Posts

Showing posts from January 27, 2014

A man who goes by the name of Mad Dog cuts off a portion of a burning body to eat

Image
+11 A man who goes by the name of Mad Dog cuts off a portion of a burning body to eat, as the bodies of two lynched Muslim men are burned in a street in Bangui, Central African Republic Shocking photographs have emerged of a cannibal by the name of Mad Dog eating the flesh of a lynched Muslim man for the second time in as many weeks. In one, 'Mad Dog' - real name Ouandja Magloire - cuts a portion of meat from the body of a murdered Muslim lying burning on a roundabout in the capital of the Central African Republic, with the body of another a few yards away. Another photograph shows him licking a bloodied knife as he stands over a body, wearing the same T-shirt he was pictured in during the previous act of cannibalism. 'Mad Dog' licks blood off a knife, as a crowd prepares to burn the body of a lynched Muslim man in Bangui The horrific images were taken in Bangui on Sunday. According to The Associated

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA TCRA

Image
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY VACANCIES The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) hereby invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following vacant posts in its establishment PRINCIPAL ECONOMIST III- (ONE POST) (i) Job Purpose: To provide economic analysis services to the Authority to aid interpretation of economic relationships in the regulatory process. (ii) Person Specifications A: Essential: Qualifications: A Masters Degree in Economics Experience: A minimum of six (6) years post qualification experience in a related field. Having worked in a regulatory or a communications environment will be an added advantage Skills/Abilities:  Excellent command of English and Kiswahili languages  Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages, peach tree, multimedia packages i.e Adobe Premier Pro etc  Interpersonal skills  Organizational skills

MKE WA MKUU WA MKOA MSTAAFU WA MOROGORO MH MASHISHANGA AFARIKI DUNIA,

Image
 Familia ya Mzee Steven Mashishanga wakiwa katika maombolezo ya msiba wa mke wa Mashishanga Suzana aliyefariki jana. Rais  Kikwete naye alipata fulsa ya kumtembela Mgane ashishanga na kutoa rambirambi zake.  Pole sana Mzee, Mungu akupe nguvu, sio jambo jepesi, ni kazi ya Mungu jipe Moyo Utashinda, Bwana ametoa na leo ametwaa jin lake lihimidiwe, amina, Ni katibu wa CCM mkoa wa Morogoro akimwambia Mzee Mashishanga huku akiwa amemkumbatia. Mzee Mashishanga akiwa amejiinamia katika msiba huo, Mbele yake nyuma yetu, amina.

ANAHITAJI KITU TOKA KWAKO .... KILA MWANAUME NINAYE MVULIA CHUPI SIKU YA KWANZA HARUDI TENA...NIFANYEJE...??

Image
  Mimi  ni  mwanamke.Naomba msaada wa  mawazo  maana  sijui nina nini mimi... Umri unanitupa mkono maana nakaribia miaka 35 lakini sijampata aliyewahi kunitangazia ndoa.Cha ajabu kila anayelala na mimi siku ya pili harudii tena na hata nikimpigia simu hapokei Hapo ndo linapoanzia tatizo na  kunifanya nijisikie vibaya...Saivi  hata mtaani nachagua kwa kupita...  Kuna mwanaume mmoja huyo ndo aliwahi kunichana live kuwa nina maji mengi na UCHI wangu  ni mkubwa kiasi kwamba ha piz hadi amfikirie mpenzi wake wa zamani... Jamani naomba msaada nifanyaje mie. Je kuna dawa ya kupunguza haya maji na kuifanya hii MAMBO  iwe  ndogo?

MPENZI MPYA WA DIAMOND KUMBE ANAMTANDAO MKUBWA WA KIMAPENZI(WANAUME), MBALI NA DIAMOND!! JE KWA MTANDAO HUU TUTAPONA KWELI????

Image
Mambo mengi yameibuka baada ya jana tovuti  TUANGAZE BONGO kuriport kuwa Hamisa Mobeto anauhusiano wa kimapenzi na Msanii Diamond Platnumz au Sukari ya warembo kama yeye mwenyewe anavyojiita.  Yameibuka mengi  mengi  ambayo wengi wetu tulikuwa hatuyafahamu na katika hayo mengi ni hayo hapo chini katika picha Nanukuu maneno hayo katika hiyo picha " Dah hamisaaaa Mtoto balaa wewe ukawachanganya kama karanga .... Ulianza na kipindi Hicho domo hakua star kama Romy Jones @romyjons basi huyo ukaenda kwa Romy domo akamind kutoka hapo kwa Romy ukaenda kwa petit man mutu mufupi ukampa penzi ukamkimbia ukahamia tiptop kwa tunda man dah wee ni noma sana ... Hadi Leo domo na petit hawaelewani sababu yako maana petit anampenda hamisa balaa... Kajala na wewe ulivyomfanya petit sio fresh mwenzio alikua anafunga safari kila Leo kuja kukuona Leo hii umempiga kibuti dah una hatari wewe petit analia njiani jamani amekosa raha .. Ma wewe petit kilichokufanya kumtenda recho ni n

Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

Image
Msanii wa kundi la Futuhi Mzee Dude amefariki dunia Leo mida ya saa kumi na moja jion. Habari zinasema kuwa alizidiwa jana Jumapili na kukimbizwa katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza. phars blog tunapenda kutoa pole kwa familia ya mzee Dude,  MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI

TAZAMA PICHA ZA KWANZA ZA ALIEKUWA NYOTA WA ISIDINGO LETTIE MATABANE ALIVYOAGWA LEO LIVE...!!!!

Image
Bra G...akiwa mwenye sura ya huzuni wakati wa ibada ya mazishi ya Lettie iliyofanyika Jumamosi, Jan 25 J'Burg Afrika Kusini 'Parsons' wa Isidingo akifuatlia kwa makini ibada ya mazishi ya Lettie. kwenye Isidingo alikuwa kama dada yake ..baadhi ya waombolezaji waliofurika kanisani wakati wa ibada. Pichani juu na chini, Lettie Matabane enzi za uhai wake. Lettie au Lesego Motsepe, alizikwa jana Jumamamosi kwa kuchomwa moto katika makaburi ya familia. R.I.P