Posts

UCHEKI MJENGO MPYAAA WA DIAMOND ANAOUPOROMOSHA .. NI KUFURU TUPU

Image
Diamond hivi sasa yupo nchini Nigeria kwa ajili ya video zake mbili akiwa na Iyanya na Davido lakini bado yupo karibu na mashabiki wake kupitia mitandao ya kijamii. Kutana na post hii kutoka kwa Diamond kwenye ukurasa wake wa facebook inayohusisha nyumba yake.

HIVI NDIVYO MSANII WA TAARAB FUNDIKIRA ALIVYOAGWA ... WENGI WAZIMIA MSIBANI

Image
                Mume wa marehemu, Kaisi Musa Kaisi akiwa na uso wa majonzi. Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake. Baba… Mume wa marehemu, Kaisi Musa Kaisi akiwa na uso wa majonzi. Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake. Baba wa marehemu (kulia) akifuta machozi, kushoto ni mtangazaji wa ITV, Hawa akilia kwa uchungu. Waombolezaji waliohudhuria kwenye msiba huo. Ndugu wa marehemu akilia kwa uchungu baada ya mwili kuondolewa na kupelekwa msikitini kuswaliwa. Mwili wa marehemu ukishushwa kwenye gari baada ya kutolewa katika hospitali ya Mwananyamala ulikokuwa umehifadhiwa. Waombolezaji wakililia kwa uchungu. Mwili wa marehemu ukipelekwa msikitini. LEO vilio vimetawala nyumbani kwa mzee Fundikira maeneo ya kwa Bibinyau, Magomeni, Dar wakati waombolezaji wakiaga mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mtangazaji wa kipindi cha taarab ‘Ambaa na Mwambao’ kinachorushwa na Passion Fm, Nyawana Fundikira. Nyawana alifariki jana  baada

WAPIGA DEBE WAGOMBEA ...

Image
Na Dustan Shekidele, Morogoro NI jambo la kusikitisha kweli. Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Komba Faustine Aloyce ambaye ni mpiga debe, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari wakati akipigana na mwenzake katikati ya barabara wakigombea shilingi elfu moja waliyopewa kama ujira katika kituo cha daladala kilichopo Kasanga nje kidogo ya Manispaa ya Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumamosi iliyopita kwenye kituo hicho cha daladala zitokazo Mzumbe, Mlali, Mgeta Melela, Doman na Morogoro mjini kilichopo kando kando ya Barabara Kuu ya Morogoro-lringa. Mashuhuda wa tukio hilo walililiambia gazeti hili kwamba Komba na mwenzake huyo aliyefahamika kwa jina moja la Alunaki, waligombea fedha hiyo waliyopewa baada ya kufanya kupiga debe ambapo kila mmoja alidai ilikuwa yake. Wakati wakiendelea kupigana, gari moja lilitokea kwa kasi, Alunaki aliwahi kukimbia lakini bahati mbaya Komba akakanyagwa na kufariki papo hapo. Kabla ya kupigana, inadaiwa wawili hao

WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA ELIMU

Image
Na Aron Msigwa – MAELEZO,  Dar es salaam. Serikali imewataka wananchi kuzitumia ipasavyo fursa za elimu zinazotolewa kupitia programu mbalimbali za ikiwemo Elimu ya Watu Wazima (EWW) na ile ya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi (ENMRA) ili kupunguza tatizo la umasikini, maradhi na ujinga. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bw. Said Meck Sadiki wakati akitoa taarifa kwa wananchi wa mkoa wa Dar es salaam kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yatakayofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Novemba 13, 2013 yakiongozwa na kauli mbiu “Kisomo kwa ajili ya Karne ya 21” Amesema  serikali imeanzisha programu mbalimbali za elimu kuanzia msingi mpaka sekondari kwa lengo la kuwawezesha wananchi kupata fursa hiyo na kuondokana na tatizo Umaskini, maradhi na ujinga na kuwawezesha kujikwamua  kiuchumi, Kijamii, Kisiasa na Kiutamaduni. Ameeleza kuwa mkoa wa Dar es salaam kwa sasa unaratibu program m

CHAZ BABA APATA AJALI MBAYA

Image
Na Shakoor Jongo SAD news kutoka Bongo Dansi ni ajali ya pikipiki aliyopata Kiongozi wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ na kumsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake. C haz Baba akiuguza majeraha aliyoyapata. Risasi Vibes lilifunga safari hadi nyumbani kwake Mwananyamala, Dar kumjulia hali ambapo alisema tukio hilo lilitokea katikati ya wiki iliyopita, Ubungo baada ya kugongwa na gari kwa nyuma. “Nilikuwa natokea Kimara, nikiendesha pikipiki yangu. Si unajua tena ile barabara ipo kwenye matengenezo kwa hiyo vizuizi ni vingi njiani. Ghafla nilishangaa pikipiki ikigongwa kwa nyuma, nikaanguka. “Namshukuru Mungu maana mazingira niliyopata ajali ni mabaya sana isitoshe unajua pindi upatapo ajali kuna wengine wanakuja kukusaidia na wengine ni wezi lakini sikuibiwa kitu. “Nimeumia mkono, kiuno, mguu mmoja wa kushoto na maumivu kwa ndani lakini hakuna sehemu niliyovunjika,” alisema Chaz Baba.

