MREMBO ATAPIKA VYUPA, MISUMARI NA PINI AKIWA KANISANI
Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika pesa na vyuma.
Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.
Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo.
Kwa
mujibu wa habari zilizopatikana, msichana huyo alitoweka nyumbani kwao
kwa muda wa wiki moja mapema Januari, mwaka huu na aliporejea ndipo
alipoanza kufanya vitendo hivyo vinavyohisiwa kuwa vinatokana na imani
za kishirikina.
Comments
Post a Comment