Posts

Showing posts from July 18, 2013

Mwanafunzi wa kike DSM ajinyonga kisa kupinga kusoma

Image
Mwanafunzi  wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Tegeta jijini Dar es Salaam, Bertha Amir (14), pichani, amejinyonga hadi kufa akipinga kulazimishwa na mama yake mzazi kusoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema mwanafunzi huyo alijinyonga juzi  saa 11:00 jioni, maeneo ya Tegeta Namanga, jijini Dar es Salaam. Alisema marehemu alikutwa amejinyonga chumbani kwa kutumia mtandio ulioning’inizwa juu ya dari. Kamanda Wambura alisema sababu za mwanafunzi huyo kujinyonga bado hazijafahamika, lakini akasema inasadikika kuwa wakati wa enzi za uhai wake, siku moja kabla ya kifo chake, alikuwa ameongea na mama yake, Angelina Maiko Mshami (30), ambaye alimtaka achukue fedha kwa ajili ya kujiandaa kwenda shule. Alisema mtoto huyo alimjibu mama yake kuwa hahitaji kusoma, bali anataka kufanya kazi. Kamanda alisema kuwa mwili wa mwanafunzi huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguz

ANGALIA PICHA ZA MBOWE AKIZINDUA KANDA YA KUSINI

Image
  Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akiingia katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea ili kuzungumza na wananchi. Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea. Wananchi wakifuatilia hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe  wakati  akihutubia wananchi katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea jana. Kila mtu alijitahidi kupata nafasi nzuri ili aweze kufuatiliwa vyema matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea katika mkutano huu kama inavyoonekana. Njiwa walirushwa kuonesha ishara ya upendo wakati wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini ya Mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma. Mwenyekiti CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akihutubia wanachama wa CHADEMA katika mkutano wa kuchagua viongozi wa chama Kanda ya Kusini ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma uliofa

ANGALIA PICHA ZA WEMA SEPETU NA MARTIN KADINDA WAKILA BATA HOTELINI

Image
Follow this blog

FEZA WA TANZANIA AGONGANISHA MABWANA BAADA YA KUINGIA KUOGA NA NJEMBA IKIWA UCHI BAFUNI

Image
Shemeji yetu Mbotswana, Oneal amechukizwa na kitendo cha Feza Kessy kwenda kuoga na mwanaume mwingine. Jana jioni, Feza ilimlazimu amuombe msamaha mpenzi wake huyo aliyeoneshwa kuumizwa roho na kitendo hicho. “Umefanya tena leo asubuhi. Umeniacha kitandani na kwenda kuoga na mwanaume aliye UCHI. I was so disappointed”, alisema Oneal ambaye hata hivyo hakumtaja mwanaume huyo. “What was wrong with this particular shower”, aliuliza Feza ambaye alijibiwa na Oneal,”He was naked”. Wasiwasi wa Oneal ni kama vyombo vya habari vya Tanzania vikipata picha hizo zinazomuonesha Feza akioga na mwanaume mwingine bafuni na kuzitumia, jambo ambalo linaweza kutia doa mapenzi yao. Mrembo huyo wa Tanzania alimuomba msamaha mpenzi wake na kisha kumkumbatia na kumbusu huku wakijifunika shuka gubigubi, kitu kilichomaliza hasira za Mtswana huyo
Image
LULU AONEKANA KUUHESHIMU MWEZI MTUKUFU LULU AKIWA KATIKA MUONEKANO TOFAUTI NA TULIVYOMZOEYA KATIKA MWEZI HUU MTUKUFU AMBAPO NDUGU ZETU WAISLAMU WAPO KATIKA MFUNGO: JIUNGE NASI KWA KUBOFYA LIKE KUJIUNGA NASI ILI KUPATA HABARI MOTOMOTO

BABY MADAHA AOMBA PAMBANO WA NGUMI NA JACK WOLPER

Image
Na Gladness Mallya STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ ameomba pambano la ndondi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza ubishi wa bifu lao. Akipiga stori na paparazi wetu mapema wiki hii, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane ulingoni ili amuoneshe cha mtema kuni. “Asiniambie mimi natafuta kiki, mimi ni msomi kuliko yeye, arudi shule au akauze vipodozi. Najua kuimba, kuigiza na ni msomi yeye anaweza hayo? Kimsingi naomba pambano nimtandike ulingoni,” alisema Baby Madaha.   Source:Global Publisher

WASTARA : SINA HARAKA YA KUOLEWA NAHITAJI MUME NA SI MTU WA KUPITA.

