Posts

RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WASANII IKULU

Image
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Msanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhavile, maarufu kwa jina la Joti katika mkutano kati ya Rais John Magufuli na Wasanii uliofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Februari 18, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Majaliwa azungumza na wadau wa michezo nchini‏

Image
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wadau wa michezo nchini kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Februari 17, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akipata maelezo kuhusu michoro ya viwanja vya ndani vinavyotarajiwa kujengwa pembeni mwa uwanja wa taifa jijini Dar es salaam kutoka wa Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ( watatu kulshoto) na katibu Mkuu wake Profesa Elisante Ole Gabriel (wapili kushoto) wakati alipozungumza na wadau wa michezo kwenye uwanja wa taifa Februari 17, 2016.  Baadhi ya wapenzi na viongozi wa michezo nchini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza na wadau wa michezo nchini kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Februari 17, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na wadau wa michezo nchini baada ya kuzungumza nao kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Februari 17, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoj

BREAKING NEWS : PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAPA

Image
BOFYA HAPA AU BOFYA HAP A

WAZIRI KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA POLISI, AWATAKA WAPANGE MIKAKATI MIPYA YA KUPAMBANA NA WAHALIFU NCHINI

Image
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akizungumza na Maafisa Wandamizi wa Jeshi la Polisi nchini kabla ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa Jeshi hilo, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga aliwataka Maafisa hao kutoka Mikoa yote nchini kufanya kazi kwa kasi inayoandana na Serikali ya Awamu ya Tano, na pia wapange mikakati mipya ya kupambana na uhalifu nchini. Watatu kulia meza kuu ni Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akitoa hotuba yake kwa Maafisa Waandamizi wa Jeshi lake, kabla ya kumkaribisha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) kuzungumza na maafisa hao kutoka mikoa yote nchini na kuufungua Mkutano wao wa Mwaka unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga ka

SIMBA SPORT CLUB WAKUSOGEZEA KARIBU JEZI NA VIFAA VYA SIMBA MAHALI ULIPO

Image
Upatikanaji wa jezi na vifaa vya Simba wasogezwa karibu Klabu ya Simba leo imeanza rasmi utekelezaji wa kampeni yake ya uuzwaji wa jezi pamoja na vifaa mbalimbali venye chapa ya Simba, ikiwa na dhumuni la kukuza mapato kwa timu kwa kupitia wanachama na wadau wa Simba kununua bidhaa mbalimbali zenye chapa ya Simba, kupeleka huduma ya vifaa vinavyotolewa na duka rasmi la Simba karibu zaidi na wanachama na wapenzi wa Simba. Katika zoezi hili ambalo utaweza kununua jezi kwa Tsh. 15, 000/= ambapo yoyote atakaenunua atapata picha kubwa ya timu bure. Kwenye mechi na watani wa jadi wetu Yanga siku ya Jumamosi, kikosi cha Simba kitavaa jezi nyeupe ambazo zitakuwa zikipatikana kwenye duka la Simba linalotembea katika mitaa mbalimbali yaani Mobile Shop. Akizungumza na Simbasports.co.tz leo asubuhi wakati zoezi hili lilipoanza Rais wa Simba Evans Aveva alisema “ leo tunaanza rasmi zoezi letu la kutembea mtaa kwa mtaa kwenye kampeni yetu ya uuzwaji wa jezi pamoja na vifaa mbalimbali

MWILI WA MAREHEMU JOHN WALKER WAAGWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Image
Mbunge  wa Jimbo la Mbeya  Mjini  Mh. Joseph Mbilinyi, (kulia) akiwa amebeba jeneza la  marehemu  Michael  Dennis Mhina 'John Walker'   Dar es Salaam wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa la Muhimbili. (Picha na Francis Dande)   Mbunge  wa Jimbo la Mbeya  Mjini  Mh. Joseph Mbilinyi, (kulia) akiwa amebeba jeneza la marehemu  Michael  Dennis Mhina 'John Walker'   Dar es Salaam wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa la Muhimbili.    Baadhi ya waombelezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa msanii wa muziki wa kizazi kipya marehemu,   Michael  Dennis Mhina 'John  Walker' kwa ya kuusafirisha kwa maziko mkoani Tanga, Dar es Salaam.  Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa msanii wa muziki wa kizazi kipya,  Michael  Dennis Mhina 'John Walker'.   Wasanii wakitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililokuwa na mwili wa msanii wa Bongo Fleva marehemu John Walker. Wengi waishindwa kujizuia wakati wa kutoa heshima za mwi

