Posts

Showing posts from July 10, 2016

NGUO YA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMSYAZUA GUMZO,TEA WAPIGANA VIJEMBE VIKALI

Image
Fashion Photo of the day is from Diamond Platnumz Mother with Long Black Dress

MTOTO WA OSAMAA AAPA KULIPIZA KISASI KWA MAUWAJI YA BABA YAKE

Image
Image copyrightGETTYImage captionKiongozi wa mtandao wa kigaidi wa al Qaeda Osama bin LadenMwanaye aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa kigaidi wa al Qaeda Osama bin Laden, ameapa kulipiza kisasi kwa mauaji ya babake.Katika ujumbe wa sauti uliochapishwa katika mitandao Hamza bin Laden ameapa kulipiza kisasi kwa Marekani kwa kumuua babake 2011 huko Pakistan.Ujumbe huo wa dakika 21 wenye kichwa "We Are All Osama,", Hamza ambaye inaaminika kuwa alikuwa na babake makomando wa Marekani walipowavamia na kumtwaa ameapa kuendeleza kazi aliyoianza babake. Image copyrightFLAGG MILLERImage captionUjumbe huo ni wa dakika 21 wenye kichwa "We Are All Osama," ''Tutaendelea kuwasaka na kuwapiga popote pale mtakapokuwa mumejificha ati nyuma ya pazia za usalama kwa maovu munayoyaendeleza ,Palestina, Afghanistan, Syria, Iraq, Yemen, Somalia na kote kwenye ardhi ya waislamu mnayokalia '' shirika la habari la Reuters linamnukuu. ''na kwa wale wanaodhan

WAZIRI MKUU WA INDIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA SIKU MBILI

Image
1.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Waziri Mkuu wa India Narendra Modi katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama na mgeni wake Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wakati wa nyimbo za Taifa zikipigwa kabla ya ukaguzi wa gwaride la heshima katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi akikagua gwaride la Heshima katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wakati wakiwasili kwenye lango kuu la Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli a

MWANAMITINDO FLAVIAN MATATA AISHUKIA SERIKALI YA MAGUFULI,ASHANGAZWA NA HAYA...!!

Image
Katika kile kinachoonekana kama kuikosoa Serikali na nutendaji wake wa kazi,Mwanamitindo na mjasiriamali wa kiamtaifa Flavian Matata ameijia juu ya Seriakali baada ya kuwataka wakurugenzi wapya kuwasilisha vyeti vyao vya kielimu ili kutambua uwezo wao kielimu. Kupitia ukurasa wake wa Twiiter,Matata alisema kuwa anashanganzwa na tukio hilo kwani ni jambo linaloweka sintofahamu juu ya utendaji wa Serikali. Unahakiki vyeti siku ya kuwaapisha?? Hili halikutakiwa kufanywa kabla ya uteuzi?? pic.twitter.com/w20uSNEGca — Flaviana Matata (@FlavianaMatata) July 9, 2016