Image
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma amesema hana haraka ya kuolewa kwani anahitaji mume na si mtu wa kupita. Akizungumza hivi karibuni, Wastara alisema kwa sasa yupo huru kutoka na mtu yeyote ampendaye kutokana na sheria na dini inavyosema ila kwa sasa shughuli za kuigiza zimembana. Nahitaji mume na si mtu wa kupita awe mvumilivu, mchapakazi pia awe na hofu ya Mungu. Kwa sasa nafanya filamu zangu kama kumuenzi marehemu mume wangu,  alisema Wastara. 

HATIMAYE HISTORIA IMEANDIKWA NA WATAALAM WA IT TOKA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI

Image
Wataalamu wa IT toka chuo kikuu cha ushirika wakifanya Presentation Project wakiwa chini ya jop la waataalam toka chuo hicho kama vile Mr. Matto, Sizya, Dk. Mwende, Bi. Sarah Lema, Madam Nyanjara, Mr. Madila na wengine wengi.Jana katika ukumbi namba mbili wa Computer Labaratory Hili ni kundi la wataalam wa Voting online, akiwa ni Devotha na Godi na kwa mbali akionekana Mr. Madila na Bi. Sarah lema  Mr. Mshana akiwa on stage akipresent project yake iliyokuwa ikihusu mambo ya Voting Online  Mr. Wanzagi Nelson akimsikiliza kwa makini mtaalam wa IT toka NIGERIA wakati akimpa ushauri kwa kile alichokiwasilisha  Kundi la wataalam wa Voting Online wakiwa wamemaliza kuwasilisha na hapa wakiwa na Mchawi wa Trouble shooting Mr. Macco Chali maarufu kama MFAUME  Mr.PHARS Akiwa na waataalam mbalimbali wa IT toka chuo hicho, toka kulia ni Phars, Hajji,Boniface,Godi,Nelson,Steve na Lucas  WATAALAMU HAO WAKIENDELEA PATA UKUMBUSHO WA KILE KILICHOFANYIKA JANA  3-Brothers wakiwa wam

SEHEMU NYETI 12 ZINAZOMPA RAHA MWANAMKE

Image
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa. Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili. Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji wake Mungu. 1. MIDOMO YAKE. Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.( usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu). << SEHEMU  NYINGINE  ZIKO  HUKU>>

DHAMBI KUBWA YA WANAWAKE WANAOJIFANANISHA KIUME NA WANAUME WANAOJIFANANISHA KIKE.

Image
Mwenyezi Mungu S.W.T. amewalani wanawake wanaojifananisha kiume na wanaume wanaojifananisha kike, na ndio maana ikawa ni katika madhambi makubwa sabini. Mfano wa kujifananisha ni kama vile: Kuzungumza, kutembea, kuvaa mavazi; na kwa wanawake, kumpenda mwanamke mwingine kama wanaume kwa ajili ya kusagana wanawake kwa wanawake (Lesbians), na kwa wanaume, ni kuingiliana wanaume kwa wanaume (Homosexuals). Kutokana na maumbile ya Mwenyezi Mungu S.W.T. ameumba wanaume na ameumba wanawake, na tabia zao na mavazi yao na msemo wao ni tofauti kabisa, lakini ikiwa mwanamume atajifananisha kuwa sawa na mwanamke au mwanamke kuwa sawa na mwanamume, basi watakuwa wamezibadili wao wenyewe taratibu walizopangiwa na kuwekewa na Mola wao, na kwahivyo watakuwa wametenda dhambi kubwa. Mtume S.A.W. kasema katika Hadithi iliyotolewa na L-Bukhari, “ ‘‘Ù„َعَÙ†َ الله الْÙ…ُتَØ´َبِّÙ‡َاتِ Ù…ِÙ†َ النِّسَاءِ بِالرِّجَالِ ÙˆَالْÙ…ُتَØ´َبِّÙ‡ِينَ Ù…ِÙ†َ الرِّجَالِ بِالنِّسَاءِ’’ Ma

CHADEMA KUZINDUA KANDA YA KUSINI SONGEA LEO

Image
Posted by Phars Nyanda at 08:50 AM Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook