Posts

Showing posts from July 4, 2013

Vazi la MEAGAN GOOD ktk BET Awards lamletea shida, wakristo wamjia juu (ni mke wa mchungaji)

Image
    Kivazi alichokuwa amekivaa muigizaji wa filamu nchini Marekani, Meagan Good kwenye BET Awards 2013 kimeleta shida kubwa. Si Marekani tu walioshangazwa na nguo hiyo , bali hata hapa Tanzania jana usiku ambapo show hiyo ilioneshwa kwa mara ya kwanza ‘kimataifa’ (international broadcast) iliwaacha mdomo wazi   source bongo5

HUU NDO MJENGO MKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI. UNAPATIKANA CHINA TAZAMA PICHA HAPA.

Image
Erranean village. Chinese officials have declared the building the world’s largest freestanding building and it took about 3 years for the construction to complete. An artificial sun is built inside the giant complex to provide light and heat 24 hours a day for shoppers exploring the 400,000 sq. metres of boutiques and stores. Iraqi-British architect Zaha Hadid designed the building.

WADUNGUAJI"SNIPPER" WA OBAMA WALIVYOKUWA VIVUTIO KWENYE MAGHOROFA YA POSTA, TAZAMA PICHA HAPA

Image
Habari Moto : Hiyo ndo darubini iliyopo kwenye bunduki ya kudungulia ambayo humsaidia mtumiani kumlenga adui na huwa haikosei ikifyatuliwa inamfikia mlengwa pasipo kukwepa. Na; Phars Msirikale Kama hukubahatika kuona watu hawa ambao mara kadhaa tumekuwa tukiwaona kwenye sinema za waigizaji maalum wa Kimarekani kama vile Blus Wills nk utakuwa umekosa uhondo wa aina yake kwani walikuwa vivutia vikubwa sana kwenye Jiji la Dar pamoja na viunga vyake. Xdeejayz ambayo ilikuwa imemwaga waanahabari wake waliobobea kufanya habari za uchunguzi walibahatika kuwanasa wadunguaji hao" Snipper" wakiwa wamejiachia kwenye majengo marefu wakiimalishga usalama. Habari zaidi zilieleza kuwa wadunguaji hao hawakuwa Posta peke yake bali kwenye mji mzima wa Dar ambapo Maghorofa yote ya Kariakoo yalijaa wao huku Kigamboni ndo wakiwa wale wenyewe wa kivita kabisa hali iliyzusha hofu na mashaka tele kwa wananchi waliwaona. Hata hivyo kifaa  kili

JESHI LA MISRI LAMUONDOA MADARAKANI RAISI MOHAMMED MORSI

Image
    jeshi nchini Misri limemuondoa madarakani Rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia nchini humo Mohamed Morsi na imemteuwa kiongozi wa muda wa nchi baada ya maandamano makubwa yanayoipinga serikali. Akihutubia kwa njia ya televisheni jumatano jioni, mkuu wa jeshi, Abdul Fatah Khalil Al-Sisi alisema katiba ya Misri imesitishwa kwa muda na mkuu wa mahakama ya katiba ameteuliwa kuwa kiongozi wa muda nchini humo.  Sisi alitangaza kwamba jeshi linaangalia watu wa Misri kufuatana na maandamano makubwa ya upinzani yakidai kuwa Rais Mohamed Morsi ajiuzulu. Kufuatia hotuba ya kwenye televisheni Bwana Morsi alitoa taarifa kupitia akaunti yake ya Twitter, akiita hatua ya jeshi ni “mapinduzi kamili” . Aliwasihi wa-misri wote kukataa hatua ya jeshi lakini pia aliwataka kuwa na amani. Kiongozi mpya wa muda nchini Misri, Adli Mansour ana umri wa miaka 68 ni mkuu wa sheria katika mahakama ya juu ya katiba. Ataapishwa alhamisi. Kama sehemu ya mwongozo m

WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Image
Wakati  baadhi ya  watanzania  wakifurahia  madudu  ya  washiriki  wetu  ndani  ya  jumba  la  Big Brother, wenzetu  wa  Ethiopia  wameanza  kuchukua  hatua  stahiki  dhidi  ya  mshiriki  wao  aliyekubali  kufanya  mapenzi  hadharani.... Kundi  la  wanashiria  toka Adds  Ababa  limetangaza  kuwa  kwa  sasa  lipo  katika  hatua  za  mwisho  za  kukamilisha  mashitaka  dhidi  ya  mshiriki  wa  mwaka  huu  ambaye  ni  Betty  alionekana  mara  kadhaa  akingonoka  na  Bolt  hadharani  kama  mbwa...!!!! Big  Brother  siyo  shindano  la  kungonoka  na  kuoneshana  ujuzi  wa  tendo  la  ndoa.....Hili  ni  funzo  kwa  washiriki  wetu  Feza  na  Nando

SHILOLE ATINGA DUKANI HUKO MAREKANI AKIWA NA TAULO TU...

Image
  MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha akiwa amefunga taulo kwenye matiti.   Mwandishi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:   “Huku watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa taulo na kwenda nalo supermarket, huku ni kawaida tu.” TUPE MAONI YAKO