Posts

Showing posts from August 9, 2015

Mtoto wa zari amliza Diamond.

Image
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, akiwa na mtoto wake P rincess Tiffah . Musa mateja na imelda mtema HII ni kali! Muda mchache baada ya mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua salama, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejifungia chemba kisha kuangua kilio akisema Mungu ni mwema huku akiwataja waliowahi kuwa wapenzi wake, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Jokate Mwegelo kwa maneno yao ya shombo. Mama yake Diamond Platnumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa na mjukuu wake wakiwa na Zari baada ya kujifungua. TUJIUNGE AGA KHAN Tukio la kujifungua mchumba wa Diamond, Zari lilijiri Agosti 6, mwaka huu mishale ya saa 10:40 alfajiri katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar  ambapo alipelekwa usiku huo baada ya kujisikia uchungu ambapo alijifungua mtoto huyo wa kike. Chanzo cha habari kilieleza kwamba, siku hiyo, wakiwa hospitalini hapo, muda mfupi tu baada ya Diamond kuambiwa kuwa tayari Zari amejifungua, jamaa huy

SKAINA: WAOMBA RUSHWA YA NGONO WAMENIKATISHA TAMAA!

Image
BRIGHTON MASALU SKYNER Ally ‘Skaina’ amekiri kukutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya wazalishaji wa filamu (producers), ili aweze kuonekana kwenye filamu mbalimbali, jambo ambalo anakiri kumkatisha tamaa katika safari yake ya kufika mbali kisanii. ....Soma zaidi====> http://bit.ly/1KWNriy

MAGUFULI ASEMA YEYE NI MUUMINI WA MISINGI IMARA YA CCM

Image
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kutoka Wilaya ya Lindi ,Mama Salma Kikwete mara baada ya kuwasli  kwenye ofisi za CCM mkoa wa Lindi.  Mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi Ally Mchumo mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za CCM mkoa wa Lindi. Mgombea wa Urais kupitia CCM ,Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana mkoa wa Lindi Ndugu Amiri Mkalipa wakati wa mapokezi nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi.    Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mchumi wa CCM mkoa wa Lindi Ndugu Kassim Abdallah.  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Magufuli akisalimiana na wana CCM wa mkoa wa Lindi walioj

KAULI YA SOPHIA SIMBA KUHUSU MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, "MAGUFULI" ,

Image

BREAKING NEWS: MAKUBWA YAIBUKA NDANI YA CHAMA CHA CUF...HIKI SASA NDICHO KIMETOKEA MUDA MFUPI ULIOPITA

Image
Wafuasi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na pia mwenyekiti mwenza wa muungano wa wapinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, wameanza kushughulikiwa na kutakiwa kuchagua moja; kuendelea kuwa ndani ya chama hicho au kutoka. Ingawa Profesa Lipumba alipojiuzulu uenyekiti, alisema ataendelea kuwa mwanachama wa CUF, lakini Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama waliokuwa wakimuunga mkono, kuamua moja, kubaki ndani ya chama hicho kama alivyoamua mchumi huyo mashuhuri duniani, au kutoka. “Profesa Lipumba kajiuzulu CUF, wale waliojiunga CUF kwa sababu ya Profesa, wanayo fursa ya kuamua kubaki CUF au kutoka,” alisema Hamad juzi usiku. Mbali na kuwataka wanaomuunga mkono Profesa Lipumba kuamua kutoka ndani ya chama hicho au kubaki, wakati kiongozi wao akiwa ameweka wazi kuwa hana nia ya kutoka katika chama hicho, Maalim Seif alitoa kauli zingine kuashiria kutohitaji hata uanachama wa

BREAKING NEWS : RATIBA YA EDWARD LOWASSA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Image

MEZA YA MAGAZETI YETU YA LEO TRH 9/8/2015

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . .