Posts

Showing posts from November 6, 2013

Mpango wa kumtimua Zitto Kabwe ndani ya CHADEMA wafichuka....

Image
  Habari  yako  Mpekuzi. Kuna  mpango  wa  kumung'oa Zitto kwenye nafasi yake ya naibu katibu mkuu- CHADEMA  ambao  ulisukwa kiufundi sana   ndani  ya kikao  kilichoitishwa  na  Mbowe... Nimekuwa  nikihangaika  sana  kuufichua  ukweli  bila  mafanikio.Jana  niliiweka  habari  hii  JF  lakini  waliitoa  kwa  maslahi  yao  binafsi....Naomba  ujumbe  huu  uwafikie  wanachama  wote  wenye  mapenzi  ya  dhati  na  Chama  chetu.   Kikao hicho kilifanyika nyumbani kwa Mbowe katikati ya mwezi octoba mwaka huu na  kilihudhuriwa na LEMA, MNYIKA, SUGU, WENJE, MSIGWA na BAUNSA mmoja aitwaye  SWAI, Katika kikao kile Mbowe aliwadhihaki wabunge wake aliokuwa nao kikaoni kwa kusema wanamuogopa zitto  na  kwamba  amewakalia  kichwani  utadhani  *****   Kauli  hiyo iliamsha hasira za Wenje na kuanza kuporomosha matusi kwa Zitto bila yeye kuwepo pale. Mnyika alionekana mwenye hofu sana juu ya mipango ile na baada ya mipango kuanza aliamua kuzuga kuwa amepigiwa simu na

HII NI LAANA....!!! PICHA ZA UCHI ZA MKE WA MTU NA KIGOGO WAKIFANYA "NGONO" ZANASWA

Image
  Kigogo mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, anayefanya kazi  katika kampuni ya simu za mkononi  na mwanamke aliyetajwa kwa jina la Mwamvua anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu wamerekodi video wakifanya uchafu na ‘clip’ hiyo imevuja. Habari za kuaminika kutoka kwa chanzo chetu makini zinasema kwamba mke wa kigogo huyo aitwaye Zainab ndiye anayesambaza video hiyo kwenye mitandao mbambali na mitaani. Inaelezwa kwamba, Zainab alianza kupatwa na wasiwasi na tabia ya mumewe muda mrefu, hivyo akaanza kumfuatilia kwa karibu, ambapo alifanikiwa kunasa meseji za mapenzi kati ya mumewe na Mwamvua.    Zainab alivumilia bila kumwambia mumewe, lakini aliendelea kumfuatilia ili apate uhakika. “Aliamua kuchukua namba za simu za yule mwanamke kisha akampigia na kumuonya amuachie mumewe, lakini akamjibu mbovu,”  alitutonya mnyetishaji wetu   Akaongeza:  “Lakini siku moja aliona

JE! NI KWELI RAY C NA RECHO WANAFANANA SAUTI NA SURA???TUPE MAONI YAKO

Image
Mara ya kwanza tu Recho alipoanza kusikika, sauti yake ilianza kufananishwa na ya Ray C. Kuanzia kwenye Kizunguzungu, Upepo na Nashukuru Umerudi, Recho alikuwa Ray C mtupu. Hata hivyo hiyo haikumsumbua, Ray C ambaye alisema kuwa ni faraja kumsikia Recho akiimba kama yeye na tangu hapo wamekuwa marafiki. Lakini wawili hawa, hawafanani sauti tu. Picha hii (hapo juu) iliwekwa na Ray C kwenye Instagram na wengi walidai kuwa, warembo hao, USISAHAU KULIKE KURASA ZET ZA FACEBOOK/ TWITTER KWA HABARI ZAIDI

M23 WASALIMU AMRI NCHINI KONGO.

