Posts

Showing posts from August 15, 2013

LADY JAYDEE AONANA NA MSANII MKONGWE BARANI AFRIKA SALIF KEITA..ANGALIA PICHA HAPA

Image

RC TANGA AMUWEKA MAHABUSU MKAGUZI WA NDANI

Image
Mkuu wa mkoa wa Tanga, Luteni Mtaafu Chiku Gallawa, amemuweka rumande Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Najim Mpate, kwa madai ya kumdharau wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani. Tukio hilo lilitokea jana wakati Mpate alipokuwa anatoa maelezo kufuatia hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Halmashauri ya Pangani ambapo ilionekana kuna hoja ambazo hazijapatiwa majibu tangu mwaka wa fedha 2008/2009. Hoja kuu inayoongelewa ni ile inayohusu mkandarasi mmoja aliyelipwa fedha zaidi ya mkataba ulivyokuwa unaonyesha hivyo Mkuu wa Mkoa alikuwa anataka maelezo kwa nini hoja hiyo ya karibu miaka mitano iliyopita inaendelea kujirudia na kwanini mkandarasi husika hajarudisha fedha hizo ili kufuta hoja hiyo. Mara baada ya kujieleza Mkaguzi huyo alilipiga chini kabrasha alilokuwa amelishinda, kitendo ambacho kiliwashtua madiwani kwani kilionekana kuwa ni dharau ya wazi kwa Mkuu wa Mkoa. Bada ya tuki

HAWEZI " KU S>X " MPAKA ASHIKILIE NA MKONO.......HUU NDO UFUMBUZI WA TATIZO

Image
Mimi ni msichana nimewahi kuwa na rafiki wa kiume hapo nyuma, huyo kaka alikua tu kama rafikiyangu baadae ikatoke tukapendana na kuwa mtu na girlfriend wake I mean tulianza kutoka kama wapenzi. Huyo mwanaume alikua yuko nice ingawa baadae tulikuja tukaachana. Tatizo la huyo mwanaume ni wakati wa kufanya mapenzi.  Tulikua tukifanya romance , tukiwa tunajiandaa kufanya mapenzi alikua yuko vizuri , tu tunaendana vizuri na wote tunakua tuko tayari kungonoka ila wakati wa kungonoka ndo kasheshe linaanzia hapo. Kwanza uume wake hauingii, yaani ni lazima ashikilie na mkono ndo aanze kuingiza na kutoa na hata kama akishikilia bado hawezi kutia kabisa yaani hawezi kwenda juu na chini na hata mimi nashindwa kumsapoti kukatika kwani uume wake unakua kama umeshasinyaana. Kitu kingine alikua anadai eti uchi unateleza kwa hiyo ananifuta ndio aingize ukiwa mkavu kabisa wakati mimi najua uchi ukiwa una ute ndio rahisi kwa kufanya mapenzi na pia haiwi kazi ng

NAFASI MPYAA ZA KAZI ZILIZOTANGAZWA HII LEO AUGOST 15 HIZI HAPA

Image
operationa risk manager NMB JOB PURPOSE - Overseeing that the day-to-day quality control of regulatory and internal control requirements is maintained. In addition, drive and implement an effective risk management framework, and promote a strong risk management. - Partnering with the Branches and Operations department on operational risk matters to ensure business growth is balanced with risk management and control. - Ensuring proper functioning of day-to-day controls, periodic monitoring of activities, timely identification and reporting of significant risks and losses and effectiveness of risk mitigation actions. How To Apply CLICK HERE TO APPLY Deadline : 26/08/2013 BRANCH ACCOUNT National Insurance Corporation Key Duties and Responsibilities -To head the accounting functions in the Branch -To supervise all financial transactions so as to ensure adherence to approved budgets and Financial Regulations -To monitor cash inflows and outflows and ad

Jaji Warioba: Watu Wenye Ulemavu Toeni Maoni Yenu

Image
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bi. Jessica Mkuchu (kulia) akiongea kabla ya kuanza kwa mkutano wa Baraza Maalum la Katiba kwa Watu Wenye Ulemavu mjini Dodoma leo (Alhamisi, Agosti 15, 2013). Wengine ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Joseph Warioba (katikati) na Mjumbe mwingine Bw. Ally Saleh. Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Maalum la Katiba kwa Watu Wenye Ulemavu wakijadili rasimu ya katiba mjini Dodoma leo (Alhamisi, Agosti 15, 2013).  Mkurugenzi wa Shirikisho la Walemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Bw. Novatus Rukwago akiongea leo (Alhamisi, Agosti 15, 2013) katika mkutano wa Baraza Maalum la Katiba kwa Watu Wenye Ulemavu linalofanyika mjini Dodoma. Mkalimani wa Lugha ya Alama Bw. Kudra Mnisi akiongea na wajumbe wa Baraza Maalum la Katiba kwa Watu Wenye Ulemavu leo (Alhamisi, Agosti 15, 2013) mjini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Walemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Wakili Amon Anastaz akiongea katika Baraz

PICHA ZA MAPOKEZI YA FEZA KESSY UWANJA WA NDEGE DAR

Image
Mwakilishi wa Tanzania katika jumba la Big Brother 'The Chase' aliyetolewa Jumapili Agosti 11 Feza Kessy amewasili leo jioni Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa Mwl J.K Nyerere jijini Dar es Salaam. Katika mapokezi watu mbalimbali walijitokeza kumpokea Feza Kessy akiwemo Vanessa Mdee,Mama mzazi wa Feza kessy,ndugu jamaa na marafiki pamoja na Meneja wa Uhusiano wa Multichoice Tanzania 'Barbara'.  Rafiki wa karibu sana na Feza anayejulikana kwa jina la Vanessa Mdee nae alikuwepo kumpokea rafiki yake.

WAZIRI MWAKYEMBE ATUA AIRPORT DSM GHAFLA KUSAKA WAUZA UNGA

Image
Waziri wa uchukuzi Dk. Harison Mwakyembe  amefanya ziara ya kushtukiza kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere  jijini Dar-es-Salaam na kubaini kuwa upitishwaji wa madawa ya kulevya uwanjani hapo hufanywa kwa msaada wa baadhi ya wafanyakazi    wanaoshirikiana na wasafirishaji hao kupitisha shehena hizo. Waziri Mwakyembe  aliwasili uwanjani hapo majira ya saa kumi na mbili alfajili na kutaka kuonyeshwa hatua ya mwanzo hadi mwisho ya ukaguzi wa mizigo uwanjani hapo na kupokea taarifa toka kwa mamlaka zinazosimamia uwanja huo. Naye mkurugenzi wa uwanja huo Bw Moses Malaki amesema uwanja unakidhia matakwa ya kiusalama wa kimataifa ila jambo kubwa ni uwepo wa watau wachachae ambo wanafanya kazi kinyume na mfumo huo. Akihitimisha ziara hiyo Mh Mwakyembe amesema amebaini mambo mengi ikiwemo kuwa katika uwanja huo kuna taasisi nyingi za kiusalama ambazo zina