Posts

HII KALI HEBU MCHECK JIMAMA HILI! HALAFU UTUPIE MAONI YAKO!

Image
Mama mtumzima anayekaa maeneo ya sinza kwa remmy, akiwa chumbani kwake amejilaza akimsubiria baba watoto wake! Filled under: UDAKU TUPE MAONI YAKO

JE!UKIMTONGOZA MSICHANA KWA KUTUMIA HAYA MANENO NI LAZIMA AKUBALI

Jamaa : Hello mrembo, samahani, una mpenzi? Binti: Hapana. Sina mpenzi. Jamaa : Kitabu cha Mwanzo 2: 18 "Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye." Binti: Lakini mimi sikupendi jamani. Jamaa : Waraka wa kwanza wa Yohana 4:8 "Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo." Binti: Mh! Mi ntajuaje kwamba na wewe unamaanisha hayo maneno? Jamaa: Injili ya Mathayo 12:34b "Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake." Binti : Jamani leo kazi. Mi ntajuaje kwamba we ni mkweli na mwaminifu? Jamaa : Injili ya Marko 13:31 "Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe." Binti: Wewe! Na kwanini umekuja kwangu? Wasichana mbona wako wengi tu! Jamaa : Mithali 31:29 "Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote." Binti: We una mambo wewe! Sasa mimi kwangu umependa kitu gani? Jamaa : Wimbo Ulio Bora 4:7 "Mpe

KIGOGO WA POLISI ‘AKAMATA’ LORI LENYE SUKARI YA WIZI

Image
-NI RPC WA MKOA WA TEMEKE Na Makongoro Oging' NI jambo la kufurahisha kuona kwamba polisi wamekataa rushwa ya shilingi milioni 30 baada ya kuwakamata majambazi waliokuwa wakipakia sukari ya wizi jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert I. Kiondo (kushoto) akiwaonesha waandishi wa habari na maofisa wa polisi shehena ya sukari iliyokamatwa. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita baada ya polisi kukamata magunia 1,312 ya sukari yenye thamani ya shilingi milioni 90.5 yaliyoibwa katika ghala la kuhifadhia bidhaa la Haruni Zacharia Enterprises lililopo Mbagala, wilayani Temeke, Dar. Polisi hao ambao wako chini ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, ACP Engelbert Kiondo imeelezwa na chanzo chetu kuwa walikataa rushwa hiyo baada ya kuwakamata majambazi 12 wenye silaha za moto na mapanga baada ya kuwakuta laivu wakipakia mifuko ya sukari katika lori la kubebea mizigo. Kamanda Kiondo akio

MUME AMLAWITI MWANAE NA KUMBAKA SHEMEJI YAKE

Image
Bw  Mohammed, mkazi wa Kigamboni jijini Dar amedaiwa kuwafanyia unyama watoto wawili, akimlawiti mwanaye wa kufikia na kumbaka mdogo wa mkewe.Akizungumza na mtandao huu juzi nyumbani kwake, mke wa mtuhumiwa huyo, Zubeda alisema watoto waliofanyiwa hivyo ni mwanaye wa kiume (6) na mdogo wake wa kike (16) (majina tunayo). Mwanamke huyo alisema: Nilikutana na Mohammed nikiwa na mtoto huyo wa kiume, ndani  ya uhusiano wetu tukajaliwa kupata mtoto wa kiume hivi karibuni, hapo ndipo matatizo yalipoanza.  “Alihama chumba ili mimi nilale na kichanga, akaenda kulala na mtoto huyo. Niliamini angemchukulia kama mwanaye kwa kuwa tulishaoana. “Mwaka jana alikuja mdogo wangu, tukabadili kulala, tuliwaacha watoto hao walale chumba kimoja mume wangu akarudi chumbani. Alizua tabia ya kutoka usiku eti kuvuta sigara kumbe alikuwa anakwenda kumwingilia mdogo wangu,” alizidi kudai mwanamke huyo.  Alidai kuwa ikafika wakati akagundua mwanaye h

WAUMINI WA KIISLAMU WACHOMANA VISU JIJINI MBEYA ...SHEIKH AUMIZWA VIBAYA WAKATI WA IBADA YA IDD

Image
WAUMINI wa dini ya Kiislamu waliokuwa katika ibada ya Swala ya Idd El Fitri katika msikiti mkuu wa Ijumaa uliopo Wilayani Kyela mkoani Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya Shekhe wao aliyekuwa akiongoza ibada kuvamiwa kibla wakati akiendesha ibada na kujeruhiwa. Tukio hilo la aina yake limetokea majira ya asubuhi ambapo Shekhe huyo aliyetambuliwa kwa jina la Nuhu Mwafilango alishambuliwa akiwa katikati ya sijida baada ya mtu mmoja aliyedaiwa kuwa ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya kutwa ya Kyela, Ally Mwangosi kuchoma Shekhe huyo na kitu chenye ncha kali. Taarifa kutoka msikitini hapo zinadai kuwa mara baada ya tukio hilo, Shekhe alipiga kelele wa kuomba msaada na ndipo waumini waliokuwa wakiswali msikitini hapo waliposhikwa na taharuki. Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu Wilayani Kyela Bw. Daudi Mwenda alisema kuwa waumini walimuokoa na kumkimbiza katika Hospitali ya Wilaya kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Bw. Mwenda alisema kuwa Shekhe huyo ameumizwa vibaya ki

MTAMBO WA DAWA ZA KULEVYA WAINGIZWA NCHINI.....

