Posts

Showing posts from March 12, 2014

BREKING NEWSS:SAMWEL SITTA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Image
Mh.samweli sitta ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa bunge la katiba kwa kura 487 na hashim rungwe kapata69 walio piga kura jumla ni566 kula zilizo alibika ni

TV1 YAZINDULIWA RASMI LEO HII JIJINI DAR ES SALAAM, KIDOTI NDANI YA NYUMBA, WASEMA WANALETA MAPINDUZI MAKUBWA!!

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa TV1 Tanzania, Marcus Adolfsson akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Southern Sun jijini Dar es salaam leo hii wakati wa uzinduzi rasmi  wa kituo kipya cha runinga kijulikanacho kama TV1, ambacho kitakuwa kikirusha matangazo yake kutoka jijini Dar es salaam na kuonekana nchini kote  kupitia king`amuzi cha Startimes  katika Channel namba 103 kwa mwonekano ulio bora kabisa. Mr. Adolfsson amesema TV 1  imekuja kuleta mapinduzi katika tasnia ya utangazaji wa runinga nchini Tanzania kwani vipindi vyake vya burudani na habari ni bora na vinatengenezwa kwa kumgusa Mtanzania wa hali ya chini. Hapa Mkurugenzi Mtendaji wa TV1 Tanzania, Marcus Adolfsson akitazama moja ya kipindi cha TV kilichooneshwa kwenye TV iliyowekwa hotelini kwa lengo la  kuwadhihirishia waandishi wa habari ubora wa kazi zao. Mtangazaji wa kipindi cha The One Show kitakachokuwa kikirushwa TVI, Jokate Mwaigelo maarufu kwa jina la `Kidoti` amesema kuwa kipindi hicho kitak

TAMBUA AINA KUMI YA VYAKULA VINAVYOONGEZA UWEZO KATIKA TENDO LA NDOA

Image
Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume na kuacha idadi ya wanawake wanaokabiliwa na tatizo hilo kwa mujibu wa uchunguzi kubaki na asilimia 13. Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili. Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina kumi ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo: PILIPILI Pilipili zilizocheshwa zimetajwa kuwa na uwezo wa kusaidia msuku

ANGALIA PICHA MWANAMKE ALIYECHEZEWA MCHEZO NA KUOLEWA ILI APATE UKIMWI, DAKTARI AHUSIKA

Image
Na Chande Abdallah  UKISIKIA simulizi ya Hafsa Ramadhani (19) itakutia simanzi, itakutesa moyo na kukutoa machozi, huwezi kuamini aliingia kwenye ndoa bila kujua kuwa alikuwa akienda kukutana na  ugonjwa wa ukimwi, Risasi Mchanganyiko linakufunulia. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika zinasema, binti huyo alifanyiwa mipango ya ndoa bila yeye na mumewe huyo kupima kwanza maambukizi ya ugonjwa huo, ingawa tahadhari hiyo ilitolewa mapema kwa kuwa muoaji alikuwa akijulikana kuwa aliishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu. ILIKUWAJE? “Huyo binti alitokea Bukoba, akaja hapa Dar es Salaam kutafuta kazi. Akaanza kufanya kazi za ndani, akiwa mdogo kabisa. Alihangaika kwenye nyumba mbalimbali lakini baadaye akafikia kwenye kituo cha watoto yatima (kwa sasa tunahifadhi jina), kipo Charambe ambapo alianza kuishi hapo,” kilipasha chanzo chetu kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini. “Alipofikisha umri wa miaka 15 tu, wale watu wa pale kituoni wakamuozesha kw

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA DODOMA (ADMINISTRATIVE STAFF)

