Posts

Showing posts from June 5, 2013

MWILI WA MAREHEMU MANGWEA UKIWASILI KATIKA VIWANJA VYA LEADERS ASUBUHI HII...

Image

HUZUNI KUBWA YATANDA KATIKA KUPOKEA MWILI WA MANGWEAR

Image
 Mwili ukipelekwa  muhimbili.... Mwili wa Marehemu Albert Mangwea aliyefariki dunia May 28 huko Johannesburg leo umeingia Dar es salaam na kupelekwa moja kwa moja hospitali ya Muhimbili, umati wa watu  umefika uwanja wa ndege kushuhudia na kumpokea Ngwea.  

LIVE: SAFARI YA KUPELEKA MWILI WA MANGWEAR KTK HOSPITALI YA MUHIMBILI

Image
eMuda huu ni msafara wakumpeleka marehemu Albert Mangweha hosp kuu ya Mwimbili kumpumzisha. Hapa barabarani ni wananchi wamezuia gari lililobeba jeneza na wakitaka litolewe nje walibebe mpaka hospital ya Mwimbili.

MWILI WA ALBERT MANGWEA UKISUBIRIWA KUPOKELEWA HIVI SASA

Image
...