UCHEKI MJENGO MPYAAA WA DIAMOND ANAOUPOROMOSHA .. NI KUFURU TUPU

dimondi2
Diamond hivi sasa yupo nchini Nigeria kwa ajili ya video zake mbili akiwa na Iyanya na Davido lakini bado yupo karibu na mashabiki wake kupitia mitandao ya kijamii. Kutana na post hii kutoka kwa Diamond kwenye ukurasa wake wa facebook inayohusisha nyumba yake.
d
1452029_647117175310100_1394452883_n

Comments

Popular posts from this blog