Mume amfunga mkewe mtini kisa kutopata mimba

Image
Jeni Marwa akiwa amefungwa kamba mtini na mumewe. Stori: Gregory Nyankaira, UWAZI MARA: Nyango Hakimu mwenye umri wa miaka 37, anatafutwa na polisi akidaiwa kumfunga mkewe Jeni Marwa (23) kwenye mti na kumpa kichapo kilichomsababishia majeraha kwa madai ya kutoshika ujauzito kwenye ndoa yao. Tukio hilo lilitokea jioni ya Februari 6, mwaka huu katika Kijiji cha Singu, kilichopo Kata ya Kukirango wilayani Butiama mkoani Mara, ambako mwanamke huyo alipigwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake, akidaiwa kutokuwa na faida nyumbani hapo. Mashuhuda wa tukio hilo wamesema, baada ya mumewe kumfunga mkewe kamba mikononi na miguuni kabla ya kumfunga kwenye mti na kuanza kumchapa, mwanamke huyo alipiga mayowe ya kuomba msaada ndipo watu walifika na kumkuta akitokwa damu nyingi baada ya kukatwa na kisu mguuni. Huku mumewe akiwa amekimbilia kusikojulikana, wasamaria wema walimchukua na kumpeleka Kituo cha Polisi cha Kiabakari ambako alipewa fomu ya matibabu (PF3) kabla ya

BREAKING NEWS:Waziri wa elimu amfuta kazi Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo

Image
Waziri wa Elimu Sayansi, Teknolojia na ufundi, Prof Joyce Ndalichako. Waziri wa Elimu Sayansi, Teknolojia na ufundi, Prof Joyce Ndalichako amesitisha mkataba wa kazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo  George Nyatenga.    Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo  George Nyatenga. Pia amewasimamisha kazi wakurugezi watatu wa Bodi hiyo ambao ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Yusufu Kisare, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo Juma Chagonja na Mkurugenzi wa Upangaji na Utoaji Mikopo. Prof Ndalichako  amemwagiza Mkaguzi wa ndani Mkuu wa Serikali ahakiki maelezo na Nyaraka zilizowasiliwa na Bodi ya Mikopo pamoja na kufanya ukaguzi maalum kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi sasa. Mesothelioma Survival Rates About 40 percent of patients with mesothelioma survive the first year after diagnosis. That survival rate depends on many factors, including age, cancer stage,

MSANII WA BONGOFLEVA JONI WOKA AFARIKI DUNIA

Image
Maregehemu Michael Denis a.k.a Joni Woka enzi za uhai wake Akiongea kwa simu kaka wa marehemu Omari Milay, amesema walipigiwa simu alfajiri ya leo na kujulishwa kuwa Michael Denis  aliyejizolea umaarufu mkubwa kwa jina la Joni Woka amefariki katika hospitali ya Muhimbili, alipokuwa akipata matibabu ya ajali aliyopata siku ya jana. Michael Denis a.k.a Joni Woka alipata ajali ya kugongwa na kitu kizito kwenye paji la uso, alipokuwa garage maeneo ya Sinza akitengeneza gari yake, kwa bahati mbaya mtungi wa gesi ukalipuka na moja ya vipande vya chuma chenye ncha kali kikamchoma kichwani, Tarifa za awali za madaktari zilisema wanahofia kipande hiko kimefika mbali kiasi kwamba damu inamwagikia kwenye ubongo. Mipango ya mazishi familia imesema inakutana kujadili na mara itakapokamilika watajulisha watu nini kinaendelea. Msanii John Woka ambaye alikuwa kwenye kundi la Watukutu Family, alijipatia umaarufu kwa nyimbo zake za Sophia, baby gal na nyinginezo, ambazo aliziimba k

Aliyejipachika cheo cha usalama wa taifa akiona!

Image
Wakimfunga kamba. S tori: Makongoro Oging’ na Issa Mnally, UWAZI DAR ES SALAAM: Ujanja wa mjini! Jamaa aliyejipachika cheo kuwa yeye ni Afisa Usalama wa Taifa, Ofisi ya Waziri Mkuu akijitambulisha kwa jina moja la Manase amekiona cha moto baada ya kunaswa na kufungwa kamba mwilini na mtu aliyesema ni daktari wa Kliniki ya Head 2 ya jijini Dar, Fortdas Fidell. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumatano ya Februari 10, mwaka huu katika kliniki hiyo inayojishughulisha na tiba ya mifupa na mazoezi iliyopo Mtaa wa Ununio, Kata ya Kunduchi wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo risasi sita zilipigwa hewani na mtu aitwaye Mashaka Ndonde ili kumdhibiti mtuhumiwa huyo. UWAZI LAFIKA ENEO LA TUKIO Baada ya kusikika kwa milio ya risasi, baadhi ya watu walilipigia simu Uwazi na kuhabarisha tukio hilo ambapo waandishi wetu walifika mara moja eneo hilo na kuweza kukutana na Dk. Fidell ambaye alisimulia kisa cha kufyatuliwa kwa risasi na kushikiliwa kwa ‘afisa usalama’ huyo

