Posts

Showing posts from December 2, 2013

ANGALIA PICHA KOCHA MPYA WA SIMBA "LOGARUSIC" AKISAINI MKATABA WA KUIFUNDISHA KLABU HIYO

Image
 LOGARUSIC akisaini mkataba mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya usajili,Zacharia Hans Poppe.CHANZO SHAFFIH DAUDA

MSANII TIMBULO ANASWA AKIFANYA UCHAFU HADHARANI BILA AIBU...MTAZAME HAPA, NI LAANA TUPU...

Image
      Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya(bongo flava) Ally Timbulo (Timbulo) amefumwa akifanya MAPENZI na chipukizi wa filamu Isabela Francis,tukio hili lilitokea juzi usiku wa manane maeneo ya Ilala. tazama picha wakiwa kwenye mahaba mazito!!!!

KOCHA MPYA WA AZAM FC JOSEPH OMOG AKUTANA NA TIMU

Image
 Kocha mpya wa Azam FC akiwa na msaidizi wake Kali Ongalla.  . ....Akizungumza na wachezaji... Picha kwa hisani ya AZAM FC.

LOWASSA ACHANGISHA MILIONI 103/- MASASI

Image
Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Mtandi Masasi, Oscar Mnung'u akisalimu waumini. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati akiwasili  kuendesha harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la dayosisi hiyo, juzi. Jumla ya Sh103 milioni zilichangishwa katika harambee hiyo. Na Mpigapicha Wetu Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza kabla ya kuongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara jana. Jumla y Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo. Kushoto ni Askofu wa Dayosisi ya Newala, Patrick Mwanachiko na Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Masasi, Oscar Mnung'u. Na Mpigapicha Wetu Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Mhando akiimba katika Kanisa Kuu la Aglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya