Posts

Showing posts from November 11, 2013

BREAKING NEWSSSS ... MSANII MAARUFU WA TAARABU AFARIKI DUNIA

Image
  Mwanamuziki wa muziki wa taarab Nyawana Isale au Maarufu Nyawana Fundikira aka Mamaa Matashtiti  amefariki leo hii mchana jijini Dar es Salaam alipokuwa akikimbizwa hospitalini baada kuzidiwa. Na pia inasemekana amefariki kwa Maralia Phars blogspot TUNATOA POLE KWA NDUGU, JAMAA , MARAFIKI  na WADAU WOTE WA TAARABU R.I.P NYAWANA FUNDIKIRA SOURCE: TIMES FM

DIAMOND AENDA NIGERIA ... HIKI NDICHO KILICHOMPELEKA

Image
Diamond Platinumz tayari ameshafika nchini Nigeria kwa ajili ya kazi ya kimuziki pamoja na wasanii nchini humo ambapo baada ya kufanya remix ya My Number One na Davido, kazi inaendelea na sasa amewafata hukohuko kwao Nigeria. Kila kitu kuhusu kilichompeleka huko Nigeria Diamond mwenyewe anaelezea hapa Diamond anaelezea kwamba baada ya kufanya ngoma na Davido, pia ngoma nyingine amefanya na Iyanya japokuwa watu wengi hawafahamu kuhusu hiyo collabo. Lengo lake kubwa lilikuwa si kufanya collabo tu bali anasema alitaka kujenga ukaribu na wasanii wa Nigeria ndiyo maana ameamua kwenda kufanya video hukohuko Nigeria. Japokuwa hajasema ni production gani atatumia, hivi sasa Diamond ameshafika nchini Nigeria na atarudi baada ya kufanya video mbili ambapo moja akiwa na Davido na nyingine pamoja na Iyanya.

JACKLINE WOLPER ABADILI DINI TENA .... DINI YAKE MPYA NA KISA CHA KUFANYA HIVYO HII HAPA

Image
  Hatimaye mwanadada Jacqueline Wolper ameamua kuweka wazi kilichotokea mpaka kuamua kubadili Dini yake ya Uislamu na kurudi kwenye ukristo tena. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada huyu wa bongo movies ametoa ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake. “…mambo mashabiki zangu.sikua na njia nyingne yakulikwepa hili nanaamini kua kwa wale mashabk zangu waislam amtomaind maana akuna mtu wakumsikiliza chin ya hanga zaidi yawazazi so imenipasa kurudi kanisani kwakauli yawazazi wangu.naamin kama aujaolewa ata uwe na miaka mingap bado unatakiwa kua chin ya imaya ya wazazi ata ukifa ujue unazikwaje na mimi ni binadam sijui saa wala dakika.muhm nikuwajuza nakuwaelewesha mashabik zangu stak maswal nawapenda wote…” Hapo awali iliripotiwa kuwa mwanadada huyu ameamua kuwa mkristo tena baada ya penzi lake lililosababisha abadili dini na kuwa muislamu na jamaa aitwaye 'Dallas' kuvunjika hivi karibuni. Swali ni je, atabadili dini tena akitokea mwingine wa d

MSANII WA BONGO FLEVA AFUMANIWA MAKABURINI AKIWA NA CHANGU

Image
  MREMBO aliyetajwa kwa jina moja la Ema aliyedai kuwa ni mchumba wa jamaa aliyemtaja kwa jina la Amri au Mdudu amefumaniwa laivu akisaliti penzi na mwanaume mwingine. Tukio hilo la aina yake lilijiri kwenye Makaburi ya Buguruni, Dar, mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuwekewa mtego. TAARIFA KWA OFM Wakati makachero wa Oparesheni Fichua Maovu wakiwa kwenye ‘patroo’ walipokea taarifa kutoka kwa chanzo chake ambacho kiliomba wafike katika makaburi hayo ambapo kulikuwa na fumanizi. OFM: Fumanizi la aina gani? Isije ikawa ni wanandoa tukaingia chaka. Chanzo: Hawa bado ni wachumba tu. Jamaa alikuwa anamfuatilia mchumba’ke amemnasa na jamaa kwenye gari wakifanya mapenzi sasa kuna timbwili zito. OFM: Una uhakika na unachokisema? Chanzo: Kama hamtaki acheni (akakata simu). OFM KAZINI Kwa kuwa OFM haipuuzii habari, ilimteua ‘kamanda’ wake mmoja ambaye aliwasha bodaboda na kuwahi eneo

UJUMBE WA SIKU"TANZANIA BILA UKIMWI ....

Image

Lowassa aongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya awali ya kanisa la KKKT, Kijitonyama....Milioni 600 zapatikana

Image
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akitoa hotuba yake katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama,muda mfupi kabla ya kuanza kwa Harambee Maalum ya Kuchangisha fedha kwa ajili ya Ujenzi wa Shule ya Awali katika kanisa hiyo.Ambapo zaidi ya Sh. Mil. 600 zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika Kanisani hapo. Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Makongoro Mahanga akimuunga Mkono Mgeni Rasmi,Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa katika Harambee ya Uchangishaji Fedha kwa ajili ya Ujenzi wa Shule ya Awali ya Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama,iliyofanyika leo Novemba 10,2013,jijini Dar es Salaam.zaidi ya Sh. Mil. 600 zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika Kanisani hapo. Mbunge wa Jimbo la Kinondoni,Mh. Idd Azzan akimuunga Mkono Mgeni Rasmi,Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa katika Harambee ya Uchangishaji Fedha kwa ajili ya Ujenzi wa Sh

KIMBUNGA 'HAIYAN' CHADAIWA KUUWA ZAIDI YA WATU 10,000 NCHINI PHILIPPINES, VIETNAM NA CHINA WAANZA KUJIPANGA

Image
Kijana akiangalia maafa yaliyosababishwa na kimbunga jijini  Tacloban nchini Philippines . Nyumba pamoja na boti vikiwa vimeharibiwa… Kijana akiangalia maafa yaliyosababishwa na kimbunga jijini  Tacloban nchini Philippines . Nyumba pamoja na boti vikiwa vimeharibiwa eneo la Iloilo nchini Philippines. Jiji la Tacloban nchini Philippines baada ya kukumbwa na kimbunga 'Haiyan' . Mama huyu akiwa katika jengo lililobomolewa na kimbunga. Mtoto akijaribu kumpatia msaada mwenzake baada ya kimbunga hicho jijini Tacloban . Gari likiwa limepinduka baada ya kimbunga jijini Tacloban . Famili hii ikijaribu kujihifadhi wakati wa kimbunga eneo la vijijini nchini Philippines . Wananchi wa  Philippines wakisubiri misaada katika jiji la Sorsogon. Wanajeshi nchini Vietnam wakiwashusha wananchi kutoka kwenye lori wakati wakiwahamishia katika maeneo salama kujikimga na kimbunga. Wakazi wa Phu Yen, Vietnam,

Haya ndo majibu ya Zitto Kabwe baada ya CHADEMA kutoa waraka mrefu uliojaa tuhuma nzito kwa mbunge huyu

Image
NILIPOKUWA katika ziara ya bara la Ulaya kati ya Oktoba 21 mpaka Novemba 2 mwaka huu (2013), nilipokea kwa njia ya barua pepe ripoti inayoitwa “Taarifa ya Siri ya Chadema” ambayo pia ilikuwa imesambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.   “Taarifa ya Chadema inasema kwamba chama hicho (chama changu) kilikuwa kimechunguza mwenendo wangu tangu mwaka 2008 hadi 2010 na kubaini kuwa mimi napokea fedha kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuivuruga Chadema. Ripoti hiyo ilinihusisha pia na mwananchi raia wa Ujerumani, Andrea Cordes ambaye, kwa mujibu wa ripoti hiyo, alinisaidia kupokea na kuhifadhi kiasi cha dola 250,000 za Marekani kupitia kwenye akaunti yake binafsi. Taarifa hii ya kutunga na iliyojaa uongo wa kiwango cha kutisha, imenifadhaisha, kunisikitisha na kunikasirisha.   Taarifa hii iliibuliwa katika kipindi ambacho nilikuwa safarini kutetea haki za Watanzania na Waafrika ambao utajiri wao wa rasilimali unafaidiwa na watu wachache waliohifadhi mali katika

ALIYEVUNJA NDOA YA BOB JUNIOR AANIKA MAMBO HADHARA KUHUSU YEYE NA BOB JUNIOR

Image
Baada ya Blogs na Magazeti Kumwandika sana Ashley Toto Mwanadada Kutoka Kenya Kuhusika na Kuvunjika kwa ndoa ya Bob Junior Amejitokeza na Kuandika haya kwenye Wall yake ya Facebook "****JAMANI NIMECHOKA NA SKEDOLS ZA UONGO ILA NAAMINI HII NI MITIHANI NA INSHAALLAH YATAISHA***I HAVE NOTHING TO DO WITH HIM...." Tuliamua kumtafuta na kuongea nae na kusema kwa masikitiko kuwa Hana uhusiano wa kimapenzi na Bob Junior Bali wao ni marafiki tu wa Muda mrefu..Pia akasema huwa anamtafutia Show Sehemu mbali mbali ikiwemo Ujerumani anapoishi ..... So anasema amechoka kuandikwa kuhusu Bob Junior.

Mwanaume anaswa na maiti ya mtoto wa miaka miwili ikiwa ndani ya begi lake

Image
Katika hali isiyokuwa ya kawaida , kijana mmoja nchini Nigeria Amenaswa Juzi akiwa na Maiti ya Mtoto Wa Miaka Miwili Ikiwa ndani ya Beg La Kusafiria..

PENNY WA DIAMOND AANZA KUDATA, AINGIA KWENYE PART YA SAUDA MWILIMA BILA VIATU, TAZAMA PICHA HAPA:

Image

BINTI KATIKA WAKATI MGUMU BAADA YA BOSS WAKE KUTAKA KUULAMBA "MZIGO" KWA TSH. MILIONI 5 KWA SIKU MOJA NTU ...

Image
Mimi nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki baada ya kuajiriwa siku moja hapa jijini! Kwa kweli, bila hata kumaliza mwenzi mmoja the big boss akaanza kutupa mawe kwa rafiki yangu huyu ila hakuniambia kama boss anataka kungonoka! Ila binti akamtolea nje!! Alipo ona yamashindikana kule si ndoo akaamua ahamie kwangu kujaribu bahati yake, mimi nisivyo na siri nikaona nimshirikishe huyu rafiki yangu si ndo akafunguka nami nikajua kuwa boss ana mchezo mchafu!! Nikamwambia hakuna dinner atakayo nialika nikaenda ila mwenzangu vi dinner alikuwa havikosi! Ila anavyo sema rafiki yangu hajawahi ku do naye!!!!! Sasa wiki hii, boss kanivulia uvivu macho kodo kwangu kila wakati, mara ohooo leo umependeza sana ohoo you luk scorching gorgeous hajui mwenzie najua kuwa tabia yake ni hafu! Sasa si akanipigia simu after work twende kwa coffe enening coloessum, kwa kuwa ilikuwa mapema nikasema kwa nini niwahi home hivi! After those thoughts na maamuzi ya kwenda binti nikamwambia poa not a