Posts

Showing posts from August 8, 2016

Mzungu Dar Afumwa Live Akilawitiwa na Vijana 3

Image
  Mzungu akilawitiwa, OFM wamfumania. MWANDISHI WETU, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Ushoga? Mzungu mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja lakini akijitambulisha kuwa ni raia kutoka nchini Italia, hivi karibuni alinaswa akiwa katika harakati za kulawitiwa na vijana watatu, Wikienda limeinyaka. Tukio hilo lililotafsiriwa kuwa linakwenda kinyume na msimamo wa Serikali ya Tanzania kuhusu sheria za makosa ya kujamiina, lilijiri Agosti 4, mwaka huu, nyumbani kwa Mzungu huyo, Mikocheni jijini Dar es Salaam.   YALIANZA MALALAMIKO Awali, kijana mmoja alipiga simu kwenye ofisi za Global Publishers na kutaka msaada kutoka kwa kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ na kusema kuwa kuna Mzungu amekuwa akimtaka awapeleke vijana nyumbani kwake kwa ajili ya mambo yasiyopendwa na watu wengi na pia ni kinyume na msimamo wa serikali. Lakini atatoa mshiko wa nguvu.   Baada kudakwa na polisi, kupigwa pingu na kupelekwa kituoni. “Jamani kuna Mzu

Wanafunzi 80 Mkoani Kilimanjaro Wasimamishwa Masomo kwa Ujauzito.

Image
WANFUNZI 80 wa shule za msingi na sekondari mkoani Kilimanjaro wamesimamishwa masomo katika kipindi cha kuanzia mwezi January hadi Julai mwaka huu baada ya kubainika kuwa na ujauzito. Afisa elimu mkoa wa Kilimanjaro Bi Euprasia Buchuma amemweleza Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia kuwa tatizo la ujauzito kwa wanafunzi mkoani Kilimanjaro ni kubwa hali ambayo inasababisha kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa kike kushuka kila mwaka. Amesema tatizo hilo limeonekana kubwa baada ya agizo la Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kutaka wanafunzi wakike wapime ujauzito wakati wanarudi mashuleni baada ya kumaliza likizo na kwamba muamko wa jamii kuwachukulia hatua wale wanaowabebesaha wanafunzi ujauzito ni mdogo. Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw.Saidi Meck Sadick amesema wilaya ya Rombo inaongoza kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi 22 wenye ujauzito ikifuatiwa na wilaya ya Siha wanafunzi 12,Hai 11 huku wilaya ya Same ikiwa haijabainika kuwa na mwanafunzi wa kike mwe

KUFURU YA WANAFUNZI BAADA YA KUMALIZA MITIHANI.

Image