Posts

Showing posts from July 14, 2014

RAIS KIKWETE AFUTARISHA WANANCHI WA MBEYA

Image
Mbunge wa Mbeya Mhe Joseph Mbilinyi “Sugu” akipata futari na wananchi wenzie wa Mbeya katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini Mbeya Jumapili Julai 13, 2014. PICHA NA IKULU Meza Kuu k atika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini Mbeya Jumapili Julai 13, 2014. Wananchi wa Mbeya waliohudhuria futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini MbeyaJumapili Julai 13, 2014. Wananchi wa Mbeya waliohudhuria futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini MbeyaJumapili Julai 13, 2014.   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru wananchi wa Mbeya kwa kujitokeza kwa wingi katika futari aliyoiandaa katika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini Mbeya Jumapili Julai 13, 2014.   Rais Jakaya Mri

LAANA: WANASWA WAKIFANYA UCHAFU BARABARANI

Image
  Wahenga wanasema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni, nimeanza kuamini hii dunia inaelekea ukingoni sasa. Hawa watu mimi siwaelewi, hivi gesti hakuna mpaka wafanye mapenzi ndani ya gari? Chakutisha kabisa kuna picha tumeziweka hapo chini kwa ajiri ya wakubwa waone kwanini hawa watu wameamua kufanya hivi tena bila uoga. Chanzo chetu kitazidi kuanika haya mambo hadharani ili wakijiona labda watabadilika HEBU WATU WAZIMA WABOFYE HAPA WAONE AIBU HII BOFYA HAPA PICHA YA 1 BOFYA HAPA PICHA YA 2 BOFYA HAPO PICHA YA 3 

AIBU:WABONGO WAFUMANIANA CHINA....WAZICHAPA KAVUKAVU,WAVUANA NGUO BARABARANI NI NDANI YA SWAUM KALI

Image
Ni aibu kubwa kwa taifa! Huku Waislamu wakiendelea na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, warembo wawili, raia wa Tanzania (Wabongo), mmoja mkazi wa Sinza, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Glory na mwingine ambaye jina halikupatikana, wanadaiwa kufumaniana laivu nchini China na kugeuka kituko cha aina yake, Ijumaa Wikienda ndilo lenye uthubutu wa kuripoti tukio hilo. Warembo wawili, raia wa Tanzania (Wabongo), mmoja akifahamika kwa jina moja la Glory na mwingine ambaye jina halikupatikana wakikwidana. Habari za awali zilidai kuwa Glory ndiye aliyemfuma mwenzake na bwana’ke, raia wa Nigeria kisha kumshushia kipigo kabla ya kutoana nje na kwenda kuchaniana nguo barabarani, mchana kweupe. OFM KUTOKA GUANGZHOU, CHINA Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu, mwakilishi wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers nchini China (jina kapuni), alisema kuwa akiwa katika pitapita zake za kukusanya matukio ili kuyatuma Bongo kuonesha jinsi gani Wa

ANGALIA PICHA MWANAFUNZI WA DARASA LA 6 AKUTWA AKIJIUZA

Image
Mwanafunzi wa darasa la sita anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) amekutwa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Kahumba mjini Morogoro usiku wa manane ambapo chanzo kilipokea simu kutoka kwa watu walioumizwa na jambo hilo huku wakimwonea huruma kwani alikuwa akichukuliwa na mijibaba. Picha zaidi akijiuza hapa> Chanzo kilipofika eneo la tukio kilimshuhudia binti huyo lakini ilipotaka kuita polisi, wenzake waliokuwa wakijiuza naye walikuja juu wakitaka kumshushia kipigo mwanahabari wetu. Kesho yake Chanzo kilikwenda kumsaka mtoto huyo ambapo mama aliyejitambulisha kwa jina la Nasra Hamis Ndehere alikuwa miongoni mwa wazazi waliojitokeza baada ya kukerwa na tabia ya mtoto huyo ya kujiuza. Baada ya kumnasa, binti huyo alikiri kujihusisha na biashara hiyo haramu kwa kisingizio cha ukali wa maisha baada ya kufiwa na wazazi wake, alidai alikuwa