Posts

MCHUNGAJI GWAJIMA AONJA JOTO LA KUMTUKANA PENGO...SOMA HAPA

Image
  Kanisa lisilo rasmi la Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu katika viwanja vya Tanganyika Packers mtaa wa Kawe Ukwamani Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es salaam limeamuriwa kuondoka mara moja na kuacha eneo hilo wazi kwa ajili ya maendeleo ya watu wa Kawe. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu na kusababisha usumbufu na kero kubwa za makelele kwa wakazi wa maeneo hayo. Katika Barua ya pili iliosainiwa na Meneja wa Mkoa wa Kinondoni wa shirika la nyumba la Taifa mnamo tarehe 9/03/2015 baada ya ile ya kwanza iliyotolewa tarehe 19/02/2015 imesisitiza kwamba pamoja na kutambuliwa umuhimu wa kanisa hilo kuendesha shughuli zake lakini shirika hilo halitaweza kutoa ruhusa kwa kanisa hilo kuendelea kufanya mahubiri katika viwanja hivyo kwani shirika hilo limeshaanza kutumia Viwanja hivyo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa makazi nk. Bwn Masika alitoa siku 30 tu ambazo leo 7/04/2

How To Tell What a Man Will Be Like in Bed by the Way He Eats

Image
Good news ladies! Now you have a chance to find out a man’s sex habits before having a night of love with him. These two processes have a lot in common. You know that men love to eat and, of course, they love having sex. And they satisfy their needs in the same way. So, what do you need to pay attention to?   1. He’s eating in a rush    It’s not hard to imagine his behaviour in bed. He doesn’t have time for any meaningful prelude (foreplay), and he’s not really interested in long-term relations. Such a man just wants to satisfy HIS sexual desires fast and that’s all.   2. He isn’t a picky eater    When he’s hungry – it doesn’t matter for him what to eat and where. The same in bed- he’ll satisfy his sexual desires with the first woman he has a chance to bed. But, on the other hand, he won’t think that sex is bad and won’t tell you this, because he isn’t a picky guy.   3. Well-mannered eater    He is a gentleman, he chooses what to eat and what not

SIX MEN ALLEGED TO HAVE PARTICIPATED IN GARISSA UNIVERSITY ATTACK WERE TUESDAY ARRAIGNED IN COURT

Image
By Fred Makana NAIROBI: Six men alleged to have participated in the Garissa University attack were Tuesday arraigned in court. They appeared in court alongside 12 others also said to have been committed terrorism-related crimes. The Garissa University College attack suspects were Mohamed Surow, Osman Dakane, Mohamed Abikar, Hassan Aden, Sahal Hussein and Tanzanian national Rashid Charles Mberesero alias Rehani Dida. Mberesero was later taken to Garissa by Anti-Terrorism Police Unit (ATPU) detectives for interrogation. The six were brought to Milimani Law Courts shortly after 12pm under heavy security and spent close to an hour in the basement before they were arraigned in court where the prosecution requested that police detain them for 30 days. Milimani Resident Magistrate Benson Nzakyo remanded Surow, Dakane, Abikar, Aden and Hussein for 30 days in various police stations pending investigations into the attack in which 148 people were killed. "After

WASTARA AANDIKA HISTORIA KWA ALIKIBA!

Image
Waandishi Wetu AJABU! Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma usiku wa kuamkia Jumatatu aliandika historia ya aina yake ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, Dar kwa kuonesha shoo ya nguvu jukwaani hivyo kuwafanya mashabiki kibao waliohudhuria ukumbini hapo kupigwa butwaa wasiamini kama ni yeye. Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma akicheza kwa hisia. Katika shoo hiyo ya Sikukuu ya Pasaka iliyotambulika kwa jina la Mwana Dar Live, wasanii, Msaga Sumu, Ali Kiba na Isha Mashauzi walitumbuiza, lakini Wastara alihudhuria maalum kwa ajili ya Ali Kiba. ATINGA NA TIMU KIBA Wakati jukwaani akiimba msanii wa muziki wa Vigodoro, Msaga Sumu, kundi kubwa lililojulikana kama ‘Team Kiba’ likiwa na watu zaidi ya kumi lilitinga ukumbini hapo likiongozwa na Ali Kiba mwenyewe huku Wastara akiwa miongoni mwao. AJIWEKA KARIBU NA DADA KIBA Katika hali ya kushangaza, punde baada ya kundi hilo kutinga ukumbini hapo, Ali Kiba alipanda jukwaani na kumuacha

MREMBO MAARUFU BONGO AFIA NCHINI CHINA!!

