Posts

Showing posts from January 6, 2014

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA LEO

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua  wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo  Rais Jakaya Mrisho Kikwete  na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima baada ya kuweka shada la maua   wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo  Rais Jakaya Mrisho Kikwete  akimfariji Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo  Rais Jakaya Mrisho Kikwet

ANGALIA PICHA A ZA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE BERNARD MEMBE

Image
Katika tovuti ya Diamond ameamua kushare picha na mashabiki wake jinsi alivyokutana na Waziri Bernard Membe na kualikwa kula chakula cha usiku pamoja na kupata mawili matatu ya kuzungumza na waziri huyo      Napenda kuchukua fursa hii,kumshukuru  mwenyezi Mungu Kwa kutupa uhai na nguvu  ya Kuweza kufanya maonyesho yetu mjin  Mtwara na Lind kwa mafanikio makubwa.  Siwez sahau kuwashukuru wananchi kwa sapoti kubwa waliyotupatia..lakin  shukran za dhati kabisa. Nizifikishe kwa waziri wetu mpendwa  mheshimiwa, Bernad Membe kwa kutambua  mziki wetu na mchango wetu katika jamii . Ambapo alinipa  heshima ya kujumuika na Kula chakula  cha pamoja Na mwisho kufanya  mazungumzo..kikubwa Tulizungumzia  mziki wetu na mchango wake na jinsi gani Ya kuukwamua na  kuupeleka level tunayoiota kila siku. Kuufanya  mziki wetu utambulike kimataifa Na utangaze nchi yetu. kikao hicho pia kilihudhuriwa na naibu,waziri wa Elim,Philp  Mulugo na mkuu wa mkoa Li

MTOTO AZALIWA AKIWA NA VIDOLE 34..AVUNJA RECORD YA DUNIA

Image
The Indian boy broke the world record after being born with 34 fingers and toes. Akshat Saxena had seven fingers on each hand and ten toes on each foot, according to a spokesman for Guinness World Records. The child, from Uttar Pradesh in northern India, has since had a series of surgeries to amputate the excess digits. Akshat was born in 2010 without thumbs so doctors are working to reconstruct these out of the fingers they have removed. His mother Amrita Saxena said: "I was so happy to see my baby as it was our first child. "But later, when I saw his fingers, I was shocked and surprised." The condition is known as polydactyly, a genetic disorder which can be inherited and gives rise to excess digits. Most commonly, the extra digits appear on the little finger side of the hand. Mrs Saxena said it was a family friend who convinced them Akshat was extremely special. She said: "He read on the internet about the baby born in Ch

HIKI NDICHO KILICHOMKUTA MWANADADA WEMA SEPETU, MAHAKAMA YAAMURU KUNYANG'ANYWA GARI LA KIFAHARI AINA YA AUDI Q-7,

Image
  WEMA SEPETU  YAMETIMIA ! Ni kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu aliyesifika kwa kumwaga fedha kila kukicha ameanza kufilisiwa, Ijumaa Wikienda lina habari ya kipekee kuhusu mrembo huyo. Wema Isaac Sepetu. MAHAKAMA YAANZA Achilia mbali watu binafsi wanaochukua vyao baada ya mambo kuzidi kumwendea ndivyo sivyo, habari ya uhakika ni kwamba Mahakama ya Ilala, Dar imeridhia kukamatwa kwa lile gari lake la kifahari aina ya Audi Q-7 lenye namba za usajili T 973 BUJ lililokuwa likiwakosesha akina dada usingizi na kukabidhiwa kwa mmiliki halali kwa kuwa Wema alikuwa nalo kimagumashi. Gari aina ya Audi Q-7 lenye namba za usajili T 973 BUJ alilokuwa akiendesha Wema. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyoenda shule vya Ijumaa Wikienda, gari hilo lilikamatwa Januari 2, mwaka huu Namanga, Oysterbay jijini Dar likiwa mikononi mwa kijana wa kiume aliyedaiwa kuwa ni mdogo wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZIKO YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA MAREHEMU DK MGIMWA LEO IRINGA

Image
Mjane  wa Dr Mgimwa akiaga  mwili  huo kabla ya mazishi kijiji   cha Magunga  Iringa  leo  Mwili  wa Dr Mgimwa ukishushwa kaburini  leo  Wabunge  Deo  Sanga  wa jimbo la Njombe Kaskazin  kushoto na Deo Filikunjombe wa Ludewa   rais  Kikwete na mkewe  wakiweka  shada la maua  MAELFU   ya  wakazi  wa mkoa  wa Iringa na  baadhi  ya  viongozi  wa  vyama  vya  siasa na  Serikali  wakiongozwa na  Rais Dr  Jakaya  Kikwete  wameshiriki  katika mazishi ya  aliyekuwa  mbunge wa   jimbo la Kalenga na  waziri wa fedha  Dr  Wiliam Mgimwa. Huku   waziri  mkuu Mizengo  pinda katika  salam  zake za serikali akielezea  jinsi ambavyo  Taifa  lilivyopata  pigo kubwa  kufuatia  kifo  cha Dr Mgimwa kutokana na mchango  wake  katika baraza la mawaziri. Katika  mazishi  hayo   yaliyofanyika  leo kijiji  kwake Magunga  jimbo la Kalenga   wananchi   mbali  mbali   walionyesha  kujipanga  barabarani  kutoka Manispaa ya  Iringa  hadi  kijijini kwak