Image
Chuo Kikuu cha Dodoma kinawatangazia waombaji wa kazi mbalimbali kuwa usahili wa kuandika utafanyika Jumamosi ya tarehe 8 Machi, 2014 na Jumapili ya tarehe 9 Machi, 2014. Usahili huu utafanyika kuanzia saa tatu asubuhi katika kumbi za mihadhara ya Skuli ya Sanaa na Lugha kama ifuatavyo: Jumamosi tarehe 8 Machi 2014 1. Maafisa Rasilimali Watu na Tawala 2. Maafisa Mipango  3. Madereva  4. Wahudumu  5. Makatibu Muhtasi  6. Wahudumu wa Afya Jumapili tarehe 9 Machi 2014 1.Wahasibu Wasaidizi  2.Wakaguzi wa Ndani Wasaidizi  3.Watunza Kumbumbu Wasaidizi 4.Wasimamizi wa Mifumo ya Kompyuta Mtandao  5.Wasimamizi wa Maabara Usahili wa mahojiano kwa waombaji wa kada zote za afya isipokuwa wahudumu wa afya  utafanyika kuanzia Jumatatu tarehe 10 Machi, 2014. Usahili huu utafanyika kuanzia saa tatu asubuhi katika jengo la Utawala kwa utaratibu ufuatao:- Jumatatu tarehe 10 Machi 2014 1. Mafundi Wasaidizi wa Maabara  2. Mafundi  Sanifu Maabara 3.

MJAMZITO MKAZI WA MOROGORO AJIFUNGULIA GEST MTOTO WA KIUME:

Image
Na Dustan Shekidele MJAMZITO wa miezi saba Bi. Mwanaidi Athumani mkazi wa Chamwino Morogoro hivi karibuni alifanya mchepuko wa kutoka nje ya ndoa na kujikuta akijifungua mtoto wa kiume ndani ya gesti iliyopo maeneo ya Mafisa mjini hapa,  Risasi Mchanganyiko lina data za kutosha. Bi. Mwanaidi Athumani akiwa na kichanga chake baada ya kujifungua gesti. Habari zinasema kuwa mwanamke huyo alifanya mchepuko huo baada ya mumewe kusafiri kwenda kutafuta fedha za maandalizi ya kujifungua kwake. Bila ya kujali kama ana mimba ya miezi saba, Mwanaidi aliingia katika gesti moja (jina tunalo) akiwa na mwanaume anayedaiwa kufanya kazi ya kupiga debe katika stendi ya Msamvu na mambo yalipomwendea kombo, mwanaume huyo akatimua mbio. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Mwanaidi na mpiga debe wake walipanga katika chumba namba 3 na baada ya kufanya mambo yao, Mwanaidi akaanza kupiga kelele kutokana na kushikwa na uchungu. Ilimbidi mhudumu wa gesti hiyo, Bi. Moshi Eliya afi

NGUO FUPI ZAWATOKEA PUANI WANAWAKE WAWILI MAHAKAMANI, WASOTA KWA MASAA MATATU.

Image
  WANAWAKE wawili Jumatatu walizuiliwa kwa saa 3 na mahakama moja nchini Uganda kwa kuingia mahakamani wakiwa wamevalia 'Mini Skirt'. Hii ni baada ya jaji aliyekuwa mahakamani humo kusema kuwa wanawake hao walikuwa wamevalia nguo zisizofaa. Kwa mujibu wa taarifa kwenye mtandao wa Daily Nation, nchini Kenya, Bi Prosy Nasuna aliyekuwa amemshitaki Bi Jane Nabukenya kwa kukosa kumlipa deni lake la shilingi milioni 3 za Uganda wote walisemekana kutovalia nguo za heshima na kutatiza kikao cha mahakama. Walipoingia mahakamani katika eneo la Bukomansimbi wiki jana Prosy pamoja na mshitakiwa walijikuta matatani. Kabla ya kuchukuliwa hatua kwa mavazi yao, watu walipiga mayowe mahakamani humo wakisema kuwa wawili hao walikuwa wamevalia visivyo kulingana na sheria iliyopitishwa mwezi jana kuhusiana na kupiga marufuku mavazi fupi. Sheria hiyo inasema kuwa yeyote atakeyeonyesha sehemu za siri za mwili wake hadharani na kusababisha hisia fulani miongoni mwa watu, anakuwa

ANGALIA PICHA YA SAMAKI WA AJABU ALIYEPATIKANA KAFA KANDO YA BAHARI NCHINI NIGERIA, MDA MCHACHE TU BAADA YA KUTOKEA MCHAFUKO WA BAHARI

Image
A gigantic sea creature was spotted by residents of Alpha Beach in Lagos yesterday. The dead whale hit the sea shores due to the dangerous impact of Ocean surge on sea creatures. Lagos State Government earlier in the month announced the upcoming ocean surge that might likely hit residents of popular beach areas in the state. Residents of Lekki, Alpha and Elegushi beaches were told to vacate their homes in order to escape death. Some residents left their houses while others didn’t. The dead whale was an evident of the dangerous ocean surge that hit the area. The Aftermath Of Lagos Ocean Surge Here are some impact Lagos ocean surge made in the affected areas; Overpopulation is gradually becoming a major problem in Lagos today. This explains why many Nigerians chose to live in other states.

