Posts

ZITAMBUE DALILI HATARI ZINAZOASHIRIA KWAMBA UHUSIANO WENU UMEFIKA UKINGONI

Image
1. Kama mwenza wako hakupi kipaumbele katika mambo yanayotokea, pengine anaumwa lakini huambiwi chochote unakuja kusikia hayo kutoka kwa marafiki, anaandika kwenye mitandao ya kijamii, ama ndugu wengine! Anza kuchukua hatua. 2.Kama Wewe/mpenzi wako  anaandaa malengo bila kukushirikisha kuna dalili ya mahusionao yenu kuvunjika kwa sababu malengo ni kwaajili ya baadae na ukiona malengo yako hayamuhusu mwenza wako basi kuna shida. 3.Kama hamna furaha tena kama kipindi kile mlipokuwa mnaanza mapenzi yenu, kama hakuna tena utani na vitu vingine vinavyopelekea furaha baina yenu basi kuna hatari ya mahusiano yanakaribia kuvunjika 4.Unakuwa na furaha zaidi ukiwa na rafiki wa mpenzi wako mnapokuwa mnaongea, kucheza, utani nk kuliko mwenza wako. Au mpenzi wako anafuraha zaidi akiwa na marafiki zako kuliko wewe anza kuwa makini. 5.Kama wazo la kuendelea kuwa pamoja linaondoka kichwani kwako kutokana na sababu moja amanyingine kuna uwezekano wa mahusiano hayo kuelekea mwishon

ZARI NA DIAMOND MAPENZI MOTOMOTO,MAMA DIAMOND AMPOKEA VIZURI MKWE WAKE MPYA ANGALIA PICHA HUKO SOUTH AFRICA

Image
  PICHA ZAIDI BOFYA HAPA>>>

SIMBA SC YAICHAPA YANGA 2-0 MTANI JEMBE

Image
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akiwatoka mabeki wa Yanga SC, Kevin Yondan aliyelala chini na Juma Abdul  Na BIN ZUBERY SIMBA SC imeendeleza ubabe wake kwa mahasimu wao, Yanga SC katika mechi za Nani Mtani Jembe, baada ya jioni hii kuichapa mabao 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Desemba mwaka jana, Simba iliichapa Yanga SC mabao 3-1 katika mechi ya Mtani Jembe, inayoandaliwa na wadhamini wa timu hizo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia ya Kilimanjaro. Katika mchezo wa leo, hadi mapumziko, Simba SC ilikuwa tayari inaongoza kwa mabao hayo mawili, yaliyotiwa kimiani na kiungo Awadh Juma na mshambuliaji Elias Maguri. Awadh Juma alifunga bao la kwanza baada ya kuanzishiwa mpira wa adhabu uliopigwa na Emmanuel Okwi dakika ya 30, umbali wa mita 23. Elias Maguri aliifungia Simba SC bao la pili dakika ya 42 akimalizia mpira uliorudi baada ya kugonga mwamba kufuatia shuti la Mganda, Simon Sserunkuma. Kiungo wa Yanga SC, Mnyarwanda Mb

MISS WORLD TANZANIA WAZIDI KUANDIKA HISTORIA

Image
Watanzania wameamua kwamba tukiamua tunaweza, good news kutoka London Uingereza, ambako yanafanyika mashindano ya Miss World mwaka 2014. Happiness Watimanywa, mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano hayo ameshare na sisi taarifa nyingine nzuri kupitia ukurasa wake wa Instagram. Happiness kaandika hivi;  “ Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika. #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu “– @ happinesswatimanywa Zoezi la upigaji wa Kura litasitishwa leo December 14, jioni ambapo Fainali hizo zitakuwa zinafanyika London, Uingereza. Unaweza kuendelea kumpigia kura mshiriki huyo ili arudi na Taji la Miss World 2014.

Faida za kiafya za kunywa maji ya moto

Image
NJIA SITA ZA KUNYWA MAJI YA MOTO ZINAZOTIBU MWILI WAKO. Kunywa kikombe kimoja cha maji ya moto kila asubuhi inaweza kukutibu mwili wako kwa kusaidia umeng’enywaji wa chakula na kuzuia kuzeeka mapema kabla ya wakati. Wengi wetu huianza asubuhi vyema kwa kikombe safi cha kawaha ya moto au chai ya moto kwa lengo la kuuchangamsha miili yetu baada ya kutoka kitandani. Pale tunakunywa maji, basi wengi wetu hupendelea kunywa ya baridi, lakini kutokana na watalaam wa afya wanavyosema,  tunafanya makosa kufanya hivyo. Mara nyingi unywaji wa maji moto au uvuguvugu, hususani majira ya asubuhi, inasaidia kuiponya miili yetu na kuitibu, kwa kusaidia kuongeza nguvu katika mmeng’enyo wa chakula ma kupunguza taka mwili ambazo zinaweza kuzuia kinga zetu kuwa katika hali yake nzuri ya mfumo sahihi. “matabibu wanasema na kushauri kunywa maji moto ama uvuguvugu nyakati za asubuhi, kila siku, sambamba na mchanyanyo wa maji ya limao, au chai ambayo haina madhara kwa mwili” anase

Vyakula 10 vinavyoongeza uwezo katika tendo la ndoa

Image
Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume na kuacha idadi ya wanawake wanaokabiliwa na tatizo hilo kwa mujibu wa uchunguzi kubaki na asilimia 13. Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili. Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina kumi ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo: PILIPILI Pilipili zilizocheshwa zimetajwa kuwa na uwezo wa kusaidia msukumo wa usambazaji damu mwilini, ambao kwa kiasi kikub

