MAZISHI YA ALIYEKUWA KAIMU KAMANDA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MKOA WA KATAVI , KATIKA KATA YA MZUMBE, WILAYA AYA MVOMERO


Baadhi ya maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji waliwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Jeshi hilo mkoa wa Katavi, Mrakibu msaidizi, Mohamed   Madulika,  mara baada ya kifikishwa nyumbani kwake , Kijiji cha Mikongeni, Kata ya Mzumbe, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro kwa ajili ya utaratibu wa mazishi , Madulika alifariki dunia kwa ajali ya gari Augoti 5, mwaka huu ,Wilayani Sumbawanga wakati akielekea mkoani Katavi akitokea Jijini Dar es Salaam na mazishi yake yamefanyika Augost 8, mwaka huu kijijini hapo.
Kuswaliwa kwa Mwili kabla ya kwenda Mazikoni.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,Faustine Shilongile akiweka udongo kaburini.
Mazishi yakiendelea.
Luteni Kanali , Lidwino  Simion Mgumba, Naibu Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini,  Augt 8, mwaka huu  akiweka udogo ndani ya   kaburi anamozikwa Kaimu Kamanda wa Jeshi hilo mkoa wa Katavi, Mrakibu msaidizi, Mohamed  Madulika , eneo ka  Kijiji cha Mikongeni , Kata ya Mzumbe , wilayani Mvomero , mkoa wa Morogoro , baada ya kufariki dunia kwa ajali ya gari  Augoti 5, mwaka huu ,Wilayani Sumbawanga akielekea   mkoani mwake  alipokuwa akitokea Jijini Dar es Salaam.
Dua
Baadhi ya Maofisa wa ngazi za juu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pamoja na Majeshi mengine , wakitoa saluti ya  heshima ya mwisho mara baada ya kukamilika kwa  mazishi ya Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wa mkoa wa Katavi, Mrakibu msaidizi, Mohamed   Madulika, katika  makaburi ya  Kijiji cha Mikongeni, Kata ya Mzumbe, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro , Madulika alifariki dunia kwa ajali ya gari Augoti 5, mwaka huu ,Wilayani Sumbawanga wakati akielekea mkoani Katavi akitokea Jijini Dar es Salaam na kuzikwa Augost 8, mwaka huu   Kijiji hapo.
Heshima za Mwisho kwa Marehemu.
Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba huo.Picha na John Nditi.


Comments

Popular posts from this blog