwa Aliachiliwa kutoka gerezani nchini Italia mwaka 2000 na kisha baadaye akatumikia kifungo chengine cha miaka 10 nchini Uturuki kwa makosa tofauti. Hadi sasa sababu zake za kutaka kumuua papa John Paul hazijulikani. chanzo : bbc

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA SINGIDA MCHANA HUU KATI YA BASI LA ZUBERI NA COSTA...AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA

Image
Bus la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha  nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na  kuokoa majeruhi. Ni Mbele kidogo ya singida mjini.   Yaani costa imeisha na imeanguka miguu juu. Bado kuna abiria wapo chini ya hiyo costa. Ni ajari mbaya sana aisee.

FERI YASHIKA MOTO IKIWA NA ABIRIA 460

Image
Amri imetolewa ya kuwataka abiria kuondolewa kwa ferry iliyo na karibu abiria 460 ambayo ilishika moto ilipokuwa safarini kutoka nchini Ugiriki kwenda Italia. Abiria waliokuwa kweye ferry hiyo walipiga simu kwa vituo vya runinga nchini Ugiriki wakisema kuwa mawimbi makali na upepo unatatiza shughuli za uokoaji. Maafisa wa ulinzi wa pwani nchini Ugiriki wamesema kuwa ferry hiyo ya Norman Atlantic ilikuwa umbali wa kilomita 30 kutoka kisiwa cha Othonoi wakati walipotuma ujumbe. Vyombo vya habari nchini Italia vinasema kuwa moto ulianzia kwenye eneo la kuegesha magari. chanzo: BBC

BREAKING NEWS: NDEGE YA AIRASIA (QZ8501) IMEPOTEA LEO HII IKIWA NA WATU ZAIDI YA 160 IKITOKEA INDONESIA KWENDA SINGAPORE.

Image
(CNN) -- AirAsia Flight 8501 has lost contact with traffic control in Jakarta, Indonesia, the airline's crisis center said Sunday. "We have no further information. A crisis center has been set up. We are seeking more information to provide," the center said. ====== From BBC An AirAsia flight travelling from the Indonesian city of Surabaya to Singapore has lost contact with air traffic control, the company has said. Indonesian media say more than 160 people were on board the Airbus A320-200. The aircraft, flight number QZ8501, lost contact with air traffic control at 07:24 (00:24 GMT), AirAsia tweeted . The company said that search and rescue operations were under way for the missing plane. An official with the transport ministry, Hadi Mustofa, told local media the plane lost contact over the Java Sea, which lies between Surabaya and Singapore. He said the plane had asked for an unusual route before it lost contact. AirAsia have given few