JE, UNATAMBUA UMUHIMU MANII HASA KATIKA MAHABA?

Image
  Ukweli ni kwamba kiwango cha manii kinachotoka uumeni kwa kawaida huwa ni kiasi cha kijiko kimoja kidogo cha chai. Manii hayo huwa na mamilioni ya mbegu za kiume, hivyo hata kama yatatoka kwa kumiminika, kutiririka au kwa matone, na kwa upole gani hakutaathiri uwezo wako wa kutunga mimba mwanamke mradi tu mbegu hiyo imekutana na yai la mwanamke Shahawa sio uchafu Ktk swala zima la kufanya mapenzi/ngono na mpenzi huwa tunajikuta tunafanya vijimambo vya ajabu sana ambayo ukimuelezea mtu anaweza akakuona "wewe namna gani?" lakini ktk hali halisi tunayafanya hayo mambo kwa mapenzi yetu yote na pengine tunapata raha fulani ktk kufanya hivyo vijimambo. Sasa kwenye hivyo vijimambo vingi tuvifanyavyo kuna hiki kimoja nimekichagua ambacho ni kitamu sana (sio kama pipi au asali bali utamu ule wa kimapenzi) na kitakachokusogeza karibu zaidi na mpenzi wako nacho ni kuthamini Shahawa za mpenzi a.k.a cum a.k.a manii a.k.a maziwa a.k.a krimu (as cream) kwa kuziche

MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 12.03.2014

Image
MAGAZETI YA UDAKU LEO MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

JUHUDIN ZA KUITAFUTA NDEGE YA MALAYSIA ZINENDELEA

Image
Members of the Republic of Singapore Air Force (RSAF) scan the seas about 140 nautical miles north-east of Kota Baru, Malaysia, for any signs of the missing Malaysia Airlines plane  Oil slicks can be seen from the Republic of Singapore Air Force (RSAF) plane scanning the seas about 140 nautical miles north-east of Kota Baru, Malaysia  The Civil Aviation Authority of Vietnam said on its website searches were being conducted about 140 km (90 miles) southwest of Tho Chu island, which is located about 200 km off the coast of southern Vietnam  The possibility of a further two stolen passports used on the same flight is now being investigated after it emerged that no cross checks were carried out against Interpol's lost and stolen database. uthorities had today still found no trace of the missing Malaysian Airlines plane despite searches by ships from six navies and dozens of military aircraft. The massive search is mainly in a 50-nautical mil

AKAMATWA NA MENO YA TEMBO 2 YENYE UZITO WA KILO 15 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 22

Image
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kata vi,   Dhahiri Kidavashari akionenyesha mbele ya waandishi wa habari Ofisi kwake meno ya tembo vipande 2 yenye thamani ya shilingi 22 hapo jana aliyokamatwa nayo mtuhumiwa Batromeo Mtongwa hapo machi 8 katika kijiji cha kilida katika tarafa ya mamba wilaya ya Mlele ambapo pia mtuhumiwa huyo alikamatwa na gobole 1 na risasi 14 .  Mkazi wa kijiji cha mirumba kata ya kibaoni wilaya ya Mlele SAI LUPONJE (63) akiwa katika kituo cha Polisi mkoa wa katavi akielezea jinsi watoto wake wawili walivyomuua kitungulu Luhende (65) na kwisha kumtupa porini baada ya watoto wake wawili kukasirishwa na kitendo cha mama yao huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kitungulu Luhende ambae alikua ni hawara yake wa muda mrefu mauaji hayo yalitokea wiki iliyopita katika kijiji cha Milumba. mkazi wa kijiji cha kilida tarafa ya mamba wilaya ya mlele Patromeo Mtongwa (58) akiwa katika kituo cha polisi cha mkoa wa Katavi  baada ya kukamatwa na meno