Image
  Wakati matukio ya baadhi ya vigogo na wasanii maarufu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulenya hayajapoa, imebainika kuwa mtambo maalumu wa kuchanganya na kuziongezea thamani dawa hizo upo hapa nchini. Taarifa zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa mtambo huo ambao awali ulikuwa unapatikana Mombasa, Kenya, pekee, unatumika kuchanganya dawa za kulevya na kemikali nyingine ambapo nusu kilo ya heroine huongezwa hadi kufikia kilo mbili. Uchunguzi unaonyesha kuwa kuwa mtambo huo ulioingizwa mwaka huu na kigogo mmoja wa dawa hizo, upo katika nyumba moja iliyopo eneo la Mbezi Beach. Mmoja wa watumiaji wa dawa hizo ambaye hakutaka kutajwa gazetini kwa kuhofia usalama wake, alisema mtambo huo umerahisisha upatikanaji wa heroine nchini maarufu ‘white sugar’ kama inavyojulikana mitaani. “Zamani ‘white sugar’ ikitoka shamba (nchi inakotengenezwa yaani Pakistan na nchi nyingine) ilikuwa inapelekwa Mombasa, Kenya, ambako kuna mtambo wa kuchanganya na da

SHEHA ALIYEKUTWA NA BANGI ATIMULIWA KAZINI HUKO UNGUJA

Image
SERIKALI katika mkoa wa Kusini Unguja, imemtimua kazi Sheha wa Kitumba, Mtwana Kificho, ambaye wiki iliyopita nyumbani kwake alikutwa na majani makavu yanayosadikiwa kuwa bangi baada ya polisi kufanya ukaguzi.   Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hijja, jana aliwateuwa masheha wawili na kuwaapisha kuongoza shehia hizo, pamoja na sheha mpya wa Kitumba, Makame Chum.   Akizungumza na masheha hao katika eneo la Tunguu katika mkoa wa Kusini Unguja, Dk Hijaa, aliwataka masheha hao kutekeleza majukumu yao ya kuongoza kwa busara katika maeneo yao kwa mujibu wa sheria.   Alisema masheha ni watendaji na wasimamizi wa majukumu ya wananchi, ambapo matatizo yao wanatakiwa kuwasilishwa mbele ya Serikali Kuu kupatiwa ufumbuzi.   “Majukumu ya kazi kwa masheha ni kusimamia matatizo ya wananchi na kuyaelekeza kwa Serikali Kuu kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi na sio kuchochea mifarakano katika jamii,” alisema.   Kwa mfano Mkuu wa Mkoa

POMBE ZAWAFANYA WAKINA DADA WAMWAGE RADHI!

Image
wahenga walisema pombe si maji na ukizivagaa ni lazima zikuhadhiri Ama kweli pombe mwanaharamu, baada ya watu kupiga tungi, wata wakaanza kujiachia na kuchezacheza bila ya muelekeo mwisho wa siku hayoapo juu ndo yaliyotokea!

muonekano wa Irene Uwoya akiwa katika mavazi ya mafundi ujenzi akiandaa show yake

Image
Irene Uwoya ameshaanza mpango mzima wa kutembelea nyumba na kuzifanyia ukarabati akiwa kwenye harakati za ku-shoot show yake. Unaambiwa Irene kwenye show anaonekana kama mkandarasi kabisa akiwa amevaa overall na kofia ya wajenzi.  at Friday, August 09, 2013 Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook

DUNIA YACHARUKA SAKATA LA TINDIKALI ................................