MAJALIWA AKABIDHIWA NAKALA YAKE YA FOMU YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Image
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea nakala yake ya  fomu ya ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma kutoka kwa Kamishina wa Maadili, Jaji Mstaafu Salome  Kaganda ambayo aliitia saini na kuipeleka kwenye Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambako ilitiwa saini na kamishina huyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambao walikwenda ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 15, 2016 kumpatia nakala yake  ya fomu ya ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma  ambayo aliitia saini  na kuipeleka kwenye Secretarieti  hiyo ambako ilitiwa saini na Kamishina wa Maadili, Jaji Mstaafu Salome Kaganda (wapili kulia).Kushoto ni Katibu wa Idara ya Viongozi Watumishi wa Umma, Secretarieti ya Maadili , John Kaole na kulia ni Katibu wa Idara ya Viongozi wa Siasa, Secret

WATUHUMIWA WALIOKUTUNGUA HELKOPTA SERENGETI WATIWA MBARONI.

Image
Njile Gonga (28) Huyu ndiye Jangili anadaiwa kutungua helkopta katika pori la Akiba la Maswa lililopo katika Wilaya ya Meatu Mkoani, ambapo katika tukio hilo rubani wa helkopta hiyo Rodgers Gower (37) raia wa uingereza huku Mwenzake Nicholas Beste (43) raia wa Afrika Kusini akinususrika kifo.   Iddy Mashaka (49) ambaye ndiye alikuwa Mkuu wa kitengo cha Interejensia katika hifadhi ya taifa Ngorongoro, ambaye anadaiwa kuwa kiunganishi Mkuu wa kutekeleza tukio la kutunguliwa kwa helkpta hiyo.  Hali ya ulinzi na usalama ilivyokuwa imehimarsihwa mahakamani pamoja na kituo cha polisi Bariadi leo hii.  Watuhumiwa wakiwa ndani ya gari la polisi, baada ya kufikishwa kituo cha polisi Bariadi wakitokea wilayani Meatu kwa ajili ya kufikishwa mahakamani.

IMPORTANT OF HAVING SEX

1 . Having sex relieves headaches. Every time you make love , it releases the tension in the veins of the brain. 2 . A lot of sex can clear the stuffy nose. Sex is a natural antihistamine . It helps to fight against asthma and spring allergies . 3 . Making love is a spectacular beauty treatment. Scientists have discovered that when a woman has sex , it produces a large amount of estrogen that gives shine and softness to hair. 4 . Sex is one of the safest sports. Make love often strengthens the muscles of male and female body. It's more enjoyable than swimming 20 laps in the pool and there is not need special shoes! 5 . Make love slowly , smoothly and in a relaxed way reduces the chances of suffering dermatitis, skin rashes and acne . The sweat produced cleanses the pores and makes your skin glow . 6 . Lovemaking can burn all the calories you have accumulated during the romantic dinner before bedtime. 7 . Sex is a divine remedy for depression. It releases endorphins in

Bifu Za Mastaa Bongo… Zilizoacha Historia

Image
Makala: Chande Abdallah Ukiacha bifu nzito zilizotikisa dunia mpaka kusababisha vifo vya mastaa wakubwa kama Notorious BIG na Tupac, zifuatazo ni orodha ya bifu zilizotikisa kwenye tasnia ya muziki Kibongobongo na kuacha historia kubwa kiasi kwamba hata mastaa hao walivyopatana mashabiki wao walibaki vinywa wazi kwa kutoamini kilichotokea. Ali ChockVs Asha Baraka Ali Chock Asha Baraka Bifu lao lilianza baada ya kuhitilafiana kwenye uhamisho wa mpiga gitaa wa Twanga Pepeta, Shakashia ambapo Asha Baraka akaanza kudai gari alilomnunulia Chocky na kufikishana mahakamani ambapo bifu lao likazidi kushika kasi kiasi cha kuapiana kutozikana. Hata hivyo, wawili hawa walimaliza bifu lao na kukumbatiana ndani ya Studio za Global TV Online zilizopo Bamaga-Mwenge. Dudu Baya Vs Mr Nice Dudu Baya Mr Nice Wawili hawa walionesha kuwa na bifu zito baada ya Dudu Baya kumtwanga makonde Mr Nice mbele ya mashabiki wake na kufikishana mahakamani ambapo Dudu baya aliswekwa rumande. H