Posts

Showing posts from May 12, 2016

PICHA 10: Diamond na Mafikizolo ndani ya Bunge Dodoma leo, Wabunge walivyotoka nje kupiga picha.

Image
May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini  Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha burudani Chuo kikuu Dodoma. . . . .

Malaika afunguka ‘kinachopukutisha’ mwili wake

Image
MWANAMUZIKI mrembo anayetamba na Wimbo wa Raruaraua, Malaika Exavery amefungukia kinachoupukutisha mwili wake kuwa siyo ugonjwa kama watu wanavyodhani bali ameamua kupungua tu kwa kula kabichi na parachichi.  Akizungumza na Amani Malaika alisema kuwa watu wengi wamekuwa wakimhoji kupungua kwa mwili wake huku wengine wakijua ni tatizo la kiafya ambalo lilimpata. “Kilichonipunguza haraka ni kula kabichi, parachichi na maji mengi na wala siyo tatizo la ugonjwa kama wengi wanavyodhani. “Nimekuwa nikishindia kabichi ya kuchemsha, parachichi kisha nashushia na maji na ndicho kilichonifanya kupungua kilo zaidi ya saba sasa,” alisema Malaika ambaye kadiri siku zinavyokwenda anazidi kujikusanyia mashabiki kibao                               Malaika Exavery  

PICHA 14:Kilivyohappen kwenye birthday party ya meneja wa Diamond Platnumz…mafikizolo wahudhuria

Image
Ni Mei 11, 2016 ambapo meneja wa staa Diamond Platnumz , Sallam alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na wadau mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva huku ikiwa imehudhuriwa na  wasanii kutoka Afrika Kusini Mafikizolo. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye birthday party hiyo .Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam . . . . . .Kushoto ni msanii Theo kutoka kundi la Mafikizolo akiwa na Babu Tale . . .Kushoto ni Raymond, (Katikati) Harmonize na Diamond Platnumz .Msanii Shetta akitoa burudani ya nguvu kwa mashabiki . Dj Tass . .

Siri Diamond Kummwaga Zari!

Image
Diamond Platnumz na mama wa mtoto wake Zari. D AR ES SALAAM: Nyuma ya pazia la sakata la staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kutaka kummwaga mama wa mtoto wake, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’, Zarinah Hassan Tiale ‘Zari The Boss Lady’, kuna siri nzito, Amani limenyetishiwa. CHANZO CHAFUNGUKA Habari kutoka kwa chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa familia ya Diamond zilieleza kuwa, hivi karibuni kuliibuka madai mazito kuwa, Diamond, kama ilivyo tabia yake ya kutodumu na mwanamke kwenye uhusiano wa kimapenzi, tayari ameonesha ishara zote za kuachana na mama Tiffah. Je, ni  skendo ya Diamond ,kutoka na Video Queen wa Bongo, Irene? Zari akiwa na mwanaye, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’ Kumbe siri ni Tiffah “Kwa taarifa yenu, Diamond hawezi kummwaga Zari kirahisi na siri ni moja tu ni Tiffah. Ukweli ni kwamba, Tiffah ndiye…..” Wema, Pennye na Jokate watajwa ….“Sisi tunamjua jamaa (Diamond), anapotaka kuachana na mwanamke huwa kunakuwa

Komediani Kinyambe afariki dunia

Image
Mohamed Abdallah a.k.a Kinyembe enzi za uhai wake. Komediani aliyetamba kwa kubadilisha sura na sauti yake katika filamu za uchekeshaji nchini, Mohamed Abdallah a.k.a Kinyembe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Mpaka mauti yanamfika, Kinyambe alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Kinyambe mahala pema peponi. Amen

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 12.05.2016

Image