HAYA MAJANGAAZZZ ... MAINDA AANIKA ALIVYOICHOMOA MIMBA YA RAY

Image
HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo.   Ruth Suka ‘Mainda’. Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameeleza… Stori:  Jelard Lucas HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo.   Ruth Suka ‘Mainda’. Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameeleza kwa machungu jinsi Ray alivyomtesa kwa kumchanganya na wasanii wenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambaye ni mke wa mtu. Risasi Mchanganyiko lilipata wasaa wa kufanya naye mahojiano ‘exculusive’ kwa saa moja na dakika tano, wikiendi iliyopita, makao

MKAPA ATIMIZA MIAKA 75 YA KUZALIWA WAKE

Image
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akipongezwa na Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo jana wakati misa ya jubilei ya miaka 75 ya kuzaliwa kwake. Picha na Fidelis Felix.  Dar es Salaam.Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa jana aliadhimisha miaka 75 ya kuzaliwa kwake kwa kufanya Ibada ya Misa iliyoongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. Katika ibada hiyo ya shukrani iliyofanyika Kanisa Katoliki la Maria Imakulata, Upanga jijini Dar es Salaam, Mkapa aliwataka Watanzania kumshukuru Mungu kwa kila jambo. “Tunamshukuru Mungu kwa majaliwa aliyoipatia nchi yetu ya Tanzania na tunamwomba azidi kuijalia umoja katika yote tunayofanya na tunayokusudia kuyafanya,” alisema Mkapa. Mkapa pia aliwashukuru waumini wenzake katika kanisa hilo, huku akifichua siri kwamba, Kadinali Pengo alimtaka ahamie Kanisa la Mtakatifu Joseph wakati alipokuwa rais, lakini hakukubali. Kwa upande wake, Kardinali Pengo aliwataka Watanzania kuwa na tabia ya kumshukuru Mung

PICHA YETU YA LEO

Image

Dk.Sengodo Mvungi aliyevamiwa na kukatwa mapanga afariki dunia

Image
Mkurugenzi wa Katiba, Sheria na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi, Dk Sengodo Mvungi amefariki dunia leo alasiri nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na watu wanaosadikiwa ni majambazi.   Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mwenyekiti Taifa wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia. Dk Mvungi ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba alijeruhiwa kwa kukatwa na mapanga kichwani Novemba 13, mwaka huu nyumbani kwake Kibamba Msakuzi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kulazwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi) na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Milpark, Johannesbarg, Afrika Kusini TUNAPENDA TOA  POLE KWA NDUGU,JAMAA NA MARAFIKI. BWAna KATOA NA BWANA KATWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

ANGALIA PICHA ZA AJALI MBAYA KATIKA MSAFARA WA RAIS KIKWETE HUKO GEITA NA ILIYOJERUHI WATU 5

Image
Msafara wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk JakayaKikwete mkoani Geita, leo umeingia dosari baada ya gari moja lilokuwa kwenye msafara huo kupinduka na kujeruhi watu watno. Gari la Bohari ya Dawa (MSD) lililopata ajali likiwa na meneja wa MSD Kanda pamoja na waandishi wa habari.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Geita Lenard Paul ajali hiyo imetokea leo saa 3 na dakika 45  asubuhi katika eneo la Nyankumbu kilomita 3 kutoka makao makuu ya mkoa wa geita. Kamanda Paulo amesema gari hilo namba DFP.9730 aina ya Toyota Landcruzer lililokuwa likiendeshwa Yungi Mkwati, mali ya Bohari kuu ya Madawa (MSD), lilipinduka baada ya kuteleza kwenye lami iliyomwagwa barabarani hii leo. Amewataja Waliojeruhiwa katika ajali hiyo kuwa ni mwandishi Peter Makunga wa Radio Kahama Fm na Radio Free Afrika, Peter Fabian wa Gazeti la Rai, Frederick Katulanda Moderator wa Tovuti ya mabadiliko.com, meneja wa MSD kanda ya Ziwa Byekwaso Tabura pamoja na dreva wa gari hilo Yungi

I just wanted a quick drink... not a bite! Young elephant gets a nasty surprise when a crocodile grabs his trunk at a water hole

