Posts

Showing posts from December 29, 2013

KANGA MOKO HII IMEZIDI JAMANI, NI SHIDAA TUPU .... JIONEE MWENYEWEEEE MA LAANA HAYA YA DUNIA

Image
ZiAngalia picha nyingine hapo chini

WASANII WETU SASA WAMEZIDI ... KUACHIA MOVIE HII ILIYOJAA LAANA TUPU

Image
Hakika tasnia ya filamu kwa hapa bongo na hata baadhi ya nchi za Afrika zimekuwa zikipotosha na kuharibu jamii zetu hasa vijana. Kwenye moja kati ya filamu ambazo inategemea kutoka hivi karibuni picha hizo ni baadhi ya shots zilizochukuliwa...

HII NDIO SAFARI YA MWISHO YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU SELINA MAKINGA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA CBE DODOMA

Image
 Wafanya kazi wa chuo cha CBE wakiwa kwenye msiba  wa marehemu Selina Makinga  area 'A' wakisubiria kutoa heshima zao za mwisho kabla ya kusafirisha mwili huo kwao Iringa  Ndugu, Jamaa na Mrafiki wa marehemu  Rais wa COBESO Mhe, Remidus akiwa kwenye msiba wa marehe  Selina Makinga , akiwa anahesabu hela ya kutoa rambirambi kiasi kilichofikia Tsh. 78,000/=  Familia ya marehemu wakiwa upande mmoja baada ya Padree kuongoza Misa Takatifu ya marehe Selina Makinga  Baadhi ya Wakristo wakishiriki kupokea ekaristi Takatifu  Marehemu akinyunyiziwa maji ya baraka kwa ishara ya imani yake aliyebatizwa kwa maji ya  baraka  Muda wakuaga mwili wa marehemu  Mama akiangusha kilio baada ya kuaga mwili wa marehemu  Mwalimu Ndunguru wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu   Rais wa COBESO Mhe, Remidius M. Emmanuel akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu  Naibu waziri wa Fedha Mhe, Simba akitoa heshima yake ya mwi