Jinsi ya kudumisha uzito wa kawaida wenye afya

Image
Kudumisha uzito wa mwili bora unakusaidia wewe kutokana na hatari Unapaswa kufahamu ya kwamba unakula zaidi kama unazindisha kulingana na vile mwili wako unavyohitaji. • Unapokula zaidi na haufanyi aina yeyote ya mazoezi ya kujenga mwili, unaweza kupata uzito au unene mwingi kupita kiasi. • Kuishi kwa ile hali ya kuwa na uzito wa mwili vyema, ni muhimu kwako kula chakula bora na kwa kiasi. • Kuna njia muafaka ambazo unaweza kufanya ili kudumisha ule uzito wa mwili ambao unaofaa, kama vile:- - kupunguza jinsi unavyokula mafuta na sukari - kupunguza kiasi cha chakula - kuacha kula tu mradi umeshiba - kuongeza kufanya mazoezi ya mwili • Kudumisha uzito wa mwili bora unakusaidia wewe kutokana na hatari kama vile:- - kuumwa na viungo vya mwili - kupandwa na damu - ugojwa wa sukari - ugojwa wa moyo - ugojwa wa saratani manyandahealthy

madhara ya sabuni za kurudisha ubikra!!

Image
  WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya binadamu.   Kazi hiyo ilifanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati. Alisema kumekuwa na sabuni mbalimbali ikiwamo Kaisiki ambapo wanaoziuza wanadai zimekuwa zikisababisha bikira iliyopotea kurudi kitu ambacho si kweli. "Sabuni hizo zinapunguza tu majimaji yaliyo sehemu za siri za mwanamke jambo ambalo husababisha wakati wa kufanya mapenzi mwanaume kupata ugumu kwenye muingiliano kwa vile mwili unakuwa umekataliwa kutoa maji na hivyo kuleta michubuko kitu ambacho ni hatari hasa wenye maambukizi ya magonjwa," alisema.   Alisema mich

BREAKING NEWS: WAJERUHIWA KATIKA VURUGU DUMILA.

Image
WATU kadhaa wamejeruhiwa katika vurugu zilizotokea jioni hii huko Dumila mkoani Morogoro kati ya wakulima na wafugaji ambapo polisi wameingilia kati na kutumia mabaomu ya machozi kutuliza ghasia hizo.  Chanzo cha vurugu hizo kinadaiwa kuwa ni kukatwa mkono kwa mkulima mmoja aishiye Kijiji cha Mketeni wilayani Kiloasa wakati akibishana na mfugaji ambaye ni kabila la Kimasai kuhusu eneo la kulishia mifugo.  Kufuatia kitendo hicho cha kukatwa mkono, mkulima huyo aliwafuata wenzake na kuwapa taarifa ambapo walikusanyika na kuanzisha vurugu dhidi ya wafugaji wa eneo hilo.Baada ya kuona kuwa bado haitoshi na baadhi ya wafugaji kukimbia, wakulima walimalizia hasira zao katika Barabara ya Morogoro - Dodoma ambapo waliamua kuifunga kwa takribani masaa mawili huku wakichoma matairi Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) waliingilia kati na kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakulima ambao pia walikuwa tayari wamevamia baadhi ya nyumba za kulala wageni zinazomili

DUNIA IMEKWISHA: BINTI AKUTWA AKIFANYA JARIBIO LA KUMLA MTOTO WAKE BAADA YA KUJIFUNGUA!

Image
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Li Zhenghua 24, amekutwa akifanya jaribio la kumla Mtoto wake aliyejifungua siku chache zilizopita, baada ya kumkuta taya yake ikiwa imenasa kuzunguka Mkono wa Mtoto wake.  Tukio hilo la ajabu lilitokea katika Hospitali iliyoko Shenzhen Kusini mwa jimbo la Guangdong, China ambapo mwanamke huyo alifikishwa kujifungua na baadaye wahudumu wa Hospitali kufanya jitihada za kutafuta ndugu zake.  Hata hivyo mwanamke huyo akiwa na siku ya tatu Hospitalini hapo alikutwa na nesi akiwa katika jaribio la kumng’ata mtoto ambapo madaktari walitumia nguvu na kufanikiwa kumuokoa mtoto huyo ambaye tayari alikuwa na jeraha mkononi.

MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA JIJINI DAR LEO

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum liliozunguuka katika uwanja huo leo.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange. Vikosi vya Ulinzi na Usalama vikitoa salamu ya heshma wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lilioandaliwa katika sherehe za kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mri

BILIONEA EMAMI WA NIGERIA AMPATIA TAYO DOLA 350,000/= KAMA BACKUP BAADA YA KUSHINDWA KWENYE SHINDANO LA BBAHOTSHOTS

Image
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255765957698 au email: pharsnyanda@gmail.com .  Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. Mshindi wa pili wa  BBAHotshots, Tayo Folarin   Baada ya East Africa yote kuinua shangwe kubwa siku ya Jumapili Desemba 7 kusherehekea ushindi wa nguvu alioupata Mtanzania   Idris   kwenye  BBAHotshots , kulikuwa na story kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazikuwapendeza watu wengi kwani ilionekana kama baadhi ya watu kama Nigeria hawakuwa na amani kuukosa ushindi huo na kuuona ukija Tanzania. Bilionea  Ayiri Emami Sasa mpya kutoka Nigeria ni kwamba bilionea mmoja hakupendezwa kumuona mwakilishi wao Tayo akiambulia patupu, bilionea huyo  Ayiri Emami  amempatia  Tayo Folarin  pesa ambazo ni zaidi hata ya kiwango ambacho kimetolewa na  BBAHotshots  kwa mshindi wa kwanza.  Tunawafahamu mabilionea wachache k