Posts

Showing posts from April 24, 2015

http://www.phars.blogspot.com: Mazoezi ya kuondoa kitambi.

http://www.phars.blogspot.com: Mazoezi ya kuondoa kitambi. : Kutokuwa na kitambi ndio ndoto ya watu wengi kwa sasa wanaojali afya zao. Kutokana na kufumka kwa maradhi mbalimbali baadhi ya watu wame...

Mazoezi ya kuondoa kitambi.

Image
Kutokuwa na kitambi ndio ndoto ya watu wengi kwa sasa wanaojali afya zao. Kutokana na kufumka kwa maradhi mbalimbali baadhi ya watu wamekuwa wakihangaika kutafuta njia rahisi za kupunguza ama kuondoa vitambi hivyo na uzito uliopitiliza. Wapo waliamua kukaa na njaa na wengine kutumia dawa kali wakilenga kufikia malengo yao ambayo ni kupunguza uzito. Lakini kuwa na kitambi ama ongezeko la uzito linaweza kuondolewa kwa njia rahisi sana tofauti na unavyodhani. Tena njia isiyohusisha hata chembe ya dawa itakayoweza kukuletea madhara baadaye. Licha ya wataalamu wengi kusisitiza kuwa kitambi au ongezeko la uzito ni matokeo ya ulaji mbovu, lakini ukweli utabaki kuwa mazoezi kwa sehemu kubwa yana nafasi kubwa ya kupunguza uzito na kuondoa kitambi. Profesa Christine Rosenbloom, mtaalamu wa lishe kutoka Chuo Kikuu cha Georgia, Marekani anasema kupunguza mafuta mwilini kunaendana na ulaji wa chakula bora pamoja na mazoezi ya kila siku. “Unatakiwa kufanya mazoezi kwa mud

USHAMUONA CRISTIANO RONALDO UWANJANI….HAYA NI MAISHA YAKE NJE YA UWANJA

Image
Cristiano Ronaldo akiwa Dubai Cristiano Ronaldo baada ya kazi yake ya uwanjani na kazi nyingine, huwa anapenda sana kujiachia na mwanae au na familia kwa ujumla. Picha nyingi anaonekana yupo na mwanae au yupo na mpenzi wake (wa zamani). Kama mastaa wengine ambao hupenda kuweka uhusiano na mastaa wenzao, Cristiano ana urafiki na Floyd Mayweather na pia huwa ana hudhuria matamasha ya muziki ya wasanii wakubwa kama Rihanna. Enjoy kuangalia picha za maisha ya CR7 kwa upande mwingine zaidi ya uwanjani.

MAMA KANUMBA, MAMA LULU KIMENUKA!

Image
Mwandishi wetu Taarifa zilizotua kwenye dawati la gazeti hili zinadai kuwa, wale wamama wa mjini ambao walikuwa mashosti hadi kufikia hatua ya kusema ni kama ndugu, mama wa aliyekuwa staa wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa na mama wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila, sasa kimenuka! Mama wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila. DALILI KUWA PAKA NA CHUI Chanzo chetu cha kuaminika kilidai kuwa, dalili za wawili hao kuelekea kugeuka kuwa paka na chui zilianza muda mrefu lakini hali ikazidi kuwa mbaya… Mama wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila. DALILI KUWA PAKA NA CHUI Chanzo chetu cha kuaminika kilidai kuwa, dalili za wawili hao kuelekea kugeuka kuwa paka na chui zilianza muda mrefu lakini hali ikazidi kuwa mbaya Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Kanumba, Aprili 7, mwaka huu alipokuwa akitimiza miaka mitatu kaburini. CHANZO NI LULU Ubuyu ulidai kwamba, siku ya kumbukumbu ya kifo cha Kunumba

LULU MICHAEL ARUDITENA INSTAGRAM BAADA YA KUJITOA SIKU YA KIFO CHA SEKI.

Image
Siku ya Jana Accounts Mbali mbali Maarufu za Instagram zimeshinda zikipost kuwa Lulu michael amerudi instagram kwa jina la lizymichael Baada ya Kujitoa siku Secky alipofariki Dunia Baada ya watu kuanza kumuhusisha lulu na Kifo Hicho kitu ambacho hakikuwa Kweli .... Baadhi ya Meseji huku instagram kuhusu kurudi kwa lulu Insta hizi Hapa: lulunation_ Lulu amerudi instagram asante Mungu kwa yote account yake org ni @lizymichael @lizymichael @lizymichael @lizymichael @lizymichael follow 13h sephoramwakalinga Karibu swthrt..saiz kua na moyo km wa jambaz @lizymichael hao shain wasikupe shida coz hakuna jipya chini ya jua, ishi utakavyo...hao machokoraa wanaojiropokea acha waendelee kujifurahisha coz hawawez kua wewe. 11h proudoflulumichael Mungu amekuchaguwa wewe ili uwakomboee na wengine @lizymichael @lizymichael ... proudoflulumichael She is Back again my Queen Lizy now you can follow her .Her new account is @lizymichael @lizymichael @lizymichael @lizymichael ..Wellcome baq