Posts

Showing posts from March 24, 2014

HAYA NI MAKOSA WANAYOFANYA WANAWAKE WAKATI WA KUPEANA RAHA YA MAPENZI

Image
1: UCHAFU WA MWILI. Hakuna kitu kinachokera wakati wa kupeana raha na utamu kama mwa amke anayetoa harufu mwilini,Unapeleka mdomo wako kwenye lips zake ili umnyonye denda unakutana na mdomo wake unaotoa harufu,unapeleka mdomo wako kwenye matiti yake uyanyonye unakutana na kikwapa chake kinachotoa harufu,Haya basi unaona isiwe kesi acha  nimnyonye au nimlambe Uke,unapeleka mdomo wako huko chini unakutana na harufu kali ndani ya Uke wake.Mpaka ikifika hapo unakuwa utakuwa ushamboa mwanaume,ataingiza tu mashine yake amalize hamu zake aondoke,halafu kila siku unalalamika hujawahi kufika kileleni,nani atakufikisha kileleni kwenye hali kama hiyo? UNACHOTAKIWA KUFANYA . Kama ulikuwa una mazoea ya kuoga mara moja kwa siku,Itabidi uwe unaoga hata mara mbili au tatu,ukiwa unaoga usisahau kujisugua sehemu zenye mikunjo ambazo zinaficha jasho na uchafu mwingine ambao unakufanya utoe harufu mbaya (Sugua kikwapa chako vizuri,piga mswaki kila baada ya mlo,nyoa

BOLD & NAKED YOGA CLASSES TO HELP OVERCOME BODY ISSUES

Image
One New York City yoga studio has taken yoga’s flexible principles to the next level by offering co-ed, naked vinyasa courses. The class, introduced the Bold & Naked studio in Chelsea, is supposed to provide students with a new way to focus on celebrating their bodies and is not intended to be sexually evocative. 'There are a lot of things that separate us in a normal yoga class, like what brand of yoga clothing you're wearing or how you look when you're wearing it,' Vanessa Kennedy, a naked yoga class attendee, told Reuters. 'But when we're naked, it's like we're all the same.'

MUME WANGU JOGOO HALIWIKI, WIKI YA TATU SASA, YANI HATA NI MTEGE VIPI: USHAURI.

Image
Nimeishi na mume wangu mwaka wa tatu sasa, amekua akipiga kazi mpaka nafurahi, ananifiki kilele hata mara nne kwa siku moja, lakini sasa hivi ni wiki ya tatu hasimamishi yani mpaka hata yeye mwenyewe anakosa amani kabisa, najaribu kumtega kwa kila mikao na visa visa vywa kimahaba lakini imeshindikana. Naombeni ushauri jamani  kama kuna namna nikamsaidia mume wangu, nampenda sana, sitaki kumsaliti.   NAOMBA USHAURI NDUGU YANGU NIFANYEJE

ASILIMIA 26.5 YA WANAWAKE HUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

Image
Wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile. Mfumo wa uzazi unaharibika; Watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi,  kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya Ukimwi kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.  Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam. Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinachowapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba. Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usic

Ndege ya Malaysia Airlines ilidondoka kusini mwa bahari ya hindi

Image
Baada ya uchunguzi wa muda mrefu kuitafuta ndege ambayo ilidhaniwa kuwa imepotea au kupatwa na matatizo mengine baada ya kushindwa kufika sehemu iliyotakiwa kwa wakati, taarifa za uchunguzi mpya zilizotangazwa na waziri mkuu wa Malaysia Najib Razak,  imefahamika ndege hii Malaysia Airlines ilidondoka kusini mwa bahari ya hindi.Kutokana na uchunguzi wa ziada uliofanyika na data zilizopatikana kutoka kwa shirika la Uingereza linalojihusisha na uchunguzi wa ajali, sasa  hivi hakuna matumaini ya kupona kwa abiria yeyote kwenye ndege hiyo. Ndugu wa abiria ambao walikuwa Beijing kusubiri ndege hiyo wanasema wametumiwa meseji na shirika hilo ikisema ndugu zao wote wamefariki kwenye hiyo ajali.Waziri mkuu huyo Najib Razak hakuelezea zaidi kwa undani juu ya ajali hiyo lakini kingine ambacho alikisema ni kwamba ndege hii ilianguka katikati ya bahari na hakukua na ardhi yoyote ya karibu ambayo ingeweza kutua.

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI SERIKALINI

Image
PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref. Na EA.7/96/01/G/02 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of the, Tea Board of Tanzania (TBT), the Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 1 vacant post in the above public institutions. NB: GENERAL CONDITIONS i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated. ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers. iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement. iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid. v. Applicants must attach their detailed relevant

ANGALIA NAFASI NAFASI MPYA ZA KAZI SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO)

Image
International Labour Organization VACANCY ANOUNCEMENT Information Technology and Building Maintainance Assistant Introduction: general information about the context in which the official will work The ILO Country Office in Dar es Salaam covers Tanzania, Kenya, Rwanda and Uganda. The Office implements the mandate of the ILO within the sub-region, including the delivery of technical cooperation in collaboration with other ILO technical departments and social partners in the four countries. The office continues to provide, at national level, technical guidance and institutional capacity building support to the Government and social partners to achieve the goal of decent work for all through a combination of integrated policy, programme and advocacy action. The ILO currently seeks to recruit a highly qualified, motivated, and experienced Information Technology and Building Maintenance Assistant with a demonstrated and proved track record for their office in Dar