Image
Imelda Mtema Mrembo Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Rehema Mohamed (30), anadaiwa kufia katika Mji wa Shanghai nchini China wiki mbili zilizopita baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi mauti yalipomfika huku ndugu zake wakichanganyikiwa kutokana na taarifa za kifo hicho. Mwanadada Rehema Mohamed anayedaiwa kufia China. Habari zaidi kutoka kwa aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rehema nchini China, (jina lake linahifadhiwa) zinasema kuwa wamekuwa wakihangaika ili kupata fedha za kusafirisha mwili huo lakini imekuwa ngumu kupatikana. Chanzo hicho kilisema kuwa kimefanya mawasiliano na baadhi ya ndugu wa marehemu ambao nao wanajikusanya kwa ajili ya kupata fedha hizo ili kuurudisha mwili nyumbani Dar kwa mazishi. “Yaani huku tunapata tabu sana na tuna uchungu kwa kuwa fedha zilikuwa zikihitajika nyingi sana lakini tunashukuru taratibu zinaenda sawa karibu tutaleta mwili nyumbani,” alisema rafiki huyo. Mmoja wa ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini,

SHILOLE AFANYA UCHAFU STEJINI!!..SHUHUDIA MWENYEWE

Image
Mwanadada Shilole 'Shishi Baby' akionyesha mbwembwe zake stejini na mmoja wa mashabiki wake. Chande Abdallah STAA wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zuwena Mohamed 'Shilole' juzikati aliwatega vidume baada ya kufanya utundu wa aina yake kwa kuwaita jukwaani na kucheza nao wakati akipafomu kwenye shoo maalum ya Pasaka iliyodhaminiwa na Vodacom mwishoni mwa wiki.Tukio hilo lilinaswa sawia na paparazi wetu maeneo ya Coco Beach jijini Dar es Salaam baada ya Shilole kupandwa na ‘mzuka’ wakati akicheza na madensa wake waliovaa vibukta vifupi ambapo aliwaomba wanaume kadhaa wapande jukwaani wacheze naye kwa staili za ‘hatari’ kwani yeye alilala chini na mwanaume akaja kwa juu, hali iliyozua miguno kwa umati uliohudhuria. Shilole akizidi kupagawisha mashabiki wake. “Jamani hebu mwangalieni Shilole vitendo anavyovifanya pale jukwaani yaani dah, anajua kabisa hii shoo hata watoto wadogo wapo, hapo sijui anawafundisha nini, mimi sijapenda kabisa,” alisikika akilalamik

LULU AONGEA UKWELI KUHUSU PIGO KUBWA LILILOMPATA JUU YA KIFO CHA MAREHEMU STEVEN KANUMBA

Image
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa. “Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake. Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven Kanumba kwani leo tarehe 7 mwezi huu ni siku ya kumbukumbu cha kifo cha staa huyo wa Bongo Movies ambae alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Lulu. Japo kuna baadhi ya watu amabo sio wastaarabu wamekua wakimshabuliaLulu kwa maneno makali, lakini kwa maneneo hayo ya Lulu nadhani wenye busara wamekuelewa.

ZARI AFUNGUKA KUHUSU UVUMI KUWA HANA MAELEWANO NA BABA WA WATOTO WAKE

Image
Zarinah “The Boss Lady” Tlale a.k.a mama kijacho au kama anavyofahamika kwa kifupi Zari, amekanusha uvumi ulioenea kuwa yeye na mme wake wa zamani ambaye ni baba wa watoto wake watatu, Ivan Ssemwanga kwa sasa hawazungumzi kutokana na kuwa kwenye mtafaruku mkubwa. “Nina watoto watatu wa kiume wa kwanza ana miaka 12 wa pili 10 na mwingine ana miaka 8 wako poa na nina jivunia kuwa mama.” Alisema Zari kupitia E-Newz ya EATV. (Kuhusu baba wa wanaye watatu) “Hatuko pamoja lakini tuko poa kwasababu kuna vitu vingine vinaendelea kati yetu wakiwemo watoto na mambo mengine mengi kwahiyo tuko poa. Unajua jinsi watu na vyombo vya habari wanavyochukulia ni kama tuna ugomvi na hatuzungumzi lakini sisi tuko poa kabisa.” Zari pia amezungumzia kuhusu uhusiano wake na Diamond kwa kusema kuwa mapenzi yao ni ya wao wawili na sio ya watu wengine hivyo hawapendani ili kuwafurahisha wengine. “Tuko poa, tunapendana lakini hakuna info zaidi. Sitaki kutoa taarifa zaidi ambayo tunaita ‘T.M.