Image
Kundi hilo la waasi limesema katika taarifa yake kuwa "limeamua kuanzia leo kumaliza uasi wake" na badala yake litatimiza malengo yake "kupitia njia za kisiasa pekee".  Waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema wamesalimu amri baada ya kukabiliwa na mashambulizi makali na jeshi la serikali linalosaidiwa na Umoja wa Mataifa ili kuwaondoa mashariki mwa nchi hiyo   Hatua hiyo inamaliza uasi ambao umedumu miezi 18 na kuliharibu eneo hilo lenye utajiri mkubwa wa raslimali na maliasili, lililokuwa kitovu cha mojawapo ya migogoro mibaya zaidi barani Afrika katika kipindi cha miongo miwili iliyopita.     Majeshi ya Congo yakisheherekea katika eneo la Kibati, karibu na Goma baada ya kuwafurusha waasi Awali, serikali mjini Kinshasa ilidai "ushindi kamili" dhidi ya M23 baada ya kuyakomboa maeneo mawili ya milima yaliyokuwa yametwaliwa na wapiganaji hao. Lambert Mende, waziri wa mawasiliano na msemaji wa serik

NAPE ATIMIZA AHADI KWA WANANCHI WA NYAMONGO

Image
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akifafanua jambo wakati wa kikao maalum cha ndani na wakazi wa eneo la Nyamongo, ambapo wananchi wa eneo hilo walikuwa wakieleza kero zao na wamiliki wa mgodi wa North Mara .   Ndugu Elizabeth Malembela akielezea jinsi utaratibu ulivyombovu wa kuwahamisha na kuwalipa fidia wakazi wanaoishi kando kando ya mgodi wa North Mara.   Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisikiliza kwa makini malalamiko ya wananchi wa Nyamongo juu ya ukiukwaji wa utaratibu na mikataba baina ya wawekezaji na Wanavijiji.  Mkuu wa Wilaya ya Tarime Ndugu John Henjewele akiwaelezea wakazi wa Nyamongo kazi za kikosi kazi (Task force) katika kurahisisha shughuli za kutathimini ardhi na kuchukua malalamiko ya wananchi dhidi ya wawekezaji wa mgodi wa North Mara.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi  Nape Nnauye akiangalia moja ya eneo linaloaminika kuti

HATARI! WAFUGAJI KUTUMIA ARV (DAWA YA UKIMWI) KUNENEPESHA KUKU

Image
The mouth-watering chicken that you eat in hotels and restaurants in Tanzania, Kenya-nairobi and its environs could be dangerous and deadly. This is after it emerged that most of them are laced with Anti-Retroviral (ARV) drugs, which are meant to slow down the HIV virus. According to the research carried out by Dr. Elloy Otieno, a veterinary doctor in Muranga, majority of farmers in Muranga and Kiambu Counties use ARV drugs to fatten their chicken which they often sell off after only four weeks. The two counties are major suppliers of chicken and its environs. “We have reliably established from our clients  that commercial broiler farmers are adding ARVs to broiler feed to enhance weight and are able to sell off birds at four weeks”, disclosed Dr. Otieno. However, Dr. Otieno attributed the use of ARVs to fatten chicken to mere ignorance as ARVs are only meant for hum

ZAIDI YA RAIA 479 WA TANZANIA WANATUMIKIA VIFUNGO NA WENGINE KUNYONGWA BAADA YA KUKUTWA NA HATIA KWA MAKOSA YA KUKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA NJE YA NCHI IKIWEMO CHINA, BRAZIL NA HONG KONG.

Image
Haya ni maelezo binafsi ya Mheshimiwa Ester Amos Bulaya bungeni Dodoma November 4 2013 kuitaka serikali kufanya mabadiliko ya sheria ya dawa za kulevya na kuanzisha mahakama maalum ya kushughulikia wahalifu wa dawa za kulevya. Kwa mujibu wa Kanuni ya 28(8) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la mwaka 2013, napenda kutoa maelezo binafsi ya juu ya tatizo sugu la uagizaji, uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya linaloongezeka kwa kasi kubwa nchini, lengo likiwa ni kuitaka serikali ifanye mabadiliko/marekebisho ya sheria ya Dawa za kulevya na kuanzisha Mahakama Maalum kushughulikia wahalifu wanaojihusisha na usafirishaji na biashara ya dawa za kulevya. Mheshimiwa Spika, Nimeona ni wakati muafaka kutoa maelezo haya, ili Bunge lako tukufu na Serikali ipate fursa ya kuona uzito wa tatizo hili kutokana na ukweli kwamba katika miaka ya karibuni tatizo la dawa za kulevya katika