Posts

Showing posts from December 15, 2014

PATA STORY YA MAPENZI YA KUSISIMUA!!!!!

Image
Story ya kugusa Moyo Msichana na mvulana wamekaa peke yao kwenye garden moja mjini usiku. Mvulana: nafikiri sisi tuna mkosi katika dunia hii tumeachwa nyuma sana... Msichana: Ninafikiri hivyo...marafiki zangu wote wana-Boyfriends...sisi peke yetu tumebaki tusio kuwa na wapenzi... Mvulana: Yah Mimi hata sijui nini cha kufanya... Msichana: Mimi najua..tutacheza mchezo fulani hivi..... Mvulana: Mchezo gani? Msichana: Nitakuwa Girlfriend wako kwa siku 30,nawe utakuwa boyfriend wangu. Mvulana: Mpango mzuri in fact sina vitu vingu vya kufanya mwezi huu.... Walikubaliana kucheza huu mchezo.... SIKU YA KWANZA: waliangalia filamu pamoja kwa mara ya kwanza..na wote waliguswa na hiyo romantic movie... SIKU YA NNE: Walienda beach pamoja they had picnic together...they had a quality time together. SIKU YA KUMI NA MBILI: Mvulana alimwalika msichana kwenye maonyesho ya sarakasi,they ride on a horror house...girl was scared and she touched someone else's hand and

GARI LA DIAMOND LAMCHEFUA WEMA

Image
Stori: Musa Mateja LILE  ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeanza kumchefua mrembo huyo kiasi cha kulisusa. Ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake, Nasibu Abdul ‘Diamond'. Tukio hilo lilijidhihirisha wazi mbele ya paparazi wetu juzikati nyumbani kwa staa huyo, Kijitonyama jijini Dar, ambapo Wema alitamka hadharani kuwa kwa sasa analichukia kupita maelezo gari hilo alilozawadiwa na Diamond kwenye sherehe yake ya kuzaliwa. Wema Sepetu akitafakari jambo. “Bwana acha nitumie hili gari lingine kwenda airport hilo Murano sitaki hata kulisikia, sijui najisikiaje hata nikiliona,” alisikika Wema.Paparazi wetu baada ya kusikia Wema akionesha wazi kuwa analichukia gari hilo, alimuuliza sababu inayomfanya alichukie ambapo alisema hajui ni kwa nini analichukia ingawa ni mali yake. “Siku hizi sipendi kutumia hili Murano tena nalich

LULU MICHAEL: "HUWA NASHINDWA KUJIZUIA KUWAPA URODA MIDUME....!"

Image
Mcheza sinema za bongo Movie Elizabeth Michael ‘LULU’ amekiri kuteswa na jini mahaba ndiyo maana amekuwa akishinda kujizuia kulala bila kufanya ngono hali ambayo anatamani kuiacha lakini anashindwa. Akizungumza na tovuti yetu, Lulu alisema kwamba mara nyingi amekuwa akiota anafanya ngono na wanaume asiowafahamu na akiamka asubuhi huwa anajiskia mchovu na hali hiyo imechangia kuwa na mvutio zaidi kwa wanaume mbalimbali na wengi wao hujikuta ana ‘do’ nao. “Hakuna anayeweza kukubali kufanya ngono kama kuku, mara nyingi nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na wanaume nisio wajua na baada ya kuuliza nikaambiwa ni jini mahaba na hili limekuwa likinitesa na limepelekea niwe na mvuto wa kupendwa zaidi na wanaume ambao baadhi yao huwa nashindwa kujizuia kuwapa uroda” alisema LULU.

MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO NCHINI UGANDA ATUPWA JELA MIAKA 4

Image
Jolly Tumuhirwe apatikana na hatia ya kumtesa mtoto mdogo na kufungwa jela miaka 4 Yaya wa Uganda aliyejipata pabaya kwa kumchapa mtoto wa mwajiri wake, amehukumiwa jela miaka minne kwa kosa la kumtesa mtoto. Kisa cha yaya huyu kilizua hasira miongoni mwa watu wengi katika mitandano ya kijamii pale kanda ya video iliibuka mitandaoni ikimwonyesha yaya huyo akimchapa na kumkanyaga mtoto mwenye mwaka mmoja unusu. Jolly Tumuhirwe, mwenye umri wa miaka 22, alinaswa kwa kamera ya siri akionekana akimchapa  na kumkanyaga mtoto huyo pamoja na kumzaba kofi. Mnamo siku ya Ijumaa, Jolly alikiri kumshambuilia mtoto akisema alikuwa analipiza kisasi kwani mamake mtoto huyo naye alikuwa amezoea kumchapa. Hata hivyo mama huyo alikanusha madai ya Jolly ambaye polisi walikuwa wamesema wangemshitaki kwa kosa la jaribio la mauaji ila kiongozi wa mashitaka akasisitiza kuwa ingekuwa vigumu kuthibitisha hilo. Hakimu mkuu Lillian Buchan aliambia Tumuhirw

Warembo wafumwa wakigawa dozi ya ngono kawe...pichaz na habari hapa.

Image
  AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusis i mua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa wakitoa dozi ya ngono linaweka historia nyingine, Ijumaa linaibumburua.  Warembo wanaotoa huduma wakiwa wameficha sura zao baada ya kunaswa na OFM. Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya ’masaji’ lakini kumbe ngono imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia. Saluni hiyo maarufu kuliko Miji ya Sodoma na Gomora, ipo maeneo ya Sinza ambapo kwa muda mrefu sasa imekuwa ikijihusisha na uchafu huo na kusababisha kero kwa wananchi wenye maadili yaliyotukuka.  TAARIFA MEZANI Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, ikiwa imetulia ndani ya mjengo wa makao yake makuu, Bamaga-Mwenge jijini Dar, Mkuu wa kikosi maalumu cha Mtambo wa Kurekeb i sha Tabia (MKT) ambacho ni kitengo ndani ya OFM, alip

Beyonce breaks down in tears as she reveals her struggle with Fame, Marriage

Image
Beyonce  released a new short film Yours And Mine starring adorable daughter Blue Ivy and Jay Z to, commemorate the one year anniversary of her self-titled visual album.Queen Bey breaks down in tears as she opens up about her struggle with celebrity, views on feminism, and her thoughts on marriage. On Marriage  People feel like they lose something when they get married, but it doesn't have to be that way. There's nothing more exciting about having a witness to your life,You know, everyone's not good at everything. You know?''It's OK to depend on someone. It's actually what we're supposed to do - we're supposed to depend on each other. 'And when you find the person that you trust and you love and you feel is going to respect you and take all the shit that you have and turn it around and bring out the best in you, it feeds you. It is the most powerful thing you can ever feel in your life.' 'Happiness comes from you, '

MSHTUKO MKUBWA! MISS TZ AFARIKI GHAFLA!

Image
Marafiki wa aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe wakiwa na huzuni.KWELI kifo hakina huruma jamani!  Mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe, mkazi wa Tabata Segerea, Dar amefariki dunia baada ya kuugua ghafla, Ijumaa Wikienda linakupa zaidi. Martha amekutwa na mauti katika Hospitali ya Mkoa wa Ilala, Amana jijini Dar es Salaam, Ijumaa iliyopita ambako alikimbizwa baada ya kuugua na madaktari walibaini kwamba, malaria ilipanda kichwani.  Marehemu Martha Gewe enzi za uhai wake. Watimanywa usiku wa kuamkia leo, kule jijini London, Uingereza alifurukuta kugombea Taji la Miss World!  Habari zaidi zinasema kuwa mrembo huyo hakuwa akisumbuliwa na ugonjwa wowote huko nyuma na alionekana mwenye afya njema huku mipango yake ikiwa imelenga jinsi atakavyoisherehekea Sikukuu ya Krismasi.  “Lakini Jumatano iliyopita alianza kuumwa, alisema anahisi homa ambayo baadaye ikabainika ni malaria.  Mwi