Posts

Showing posts from May 16, 2016

A-Z Fumanizi la Shilole, Madee!

Image
Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Stori: Gabriel Ng’osha na Sifael Paul YAMEIBUKA tena? Ni takriban mwaka mmoja na ushee tangu skendo ya msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na staa mwenzake wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’ kudaiwa kufumaniwa na aliyekuwa mpenzi wa Shilole, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ambapo kila mtu alijitetea kwa upande wake.   Shilole na Madee Lakini wikiendi iliyopita, Nuh aliibuka na kuifunua upya skendo hiyo ya kumfumania Shilole laivu akimsaliti na Madee wakiwa hotelini, jambo lililomuuma kila anapokumbuka tukio hilo. Kwa mujibu wa Nuh, aliwakuta wawili hao wakivunja amri ya sita huku mmoja wao akiwa mtupu kama alivyozaliwa. Nuh alidai kuwa hapendi sana kuzungumzia suala lake la uhusiano wa kimapenzi kwani linawafanya watu kusahau muziki wake na kusikiliza mambo mengine nje ya kazi zake. Lakini kuhusu kumfumania Shilole na Madee hotelini walipokuwa kwenye shoo katika moja ya Mikoa ya Tanzania Bara (hakusema mko

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inataka Bilioni 864 kwenye bajeti ijayo

Image
May 16 2016 Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2016/2017 pamoja na kuwasilisha maombi ya fedha zaidi ya Bilioni 864. Hotuba imesomwa na Waziri wake Charles Kitwanga . Waziri Kitwanga amesema..>>>  ‘ Wizara yangu imeendelea kupokea na kushughulikia malalamiko ya watumishi ndani ya vyombo Wizara pamoja na wananchi wanaolalamikia utendaji wa vyombo hivyo ’ ‘ Katika kipindi cha Julai 2015 hadi Machi 2016 Wizara kupitia idara ya malalamiko 238 yanayohusu utendaji kazi wa vyombo vya kijeshi ndani ya Wizara kutoka kwa wananchi kupitia njia ya barua, simu, barua pepe, nukushi pamoja na mahojiano ’                ‘ Ili kuiwezesha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kutekeleza majukumu yake katika mwaka wa fedha 2016/2017, naliomba Bunge lipitishe makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ya jumla ya Shilingi 864,106,290,105 ‘ ‘ Kati y

WAZIRI UMMY MWALIMU AMETAKA WATUHUMIWA WANAOONEKANA KATIKA VIDEO INAYOSAMBAA MITANDAONI WAKIMBAKA MWANAMKE WAFIKISHWE MAHAKAMANI

Image
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka watuhumiwa waliombaka mwanamke eneo la Dakawa mkoani Morogoro na video yake kusambazwa wafikishwe mahakamani haraka. Haya ndio maneno ya Waziri Ummy Mwalimu katika Akaunti yake ya Facebook: Ndugu zangu! Nimeiona dakika chache zilizopita video ya mwanamke akidhalilishwa na wanaume wawili (mashuka yanaonyesha eneo la Tiff Lodge Wami - Dakawa). Nakemea kwa nguvu zangu zote waliofanya kitendo hiki. Ni unyama uliopitiliza. Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu. Hatuwezi kuuvumilia. Nimeshamuomba Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP wachukue hatua stahiki haraka. Pia nawaomba sana ndugu zangu msisambaze hizo video. Hiyo ni kuendelea kumdhalilisha huyo dada. Amebakwa na pia wamerekodi hilo tukio! Hii haistahimiliki na haivumiliki. Wanawake wote na wanaume wapenda haki na maendeleo ya wanawake tukemee kwa nguvu zetu zote unyama huu. SOMA MAELEZO YA MDADA ALIYELETEWA VIDEO HIYO  Jana usiku kaka yangu mmoja kaniletea video

kikis

Image
Msanii wa filamu, Aunt Ezekiel na mpenzi wake Mose Iyobo pamoja na mtoto wao ‘Cookie’, wapo kwenye mchakato wa kuandaa filamu ya fimilia. Mose Iyobo ambaye pia ni dancer wa Diamond, ameiambia Bongo5 kuwa tayari wapo kwenye mchakato wa kauandaa kazi hiyo. “Kuna kazi za filamu zinakuja, mtaziona tu, tena familia yetu yote mtaiyona,” alisema Mose. “Unajua Cookie yupo kwenye mikono ya Mama muigizaji na Baba dancer, kwa hiyo ingawa mwenyewe anaweza kuchagua kwa kwenda lakini sisi ndiyo taa yake, kwa hiyo mambo yakikaa sawa mtamuona, Cookie, Baba yake na Mama yake kwenye filamu moja,” alisema Mose. Pia Mose alisema mtoto wao ‘Cookie’ ataonyeshwa kwa mara ya kwanza hadharani tarehe 21 mwezi huu baada ya kutimiza mwaka mmoja. Bongo5

RC PAUL MAKONDA ASEMA WANAWAKE NDIO CHANZO CHA UFISADI NCHINI

Image
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikagua machinjio ya Vingunguti baada ya kuzungumza na wananchi wa Kata ya Mnyamani Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omari Kumbilamoto. Wananchi wa Kata ya Mnyamani Vingunguti wakiwa kwenye mkutano huo wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (hayupo pichani) Makonda (kushoto), akisalimiana na wananchi na viongozi wakati akiwasili kwenye mkutano huo. Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omari Kumbilamoto (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuzungumza na wananchi. Kutoka kulia ni Diwani wa Kata ya Mnyamani, Shukuru Dege, RC. Makonda na Meneja wa Benki ya Wananchi Dar es Salaam (DCB), Tawi la Ukonga, Das Ndazi. Meneja wa Benki ya Wananchi Dar es Salaam (DCB), Tawi la Ukonga, Das Ndazi (kushoto), akizungumza katika mkutano huo kuhusu suala zima la utoaji wa mikopo. RC Makonda

COLLABO YA DIAMOND PLATINUMS NA CRIX BROWN YAIVA,CHECK HAPA MIPANGO YOTE LIVE

Image
On Another Move.... Diamond Platnum to make Collabo with Crix brown Good news to Bongo Flavor Artist from Tanzania Diamond Platnumz, After A big Television of MTV BASE Africa wrote this Message;@diamondplatnumz working on a future project with #chrisbrown,” wameandika., due to that message from Mtv it have brought many Understanding between Fans of Diamond Platnumz, Okay let us wait and see the next move from Bongo flavor artist from Tanzania Apart from Crix brown Diamond have got another new connection to Miley Cyrus and Shakira Miley Cyrus Shakira