Posts

Showing posts from June 12, 2014

HOTUBA YA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2014/2015

Image
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 . UTANGULIZI  1.Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2014/2015. Pamoja na hotuba hii, nimewasilisha vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu za Bajeti. Kitabu cha Kwanza ni makisio ya mapato; Kitabu chaPili ni makisio ya matumizi ya kawaida kwa wizara, idara za Serikali zinazojitegemea, wakala na taasisi za Serikali;  Kitabu cha Tatu ni makisio ya matumizi ya kawaida kwa mikoa na mamlaka za serikali za mitaa; na Kitabu cha Nne ni makadirio ya matumizi ya maendeleo kwa wizara, idara za Serikali zinazojitegemea, wakala na taasisi za Serikali, mikoa na mamlaka za serikali za mitaa.  Aidha, upo Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2014 ambao ni sehemu ya bajeti hii. <<BOFYA  HAPA  KUISOMA  HOTUBA  HIYO>> AU &

BREAKING NEWS: Chelsea ime msajili cesc Fabregas

Image
SHARE PICTURE           +10 Blue: Cesc Fabregas has signed for Chelsea from Barcelona on a five-year deal +10 New signing: Fabregas will wear the No 4 shirt and counts as a homegrown player for Chelsea +10 Make it official: Barcelona released an official statement thanking Fabregas for his time +10 Feud: Fabregas (right) has had several run-ins with Chelsea's players in the past +10 Raring to go: Fabregas and Spain face Holland on Friday night in their World Cup opener

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUKUTWA AKITAKA KUMLAWITI KIJANA MDOGO ENEO LA RADIO ARUSHA

Image
Kijana mmoja muda huu ambaye jina lake halijafahamika Mara moja amekutwa Bila aibu Akimlawiti mtoto wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro.  Tukio zaidi tazama hapa chini  Amani Athumani aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita Huyu ndiye dogo ambaye amelawitiwa ana umri wa Miaka 12.  Amani Athumani akiwa Chini ya ulinzi baada ya kukamatwa akiwa anamlawiti kijana wa Miaka 12  Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyebaka  Wananchi wenye Hasira kali wakiwa  wanataka kuanza kumtandika kijana huyo... Mpaka sasa kijana huyo yupo eneo alililo kamatwa Njiro karibu na PPF.  Picha na Arusha yetu Blog

MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20

Image
Baadhi ya washiriki wa redds miss iringa wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi katika ukumbi wanakofanyia mazoezi hotel ya Gentle Hill iliyoko mkoani Iringa.  Na Denis Mlowe,Iringa   HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redds Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20 mwaka huu baada ya aliyekuwa mratibu wa kwanza Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama lilivyopangwa mwanzoni na Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti kuhusiana kutoweka kwa shindano hilo.   Waandaji wa Redds Miss Tanzania chini ya Lino Agency Hashim Lundenga baaada ya kugundua hilo wamempatia kibali cha kuandaa shindano hilo ambalo lilikuwa linasubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa tasnia ya urembo na kwasasa Redds Miss Iringa imepata mratibu mwingine ambaye ni kutoka kampuni ya Chakudika Intertainment chini uongozi wake Victor Chakudika ambaye ni Meneja wa kituo cha radio ya Nuru Fm ya mjini Iringa.   Akizungumza na Tanzani

MWONEKANO WA SOKO LA KARUME ULIVYO BAADA YA KUUNGUA NA MOTO JANA

Image