Posts

Showing posts from January 30, 2014

NJIA KUMI KUSAIDIA KUPUNGUZA UNENE

Image
Ni makala muhimu sana. Wastani wa maisha ya Mtanzania ( na Waafrika wengi) hata wale waliosoma au wanaojiweza kiuchumi ni miaka 40-50. Kati ya sababu kuu zinazopunguza uhai wetu ni afya, unene na kutojua kujiangalia vyema afya zetu.   1-ULAJI Ipo mifumo miwili ya kula. Chakula unachokula na namna unavyokila. ·         Unavyokula. -Kuna kula vyakula vidogo vidogo vyenye madini, vitamini, mafuta nk mara nyingi kwa siku; au kula milo michache (mmoja au miwili) mikubwa ili kujaza tumbo. Ulaji mdogo mdogo husaidia afya na kuingia mwilini vyema kuliko ulaji mkubwa wa mara chache. Tumbo lina musuli zinazofanya kazi kama mashine au mnyama. Gari likijaa sana hupata taabu kwenda. Punda hivyo hivyo. Ulaji mdogo mdogo unaosambazwa mara kadhaa kwa siku  ni bora maana mwili unachambua kila kitu kwa wepesi na haraka.   Unapokula milo michache mikubwa unapalilia zaidi mafuta mwili. (PENDEKEZO la kwanza.  Asubuhi, kunywa maji kwanza, matunda, kisha ndiyo chai na vitu ving

TAMU YA RAHA YA MAPENZI HULETWA NA KITU KIMOJA AMBACHO NI MUHIMU SANA...KISOME HAPA

Image
  Kama huna heshima kwa mwenzi wako, daima hutaona utamu wa mapenzi. Katika kukamilisha makala haya, leo nakuchambulia baadhi ya hasara ambazo unaweza kukumbana nazo ikiwa hutakuwa na maelewano mazuri na mwenzi wako kutokana na kushindwa kumheshimu. UTAKOSA AMANI Misongo (stresses)  ya kimaisha inatesa. Inawezekana unafanya kazi sana. Wakati mwingine masuala ya kiofisi au biashara hayaendi kama inavyotakiwa. Unashinda siku nzima ukipigana kuhakikisha unaendelea mbele. Iwe umeajiriwa, umejiajiri au umeajiri! Kichwa hakitulii mpaka unahisi ni kizito. Kufikia hapo, bila… Kama huna heshima kwa mwenzi wako, daima hutaona utamu wa mapenzi. Hili nimelifafanua kwa takriban wiki tatu. Katika kukamilisha makala haya, leo nakuchambulia baadhi ya hasara ambazo unaweza kukumbana nazo ikiwa hutakuwa na maelewano mazuri na mwenzi wako kutokana na kushindwa kumheshimu. UTAKOSA AMANI Misongo (stresses)  ya kimaisha inatesa. Inawezekana unafanya kazi sana. Wakati mwingine m

MAN UNITED YAKATAA MABILIONI KWA JANUZAJ

Image
HATUTAKI, na tena hatutaki hata kusikia. Na ikiwezekana msirudi tena. Ndivyo ambavyo mapovu yamewatoka mdomoni watu wa Manchester United baada ya PSG kurudi mezani juzi Jumapili na ofa ya kumtaka kinda wao mahiri, Adnan Januzaj.  PSG wamekuwa wakitokwa udenda kwa kinda huyo mwenye asili ya Albania aliyezaliwa Ubelgiji miaka 18 iliyopita na hawajali kama aliingia mkataba mpya wa kuichezea Man United mwishoni mwa msimu uliopita. Hata hivyo, kocha David Moyes amekataa ofa hiyo ya PSG inayodhaniwa kuanzia Pauni 25 milioni na kuendelea huku wakisisitiza kwamba hawana mpango hata wa kukaa chini na kuzungumza na matajiri hao wa mafuta kutoka Paris. Man United imempatia mkataba mrefu wa miaka mitano Januzaj Oktoba mwaka jana baada ya kugundulika kuwa huenda mchezaji huyo angekuwa huru na kuondoka Mei mwaka huu mara baada ya msimu kumalizika. Kabla na baada ya kusaini mkataba huo, Januzaj ameibuka kuwa miongoni mwa wachezaji wachache mahiri katika kikosi cha

UUME WAKE NI MDOGO SANA HAJAWAHI KUNIFIKISHA KILELENI.

