Posts

Showing posts from April 5, 2016

TRA wavuka lengo kwa kukusanya Sh trilioni 1.3

Image
Akizungumza na waandishi habari Jijini Dar es salaam kuhusu mwenendo wa makusanyo ya mapato, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata amesema ongezeko la makusanyo linatokana na jitihada zinazofanyawa na TRA katika kuongeza kasi ya usimamizi wa ufuatiliaji na ukadiriaji wa kodi kwa usahihi. “Tumejitahidi kudhibiti biashara za magendo katika maeneo ya Ukanda wa Pwani wa Bahari ya Hindi, mipakani na maziwa yote, Alisema Kamishna Mkuu. Amesema hadi kufikia Machi 2016, tayari TRA imekusanya shilingi Trilioni 9.89 sawa na asilimia 99 ya lengo la makusanyo ya shilingi trilioni 9.99 mwaka wa fedha 2015/2016. Bw. Alphayo amewasisitiza wafanyabiashara ambao hawajasajili biashara zao kufanya hivyo mara moja kupitia ofisi za TRA zilizoko katika maeneo ya biashara zao na kwa wale wanaoshiriki vitendo vya uingizaji bidhaa za magendo nchini amemewata kuacha mara moja kwani vinaipotezea serikali mapato. “Wakikamatwa katika msako unaoendelea watachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kutaif

HAWA NDO MAJAMBAZI MAARUFU WA KUIBA MAGARI HAPA DAR...WADAKWA NA POLISI WAKIWA NA MAGARI YA WIZI NYUMBANI KWAO .TAZAMA HAYA MAGARI WALIYO IBA

Image
wamedakwa waligeuza nyumba yao maeneo ya Boko/Bunju Yard ya Magari ya Wizi , Kama kuna ndugu jamaa au Rafiki aliibiwa Noah mpe Taarifa afike Oysterbay police ‪#‎ UlinziShirikishi‬

Ndege Zagongana na Kuwaka Moto, Jakarta – Indonesia

Image
Ndege ya kubeba abiria ya Shirika la Batik Air Jakarta – Indonesia UWANJA wa Ndege wa Mji wa Jakarta nchini Indonesia umefungwa kwa muda baada ya ndege mbili kugongana usiku wa kuamkia leo. Ndege ya kubeba abiria ya Shirika la Batik Air ambayo ni Air Boeing 737-800, yenye namba za usajili PK-LBS na namba ya safari 7703 kutoka Jakarta Halim Perdanakusuma kwenda Ujung Padang (Indonesia) ikiwa na abiria 49 na stafu 7 wakati ikipaa, ubawa wake uligonga sehemu ya nyuma ya ndege ya Shirika la TransNusa yenye namba za usajili PK-TNJ iliyokuwa ikibururwa kwenye njia ya kutumiwa na ndege kupaa au kutua. Ndege ya kubeba abiria ya Shirika la Batik Air iliyopata ajali. Ubawa wa pembeni wa ndege ya Batik Air uligonga mabawa ya nyuma ya ndege ya TransNusa na bawa la kushoto na kusababisha tenki la mafuta la ndege ya TansNusa kupasuka na kushika moto papo hapo. Muda mfupi tu kikosi cha zimamoto cha uwanjani hapo kilifika eneo la tukio na kuanikisha kuuzima moto huo. Hata h

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 05.04.2016

Image

MAGAZETI YA UDAKU EO TAREHE 05/04/2016

Image

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image

RAIS MAGUFULI AMUAGA RAILA ODINGA

Image
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kuashiria kuagana na wageni wake, Raila Odinga pamoja na Mkewe Ida Odinga waliofika Chato juzi kwa ajili ya mapumziko na kumpongeza Mhe. Rais .   Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga akiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Shule ya Sekondari ya Chato mkoani Geita. Odinga alifika Chato juzi akiwa na familia yake kwa ajili ya kumpongeza Mhe. Rais pamoja na kushiriki pamoja Ibada ya jumapili ya pili ya Pasaka katika Kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato mkoani Geita. Wengine katika picha ni Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli pamoja na Mke wa Raila Bi. Ida Odinga.   Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga akiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika katika uwanja wa Shule ya Sekondari ya Chato mkoani Geita.     Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiagana na Mke wa Waziri Mkuu

FEDHA ZA MAADHIMISHO YA MUUNGANO MWAKA HUU KUPANUA BARABARA YA MWANZA-AIRPORT.

Image