THE 8 MOST ROMANTIC WAYS TO SAY "I love You"

Image
We have already celebrated St. Valentine’s Day this year, but this doesn’t mean we shouldn’t bring romance to our relationships anymore. Love is an amazing feeling and there is nothing embarrassing about showing it as much as you want. Saying “I love you” is great, but sometimes words are just words and nothing more. If you really love your partner you need to show your affection not only verbally, you also need to demonstrate your feelings with your actions and behavior. Our fantasy has no boundaries, so there are a lot of creative yet simple ways to express your love. This article can help you strengthen your relationship, or even bring back that sparkle and romance between you two if needed. It’s not actually hard as you may think, what you need is just the desire to make your significant one happy. So, check the list of the most romantic ways to say “I love you” and show how much you cherish your loved one. 1. Dinner on the roof Everybody loves romantic dinners w

HII NDIO SABABU YA WANAUME WENGI WANAPENDA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA

Image
Wanaume wanapendelea wanawake wenya makalio makubwa Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ? Katika majarida mengi umewaona wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya . Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma. Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent , chuo kikuu cha Texas, na chuo kikuu cha American University kilichoko mjini Beirut Wanaume wanakisia kuwa mwanamke mwenye makalio makubwa anaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi ya mwanamke ambaye hana makalio makubwa. Hata hivyo kinachowavutia wanaume si makalio haswa bali ni kupinda kwa uti wa mgongo unaosababisha tako kuonekana zaidi. Kim Kardashian Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi. Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI

Image
Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume.  Lakini kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume wengi duniani. Sehemu kubwa ya malalamiko ya wanaume katika sakata hili yanagusa zaidi maeneo matatu ambayo ni KUKOSA MSISIMKO, KUSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOSA KABISA NGUVU , huku kufika kileleni mapema kukihusishwa pia kama pacha wa janga hili ambalo linawasumbua zaidi wanaume, ingawa na wanawake wanakabiliwa na sehemu ndogo ya tatizo hili. Hata hivyo uchunguzi wa hivi karibuni uliowahusisha wanaume wanaofika kliniki au kupata tiba za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume umeonesha kuwa, sio wanaume wengi wenye sababu za kibaiolojia zinazowafanya wakose nguvu za kiume, isipokuwa wengi wao huwa na matatizo ya kisaikolojia zaidi ambayo wahusika wanaweza

TAZAMA TAMASHA LA PASAKA LILIVYOFANA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR!

Image
Malkia wa muziki wa Injili Rose Muhando akienda sawa Mwenyekiti wa kwaya ya vijana Kijitonyama Shedo a.k.a MC Foma Foma hapa alinyanyua mikono baada ya vyombo vya muziki kukata wakati Rose Muhando akicheza. Mwandishi wetu aliwakuta Munishi na Upendo Nkone wakiwa sehemu moja…. Kuna Siasa Katika Tamasha la Pasaka?,Siku ya Jana Katika Tamasha la Pasaka wananchi walitaarifiwa kuwa Mwanamuziki wa Injili Munishi aliyeimba wimbo wa “Malebo”. Pamoja na Makelele ya watu kudai Munishi apande jukwaani jambo hilo lilipotezewa mazima mazima. Mpaka tamasha linaisha saa 3 Usiku Mwanamuziki wa Injili aliyekuwa Backstage alikuwa ni Munishi Pekee. Mwandishi wetu alitaka kujua je! kutokuimba kwake kunatokana na ugomvi wake na CCM na tukiwa tunajua fika Msama ni Supporter wa Chama Tawala? Pengine kuimba kwake siku ya jana kungemuharibia Msama pengine Munishi angesimama na Kuongea maneno yake against CCM mbele ya Mhe. Membe kungechafua hali ya hewa uwanjani nahisi. Ugomvi wa