Posts

Showing posts from December 12, 2013

SOLLY MAHLANGU ‘OBRIGADO’ KUOMBELEZA KIFO CHA MANDELA UWANJA WA TAIFA

Image
Na Makuburi Ally WAKATI siku za Tamasha la Krismasi zikikaribia, Muimbaji mahiri  anayeshika kasi katika anga la muziki wa Injili barani Afrika, Solly Mahlangu anatarajia kuombeleza   kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Nelson Mandela  anayetarajia kuzikwa keshokutwa kijijini Qunu nchini humo.  Baadhi ya waumini watajiuliza maswali mengi kwamba baada ya kifo cha Mandela labda muimbaji huyo hatoweza kushiriki katika Tamasha hilo la kumtukuza na kumuimbia Mungu, lakini ukweli ni kwamba wamtarajie muimbaji huyo ambaye ataimba baadhi ya nyimbo zake kwa lugha ya Kiswahili.   Kwa mujibu wa Mkurugenzi  wa Kampuni ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa Tamasha hilo, Alex Msama, muimbaji huyo  ni mmoja wa waimbaji kutoka nje ya Tanzania ambao watashiriki, hivyo waumini watarajie kumuona jukwaani akifikisha neno la Mungu kwa njia ya nyimbo.    “Ni muimbaji ambaye anashika kasi katika anga ya muziki wa injili barani Afrika ambaye pia anamudu kuimba Kiswahili kizuri kwa 

MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI MAKTABA YA SHULE YA MSINGI MZIMUNI ILIYOKO WILAYANI KINONDONI.

Image
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwahutubia wanafunzi na walimu wa shule ya Msingi Mzimuni pamoja na wananchi wa eneo hili wakati wa sherehe za uzinduzi wa Maktaba ya shule hiyo tarehe 11.12.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI. Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Mzimuni wakiimba nyimbo za mataifa ya Tanzania na Korea Kusini wakati wa sherehe za uzinduzi wa maktaba katika shule hiyo huko Magomeni katika wilaya ya Kinondoni tarehe 11.12.2013. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Mzimuni nao wakishiriki katika sherehe ya uzinduzi wa maktaba ya shule hiyo. Walimu ya Shule ya Msingi ya Mzimuni nao waliungana na wanafunzi wa shule hiyo kusherehekea uzinduzi wa maktaba ya shule uliofanywa na Mama Salma Kikwete tarehe 11.12.2013 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa maktaba ya Shule ya Msingi ya Mzimuni iliyoko Magomeni. Kushoto kwa Mama Salma ni Mheshimiwa Balozi Young-Shim Dho, Mwanzilishi wa Step F

CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL APIGWA 2-0, CHELSEA ASHINDA, BARCA YAUA

Image
Chelsea 1-0 Steaua Bucuresti Schalke 2-0 Basel  Napoli 2-0 Arsenal Marseille 1-2 Borussia Dortmund Barcelona 6-1 Celtic AC Milan 0-0 Ajax  Atletico Madrid 2-0 Porto Austria Wien 4-1 Zenit Petersburg TIMU ZILIZOFUZU HATUA YA 16 BORA Walioshika nafasi ya kwanza kwenye makundi: MAN UTD, Real Madrid, PSG, Bayern Munich, CHELSEA, Borussia Dortmund, Atletico Madrid, Barcelona.  Washindi wa pili: Bayer Leverkusen, Galatasaray, Olympiakos, MAN CITY, Schalke, ARSENAL, Zenit, AC Milan.

ANGALIA PICHA ZAIDI ZA JENEZA LA MWILI WA NELSON MANDELA LIKITOLEWA HOSPITALI KUPELEKWA MJI MKUU PRETORI

Image
Tribute: Military officers carry the casket of former president Nelson Mandela into the Union Buildings in the South African capital Pretoria, the seat of government where he will lie in state for three days Thousands of mourners lined the streets of South Africa this morning as Nelson Mandela's body was moved to lie in state in the capital - inside the building which once housed the apartheid government he fought for five decades. South Africans formed a guard of honour for their former president this morning as his body was transported through Pretoria in a casket draped in the national flag, in a hearse surrounded by outriders, to lie in state for the first of three days. This morning Mandela's grandson Mandla visited his open casket in the government's Union Buildings, followed by his second wife Winnie Madikizela-Mandela and third wife Graca Machel, as well as So

Tido afiwa na mama yake mzazi

Image
Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia  Chang'ombe jijini Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo. Akizungumza jana jioni, Tido alisema mama yake ( alifariki baada ya hali kubadilika ghafla). "Alikuwa na matatizo ya moyo kwa siku nyingi, lakini hali ilibadilika ghafla, akafariki akiwa nyumbani," alisema. Tido alisema taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwa marehemu Chang'ombe, karibu na Klabu ya Sigara. "Tunafanya maandalizi, taratibu zinasubiri watoto wa marehemu waliopo Uingereza, Marekani na Australia, mwili utasafirishwa Tanga kwa maziko." Ameacha watoto wanane, enzi ya uhai wake alifundisha Shule za Msingi Mgulani, Kibasila za Dar es Salaam. Nyingine ni katika mikoa ya Tanga, Dodoma, Morogoro, Iringa, Arusha na Mwanza.CHANZO MWANANCH I phars blog tunapenda to

PRODYUZA AMTUPIA KOMBORA WEMA

Image
BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na ukuwadi ndani ya kampuni hiyo wala siyo uzinzi, Amani linakujuza. Prodyuza Rashid Mohammed ‘Chid Classic’. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Chid amesema hajafukuzwa katika kampuni hiyo kama alivyodai mratibu wa kampuni hiyo, Petit Man bali ameondoka baada ya kuchoka  kufanya kazi bila ya kulipwa mshahara. “Ni uongo kusema kwamba nimenaswa nikifanya uzinzi Coco Beach nikiwa ndani ya magari ya Wema, sijawahi hata siku moja kufanya hivyo kwani nina kwangu ambako nina uwezo wa kumwingiza mwanamke wakati wowote,” alisema. Wema Isaac Sepetu. “Tangu kampuni ianzishwe haijawahi kulipa mishahara unadhani nitakuwa na moyo wa kufanya kazi, sikwenda pale kufanya ukuwadi kama wengine, tena nawaomba wasiendelee kusema uongo kwani nina mengi nayajua ya Endless Fame,” a

MBINU ZA KUMFIKISHA KILELENI MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KWA HARAKA

Image
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja.

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

Image
  Institute of Accountancy Arusha  P.O. Box 2798, Njiro Hill, Arusha, Tanzania  Telephone: 255 27 254 9605 / 254 9606 / 250 1416 / 250 6096 Fax: 255 027 254 9421  Telex: 50009 IAA TZ: Email: iaa@iaa.ac.tz Website: www.iaa.ac.tz  VACANCY ADVERTISEMENT  Introduction  The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering  undergraduate and postgraduate training courses. It is established by the Institute of  Accountancy Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of  Arusha City. The Institute wishes to recruit a number of suitable, motivated, potential and  capable human resources from the market on three year contract.  Vision Statement  To become an exemplary centre of excellence in modern business management training,  research and consultancy services.  Mission Statement  To provide high quality, competence-based training and offer research and consultancy  services through