Posts

Showing posts from May 3, 2015

Faiza Ally Aongelea Vazi Alilovaa Zari White Party na Wanaomponda "SASA nawataarifu ndio nimeamua na sio shati tu nikijisikia ntavaa hata gunia ni vile ambavyo najisikia"

Image
faiza_ally "Hahahaaa unajua nini kuna comment nyingi sana za kuponda vazi langu la shati ambalo binafsi nimelipenda sana na nilikua nafurahia toka nilipo waza tu kulivaa yaani mpaka nikalinunua na siku ikafika nikavaa na nikajisikia vile ambavyo nilivyo taka kujiskia- special #simple #happy ️SASA ajabu inakuja ambavyo mnaponda na ukiangalia asilimia 95 ya wanawake walio kuwepo walivaa nguo fupi wengine zaidi hata ya shati langu mfano mzuri hata mtangazani alie nihoji amavaa nguo fupi yaani tofauti yeye ni gauni mimi shati- vimini vigauni vilikua ufupi wake sawa na shati lkn kwa akili zenu fupi kama mazoe mkaona shati tu na hii yote kwa sababu mmekariri vitu mlivyo zoea kuona na mkiona kitu tofauti hamkubali - oyaa acheni upumbavu angalieni picha za watu walio hizuria nguo zao na shati langu kama lina hiyo tofauti ktk ufupi ambao mpaka una sababisha kunikashfu! SASA nawataarifu ndio nimeamua na sio shati tu nikijisikia ntavaa hata gunia ni vile ambavyo najisikia#

ZARI WHITE PARTY YAZUA KIZAZA,TEAM WEMA WAMJIA JUU KAJALA KISA KWANINI ALIENDA

Image
Kajala is pissed off by Team Wema!.......yesterday the actress attended Zari's All White Party at Mlimani City but as usual Team Wema started attacking her on Instagram and remember today Wema has instagram party in Mwanza and pre-party was yesterday. Wema didn't attend Zari's party. So it seems Team Wema wants to control Kajala's life just because Wema saved her from jail by paying Tsh.13 million as fine to save her .And we all know Wema and Kajala became best friends but their friendship later on went kaput. So after dissing her , Kajala had to react by posting the below message.... "If someone isn't what others want them to be, the others become angry. everyone seems to have a clear idea on how other people should lead their lives,but none about his or her own, Life Is about Choice... ONLY GOD CAN JUDGE ME......." wrote Kajala and added another one below...........   BOFYA KUONA VIDEO KAJALA AKIFUNGUKA MAZITO

WEMA SEPETU Alivyonoga Usiku Wa Kuamkia Leo Jijini Mwanza Katika Instagram Party!

Image
Yesterday Wema Sepetu was in Mwanza for instagram party and here was what she wore, she chossed black color and may be it was the event's theme.

WAFILIPINO WALIVYOMUUNGA MKONO PACQUIAO WAKATI AKIPAMBANA NA MAYWEATHER

Image
  Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia pambano la ngumi za kulipwa kati ya Floyd Mayweather na Mfilipino, Manny Pacquiao. Mashabiki kutoka sehemu mbalimbali nchini Ufilipino waliacha kazi zao kwa ajili ya kushuhudia pambano hilo lililokuwa likipigwa Las Vegas nchini Marekani. Kutokana na tofauti ya muda, wakati Las Vegas ilikuwa usiku, Ufilipino ilikuwa ni mchana jua kali na mashabiki waliacha kazi zao ili washuhudie pambano hilo katika sehemu mbalimbali za wazi. Wengi walikuwa wakishangilia kwa nguvu, lengo likiwa ni kuona Pacquiao anashinda. Hata hivyo, mwisho shujaa wao ambaye ni mmoja wa wanasiasa wanaopendwa nchini humo, alipoteza kwa pointi.

FLOYD MAYWEATHER AMTANDIKA MANNY PACQUIAO

Image
Najua watu wengi waliisubiri hii kwa hamu.. wengine hata sio mashabiki wa boxing lakini walijikuta wakivutiwa na hii.. Promo ilikuwa kubwa sana, pambano la kihistoria ambalo dunia nzima ililisubri ni hili kati ya Floyd ‘Money’ Mayweather na Manny Pacquiao. Points tayari zimeamua, pambano limeenda kwa round 12, Floyd Mayweatherkamshinda Pacquiao kwa points sita tu.. Floyd ana points 117 na Pacquiao ana points 111. BOFYA KUONA VIDEO YA PAMBANO HILO>>