Image
UTHIBITISHO NI HAYA MAONI YA WASOMAJI WA MTANDAO WA SKYNEWS JUU YA TUKIO LA RAIA WAWILI WA UINGEREZA WALIOMWAGIWA TINDIKALI MJINI ZANZIBAR JUZI           Hizi ni baadhi ya maoni ya wasomaji wa mtandao wa Skynews.com juu ya tukio la wasichana wawili wenye asili ya uingereza waliomwagiwa tindikali katika kisiwa cha Zanzibar juzi.Wengi wao ni Waingereza wameonyeshwa kukerwa na tukio la kinyama dhidi ya raia hao wa uingereza at Friday, August 09, 2013

MHADHIRI UDSM AUAWA KIKATILI, WAZUNGU WAWILI WAMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR

Image
Mauaji, mashambulizi ya kudhuru mwili na uporaji vimeendelea kuchafua taswira ya Tanzania baada ya juzi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kuuawa kwa kupigwa risasi na watu ambao hawajafahamika, raia wawili wa Uingereza kumwagiwa tindikali na mfanyabiashara kuporwa zaidi ya Sh40 milioni.  Jana, Rais Jakaya Kikwete alikwenda Hospitali ya Aga Khan kuwajulia hali raia hao wawili wa Uingereza waliomwagiwa tindikali huko Zanzibar, Kate Gee (18) na Kirstie Trup (18) akisema tukio hilo limetia aibu kwa mataifa ya nje na kuliamuru Jeshi la Polisi kuhakikisha linawakamata na kuwafungulia mashtaka wote waliohusika. Mauaji Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura alisema jana kuwa mauaji ya Mhadhiri huyo Msaidizi katika Idara ya Uhandisi na Teknolojia, Patrick Rweyongeza (32) yalitokea juzi saa saba mchana maeneo ya Magomeni Tanesco, Dar es Salaam, wakati marehemu

"MAPAJA YANGU NDO KILA KITU CHENYE MVUTO KWANGU" DIVA WA CLOUD FM

Image
Loveness Diva  sasa  kaamua  kuyapromote  mapaja  yake baada ya  kuchoka  kumpaisha  mpenzi  wake..... Kupitia  account  yake  ya  instagram, jana  Diva  alitupia  picha  ya  paja  lake  na  kuwaacha   mashabiki  wake  wafunguke  kama  paja  lake  ni  zuri  au  baya....

ZIWA NYASA LOTE NI MALAWI, TANZANIA HAINA HATA PUNJE YA ENEO".... MGOMBE URAIS NCHINI MALAWI AFUNGUKA

Image
Mgombea Urais wa Democratic Progressive Party (DPP) nchini Malawi, Peter Mutharika, amesema hakuna sababu za kufanya majadiliano kuhusu Ziwa Malawi ambalo Tanzania wanaliita Ziwa Nyasa.    Mutharika, ambaye ni mwanasheria, aliyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika juzi  Mkoa wa Kati. Akikaririwa na gazeti la   Nyasa Times , Mutharika  alisema Tanzania haina cha kuambulia kwa Ziwa Malawi. Kiongozi huyo ambaye hakuwapo katika mkutano wa Rais Joyce Banda na wapinzani kuzungumzia mustakabali wa ziwa, aliwahakikishia Wamalawi kuwa wasiwe na wasiwasi wa mvutano huo. Mutharika ziwa lote ni mali ya Malawi na  akisisitiza kuwa, Tanzania haina hata punje ya eneo. “Hakuhitajiki majadiliano, Ziwa Malawi ni mali ya Malawi, litakuwa la Malawi,” alisema Mutharika ambaye alichukua masomo ya Sheria Tanzania.    “Tanzania inatumia nafasi ya udhaifu wa uongozi wetu, lakini ukweli

RAIS KIKWETE ASALI IDD KINONDONI LEO

Image
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akingia katika msikiti wa Kinondoni Muslim tayari kuhudhuria swala ya Iddi leo asubuhi,jijini Dar es Salaam --Baadhi ya waumini ya dini ya kiisalmu wakiswali swala ya Iddi katika msikiti wa Kinondoni Muslim jijini Dar es Salaam leo jioni(picha na Freddy Maro)

ANGALIA PICHA ZA WASHIRIKI WA BIBI BOMBA WALIVYO MTEMBELEA WEMA SEPETU OFISINI KWAKE

Image
Wema akiwakaribisha Bibi Bomba...  CEO wa kampuni ya Endless Fame Production... Wema Sepetu alipata ugeni kutoka kwa washiriki wa Bibi Bomba (2013)...Kipindi kinachorushwa hewani na Clouds Tv The People Station kikiongozwa na Babuu wa Kitaa... Mabibi wanne walioonekana kuwa na uwezo katika fani ya maingizo walipata nafasi yakujifunza baadhi ya mambo muhimu katika Tasnia nzima ya maigizo... Darasa likaanza sasa.... Maswali na majibu nayo yalikuwepo.... Babuu wa Kitaa akifanya yake... Baada ya kutoa mafunzo Wema alitoa nafasi kwa baadhi ya Mabibi kuonesha uwezo wao kwakile walichojifunza... Pichani ni Bibi akionesha uwezo wake kwakucheza kama Boss wake Wema na Wema akicheza kama mwajiriwa wake... Bibi mwenye nguo ya rangi ya zambarau alioneshesha uwezo wake alipoambiwa amwage chozi baada ya kupewa taarifa