Posts

Showing posts from November 7, 2015

WABUNGE WALIOSHINDA UCHAGUZI WA 2015

Image
%3 No. MBUNGE JIMBO CHAMA 1 Dk Charles Tizeba Buchosa CCM 2 Nimrod Mkono Butiama CCM 3 Omar Badwel Chilonwa CCM 4 Kanyasu John Geita Mjini CCM 5 Pudensiana Kikwembe Kavuu CCM 6 Sixtus Mapunda Mbinga Mjini CCM 7 Hassan Masala Nachingwea CCM 8 Abdallah Chikota Nanyamba CCM 9 Richard Mbogo Nsimbo CCM 10 Ester Matiko Tarime Mjini CHADEMA 11 Mwakajoka Frank Tunduma CHADEMA 12 Joshua Nassari Arumeru Magharibi CHADEMA 13 Dk Shukuru Kawambwa Bagamoyo CCM 14 Andrew Chenge Bariadi Magharibi CCM 15 Oscar Mukasa Biharamulo Magharibi CCM 16 Wilfred Lwakatare Bukoba Mjini CHADEMA 17 Jasson Rwikiza Bukoba Vijijini CCM 18 Dotto Biteko Bukombe CCM 19 Eshter Bulaya Bunda Mjini CHADEMA 20 Raphael Chegeni Busega CCM 21 Atupele Mwakibete Busekelo Rungwe Mashariki CCM 22 Bilango Samson Buyungu CHADEMA 23 Ridhiwani Kikwete Chalinze CCM 24 Anthony Mavunde Dodoma Mjini CCM 25

MAJINA YA WABUNGE WA VITI MAALUM

Image
source: global pbl

RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKUTANA NA MAKATIBU WAKU WA SERIKALI LEO IKULU

Image
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bwana Rished Bade na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es s

USIYOYAFAHAMU KUHUSU FIRST LADY MAMA JANETH MAGUFULI

Image
Kila mzazi anapokaribia kupata mtoto, moja ya mambo muhimu ambayo hufikiria juu ya jina la kumpatia baada ya kujifungua na mtoto kuishi duniani.  Wazazi wengi huchukua muda kufikiria ni jina gani zuri la kumpa mtoto wao. Kuna wakati baadhi ya wazazi hufikia hatua ya kuvutana kuhusu jina tu.  Kuvutana huko kunatokana na umuhimu wa jina kwa sababu inaaminika kila jina lina maana yake na tabia zake zitaakisiwa nalo.  Kuna majina ambayo hupendwa sana kutokana na dhana kwamba watu wanaopewa majina hayo huwa na tabia nzuri, upeo mkubwa, uvumilivu na wengine bahati.  Je, ikitokea unabahatika kupata mtoto wa kike uliyemtafuta kwa muda mrefu, utampa jina gani? Huenda jina Janeth likawa miongoni mwa matatu au 10 utakayoorodhesha ili kuchagua moja la kumpa binti yako.  Kama halitakuwapo basi fanya mpango wa kuliweka kwa sababu jina hilo ndiyo habari ya mjini kwa sasa.  Kwa nini jina la Janeth ni habari ya mjini? Siku Dk John Magufuli alipopitishwa na CCM kuwania nafa

RAIS JOHN MAGUFULI AKIWA OFISINI KWAKE SIKU YA KWANZA

Image
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifanyakazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni siku yake ya kwanza ofisini kwake tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano. (Picha na Freddy Maro)