Image
The young elephant doesn't appear to see the waiting crocodile as he ambles over to the peaceful watering hole in the South Luangwa National park in Zambia This young elephant got more than he bargained for when he ambled up to a water hole to slake his thirst. Just moments after dipping his trunk in the water, it was grabbed by a hungry crocodile. But luckily for the elephant, the croc had bitten off considerably more than he could chew – and the astonished bull elephant was able to whip his trunk out of the reptile’s jaws with no more than a few cuts to remember the encounter by. The remarkable scene was captured by amateur wildlife photographer Ian Salisbury, 62, at the South Luangwa National park in Zambia. Mr Salisbury, general manager of a safari lodge, said: ‘One of our guests had seen a crocodile try a similar attack on another elephant earlier in the day so, camera in hand, I went to see if there might be a repeat performance. ‘The ac

U.S. remains determined Iran will not acquire nuclear weapon

Image
U.S. Secretary of State John Kerry at the end of the Iranian nuclear talks in Geneva.  U.S. Secretary of State John Kerry said Sunday that the United States is determined to ensure that Iran does not acquire a nuclear weapon following talks in Geneva that failed to reach an agreement on Tehran’s nuclear program. “We came to Geneva determined to make certain that Iran does not acquire a nuclear weapon. That remains our goal,” Kerry was quoted as saying by Agence France-Presse, after three days of intensive negotiations between world powers and Iran. While no deal was reached, Kerry insisted negotiators had “made significant progress,” in Geneva. “There's no question in my mind that we are closer now (to a deal) as we leave Geneva,” he said, according to AFP. Kerry’s comment came after EU diplomatic chief Catherine Ashton said the talks would reconvene on Nov. 20. Iranian

ZIARA YA RAIS KIKWETE WILAYANI MBOGWE, BARABARA YAPANDISHWA DARAJA

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu yenye urefu wakilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (aliyeshika mkasi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu yenye urefu wa kilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita. Kulia kwa Rais ni Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na kushoto kwa Rais ni Mbunge wa Bukombe Mhe. Kulikoyela Kahigi kutoka CHADEMA. Wengine ni baadhi ya Mawaziri na Viongozi wa Kitaifa na kutoka mkoa wa Geita waliokuwepo katika sherehe hizo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kiongozi wa Kikundi cha Mchelemchele kilichotumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa

Ziara ya Rais Geita: Afisa Usalama feki anaswa akimsogelea Kikwete

Image
 Katika hali ambayo inazidisha mashaka juu ya Usalama wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Mtu mmoja ambaye hajatambulika nia yake, amefanikiwa kujipenyeza katika msafara wa Rais na kujifanya miongoni mwa walinzi wa msafara.  Mtu huyo ambaye baada ya kunaswa amekutwa na vitambulisho bandia, alifanikiwa kujipenyeza katika mkutano wa kwanza wa ziara ya Rais wilayani Bukombe mkoani Geita, ambapo kulikuwa na sherehe za uzinduzi wa barabara ya Lami ya Bwanga hadi Uyovu Lunzewe yenye urefu wa km 45 ambayo ujenzi wake ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete siku hiyo Novemba 9 mwaka huu. Akiwa kama afisa usalama alikuwa akizuia baadhi ya watu kufika maeneo maalum yaliyoandaliwa mahususi kwa ulinzi, lakini pia alikuwa akipitapita kukagua baadhi wa watu wakiwamo na waandishi wa habari huku akiwapanga namna ya kukaa vyema kabla msafara wa Rais kuwasili eneo la tukio. Katika

DCI ROBERT MANUMBA AMESTAAFU KWA MUJIBU WA SHERIA

Image
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI DAR ES SALAAM NOVEMBER 11, 2013.     Jeshi la Polisi nchini linapenda kuutaarifu umma kwamba aliyekuwa    Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) Robert Manumba amefikia umri wa kustaafu kisheria    ambao ni miaka sitini (60) katika utendani wake wa kazi. Aidha, katika utumishi wake ndani ya Jeshi la Polisi amefanya kazi katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Chumba cha kupokea mashtaka kuanzia mwaka (1976 – 1977), mwendesha mashtaka wilaya ya Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma, 1977 – 1984), Mkufunzi katika chuo cha polisi Dar es salaam, (1984 – 1987), Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Magomeni na Kinondoni na Naibu Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Dar es salaam     (1987 – 1993), Pia, amewahi kuwa Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Arusha, ( 1993 – 1995),    Mkufunzi mkuu wa Chuo Cha Polisi Moshi ( 1995 – 1996), Mkuu wa kitengo cha Fraud makao makuu ya upelelezi, (1996 – 1997), Mkuu wa kitengo cha usalama wa nchi, intelijensi