Posts

Showing posts from August 18, 2016

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 18/08/2016

Image

WACHEZAJI NETBALL TANZANIA WAPEWA MEDALI ZA DHAHABU

Image
Nahodha wa Timu ya Mpira wa Pete ya JWTZ Dorita Mbunda akivalishwa medali na Mkuu wa Jeshi la Anga wa Rwanda Brigedia Jenerali Charles Karamba baada ya kuchukua ubingwa wa Michuano ya Afrika Mashariki katika Uwanja wa Amahoro Kigali Rwanda( Picha na Dora Mushi) Kikosi cha Timu ya Mpira wa Pete ya JWTZ katika picha ya pamoja na Viongozi wa Timu hiyo muda mchache baada ya kuvalishwa medali na Mkuu wa Jeshi la Anga wa Rwanda Brigedia Jenerali Charles Karamba baada ya kuchukua ubingwa wa Michuano ya Afrika Mashariki katika Uwanja wa Amahoro Kigali Rwanda( Picha na Dora Mushi) Kikosi cha Timu ya Mpira wa Pete ya JWTZ kikiingia kuvalishwa medali na Mkuu wa Jeshi la Anga wa Rwanda Brigedia Jenerali Charles Karamba baada ya kuchukua ubingwa wa Michuano ya Afrika Mashariki katika Uwanja wa Amahoro Kigali Rwanda( Picha na Dora Mushi) Mkuu wa Msafara wa Timu ya Tanzania Brigedia Jenerali Jairos Mwaseba (katikati) akiongea na Mchezaji Nasra Suleiman aliyeshika Tu

BREAKING NEWZZZZZZZ;ALIYEKUWA MKURUGENZI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) NA WENZAKE NANE WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Image
  Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa-NIDA- Dickson Maimu  (wa tatu kushoto)  n a viongozi wengine  nane wa taasisi hiyo wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mapema leo.Habari zaidi tutawaletea. Mnamo  m wezi January 2016, Rais Magufuli aliamua kutengua uteuzi wa Mkurugenzi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) Bwana Dickson Maimu na kumsimamisha kazi yeye na wafanyakazi wengine ili kupisha uchunguzi wa namna ilivyotumika kiasi cha shilingi bilioni 179.6 katika zoezi la upatikanaji wa vitambulisho vya taifa wakati bado kuna malalamiko kwamba watu wengi hawajapata vitambulisho hivyo.