Image
Mwanamke mmoja nchini Taiwan amedai talaka mahakamani toka kwa mumewe wa miaka minne kutokana na udogo wa maumbile yake ya kiume na pia kwa kushindwa kutimiza ahadi ya kutoa unyumba mara tatu kwa wiki. Mwanamke huyo aliyetajwa kwa jina la Zhang mwenye umri wa miaka 52, amevunja ndoa yake ya miaka minne na mumewe Zhou mwenye umri wa miaka 55 sababu kubwa ikiwa ni udogo wa uume wake. "Uume wake ni mdogo sana sawa na wa mtoto, una urefu wa sentimita tano tu, hatujawahi kufurahia mapenzi kwa muda wote wa ndoa yetu", alisema Zhnag. Zhang aliongeza kuwa alikutana na mumewe mwaka 2008 kupitia kwa rafiki yake na walifunga ndoa miezi mitano baadae. Zhnag aliendelea kusema kuwa kabla ya ndoa hawakuwahi kufanya mapenzi kwakuwa mumewe huyo alikuwa akidai kuwa yeye ni mtu wa dini sana hawezi kufanya mapenzi nje ya ndoa. "Niligundua tatizo alilonalo siku ya harusi", alisema Zhang na kuongeza "Pia hajiwezi kutimiza majukumu yake ya kutoa unyumba kwa mkewe

HELKOPTA YA CHADEMA YAPOTEA ANGANI

Image
HELIKOPTA ya Chadema maarufu kama Chopa, juzi ilipotea angani na kusababisha viongozi wa chama hicho kushindwa kufanya mkutano katika Kijiji cha Mpwayungu wilayani Chamwino, kama ilivyokuwa imepangwa kwenye ratiba. Kwa mujibu wa ratiba iliyokuwa imepangwa, viongozi wa kitaifa ambao ni Mwanasheria Mkuu wa chama hicho, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (BAVICHA), walikuwa wafanye mkutano katika kijiji hicho saa 4 asubuhi. Akizungumza na MTANZANIA, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Dodoma, Steven Massawe alikiri kupotea kwa helikopta hiyo na kukanusha kwamba hakuna njama zozote zilizofanywa na CCM kutokana na kupotea kwa helikopta hiyo. Kijiji cha Mpwayungu kipo katika Kata ya Mpwayungu, ambayo nafasi ya udiwani ipo wazi na vyama vya Chadema na CCM vyote vimesimamisha wagombea. “Sababu kubwa ya kupotea kwa helikopta ni tatizo la mawasiliano kama mnavyojua Kijiji cha Mpwayungu hakina mawasiliano. Helikopta ilikuwa ifike katika Kijiji cha Mpwayungu saa n

ANGALIA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU HURIA TANZANIA

Image
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA    VACANCY ADVERTISEMENT    The Open University of Tanzania (OUT) is a public University, established by the Act of  Parliament No 17 of 1992. Since 1st January, 2007, the University has been operating under  the OUT Charter Inc. of 2007, which is in line with the Universities Act No. 7 of 2005. Its  stated mission is to continuously provide open and distance education, research, and public  services for sustainable and equitable socio-economic development of Tanzania in particular,  and the rest of Africa. The Open University of Tanzania operates through its temporary  headquarters in Kinondoni, Dar es Salaam and its 27 regional centres in each region of  Tanzania Mainland and two coordination centres in Zanzibar and Pemba Islands.    The University hereby invites applications from competent and suitably qualified candidates,  to enhance its human resource capacity needed to fulfill its mission, as follows:  A. ASSIS