Posts

Showing posts from March 21, 2014

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA

Image
Mheshimiwa Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba; Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi; Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar; Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Anne Semamba Makinda; Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; Mheshimiwa Pandu Ameir Kificho, Spika wa Baraza la Wawakilishi na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba ; Mheshimiwa Rashid Othman Chande, Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Othman Makungu, Jaji Mkuu wa Zanzibar; Viongozi Wakuu Wastaafu; Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba; Waheshimiwa Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; Wageni waalikwa; Mabibi na Mabwana; Pongezi Nakushukuru s

Rais Kikwete Alipowasili Viwanja vya Bunge Dodoma na kukagua Bwaride Maalum.

Image
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Samuel John Sita akibadilishana mawazo    na Makamu Mwenyekiti wake nje wa Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma kabla ya Kuanza kwa uzinduzi wa Bunge Maalum uliofanywa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.kushoto Katibu wacBunge Maalum Yahya Hamad Khamis. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiingia ndani ya Viwanja vya Bunge kulihutubia Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma leo. Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi lililotayarishwa na Jeshi la Polisi kabla ya kuzindua Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma.( Picha na Hassan Issa wa – OMPR ) Othman Khamis Ame Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibnar Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amesema    Umma wa Watanzania utajaa matumaini endapo jukumu walilopewa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba watalizingatia

ANGALIA PICHA MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA JIWE KICHWANI HUKO TABORA

Image
Hili ndilo jiwe alilopigwa nalo mfanyabiashara  wa vipuri vya pikipiki mjini Tabora marehemu Michael  Samson  na kupasua eneo kubwa la sehemu ya kichwa na kufariki papo hapo katika Bar ya Uhuru iliyopo mtaa wa Madrasat Kata ya Kanyenye manispaa ya Tabora.   Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP SUZAN  KAGANDA akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu mauaji ya mtu mmoja ambaye alikuwa ni mfanyabiashara  wa vipuri vya pikipiki mjini Tabora marehemu Michael  Samson ambaye aliuawa usiku baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana ambapo walimpiga kwa jiwe kichwani lililosababisha kifo chake papo hapo. Kwa mujibu wa mashuhuda mmoja kati ya wauaji mara baada ya kuwaamuru walale chini wateja watano waliokutwa kwenye Bar hiyo alichukua jiwe lililokuwa umbali wa hatua kumi na kuja kumpiga nalo mara mbili  kichwani  kwa nguvu marehemu Michael hali iliyosababisha kupasuka vibaya kichwa....Hata hivyo Polisi hadi sasa wanawashikilia watu wawili kuhusiana na tukio

WASTARA KUWA REFA KWENYE NGUMI KATI YA IRENE UWOYA NA AUNT EZEKIEL TAREHE 29 MWEZI HUU CCM KIRUMBA, MWANZA

Image
Mcheza filamu mwenye jina kubwa bongo Wastara Juma anatarajia kuwa refa kwenye pambano la ngumi kati ya Irene Uwoya na Aunt Ezekiel linalofanyika mwishoni mwa mwezi huu kwenye uwanja wa CCM kirumba jijini Mwanza

BREAKING NEWS:. AJALI MBAYA KITUO CHA MABASI UBUNGO JIJINI DAR

Image
Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali imehusisha magari 6 likiwemo UDA mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.

AJALI TENA MORO : TRAFIK AGONGWA NA GARI MOROGORO.

Image
Askari wa  kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu  kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa. Tukio hilo lilitokea jana wakati Askari Huyo alipokuwa Eneo la Kituo cha kushusha Abiria Kwenye Shule ya Msingi Ya Mtawala Mkoani hapa Kwa sasa Afande huyo ambaye hii ni mara ya pili kugongwa na gari akiwa kazi imelazwa wodi namba moja hospiatal ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro. Endelea Kuwa Nasi kwa Taarifa zaidi..

WEZI WAMFANYIA KITU MBAYA FLORA MVUNGI

Image
Mwanadada Florah Mvungi amekumbwa na dhahama ya aina yake baada ya wezi ambao hawajapatikana mpaka sasa kuvunja kioo cha gari yake na kumuibia laptop yake na flash yake iliyokuwa na wimbo mpya wa mumewe H-Baba na kisha kuamua kuuvujisha wimbo huo kama alivyoelezea mwanadada huyo akionesha picha ya gari yake hiyo ilivyunjwa kioo hapo juu. ‘’…My car jamani ndo kwanza ina about a month since iingie mume wangu katoka nayo wamevunja wameiba laptop yake.flash yenye nyumbo zake yaani these thieves i hate youuuuuuuu..sasa mmeiba sawa haya na inakuwaje mvujishe wimbo wa hbaba?sasa mapigo mawili kutengeneza gari na wimbo mnavujisha TUBEBANE SONG haikuwa itoke sasa ndo nini?? Why kariakoooooo lumumba jamaniiiiii my new car..’’ Pole sana dada Florah - See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2014/03/wezi-wamfanyia-kitu-mbaya-flora-mvungi.html#sthash.mvIkuYwv.dpuf

MWANAUME MTUMZIMA ALIPONASWA AKIVUNJA AMRI YA 6 YA MUNGU NA STUDENT MCHANA LIVE KWENYE GARI ONA AIBUUU HII YA MTUMZIMA LIVE!!

Image
Jamani haya Magari yetu yamegeuka kuwa Gesti House siku hizi, Maana haka kamchezo kameshamiri hapa jijini Dar ...Hiki ndicho kilichomkuta njemba huyu Baada ya kunaswa akila Uroda na mwanafunzi kwenye gari yake.

UNAAMBIWA HUYU NDIYE MWANADADA MWENYE HIPS ZA KUVUTIA, YANI NI SHIDAH KINOMA

Image
mmmmmh   mwanamke mwenye biggest hips..... Kenya nzima  Corazon mmmmmh