Posts

ANGALIA PICHA NJIWA MWENYE HIRIZI ATIKISA MUHIMBILI

Image
Njiwa aliyetua kwenye kitanda cha mgonjwa na baada ya muda mgonjwa akafariki. Hofu kubwa ilitanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jumatatu ya wiki iliyopita, baada ya Njiwa mweusi, mwenye miguu myekundu akiwa na hirizi iliyofungwa katika mojawapo ya mabawa yake, kutua katika miguu ya mgonjwa aliyekuwa amelazwa wodi namba tatu, jengo la Mwaisela.Taarifa zilizopatikana kutoka kwa baadhi ya wauguzi wa wodi hiyo ambao hawakutaka majina yao yaandikwe gazetini, walisema tukio hilo lilitokea saa 3.55 asubuhi ambapo njiwa huyo aliingia kupitia dirishani na kwenda kutua mguuni mwa Mwanahawa Ngunda (61) aliyekuwa amelala kitanda namba 7, ambaye anadaiwa kuwa mkazi wa Kimara. Njiwa huyo aliingia dirishani muda mfupi baada ya mgonjwa aliyekuwa jirani na Mwanahawa, aitwaye Fatuma Musa (45) kurejea wodini hapo akitokea kupata vipimo ambapo alisaidiwa na ndugu zake kupanda kitandani kutokana na kuishiwa nguvu. Inadaiwa kuwa baada ya kuingia wodini, njiwa huyo alianza

HOMA YA DENGUE YABISHA HODI MBEYA, MGONJWA ALAZWA HOSPITALI YA MKOA

Image
HATIMAYE ugonjwa wa homa ya  Dengue umeripotiwa kuingia Mkoani Mbeya baada ya kupatikana kwa kesi ya mgonjwa mmoja mwanamke ambaye amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Mwanamke huyo ambaye ni mkazi wa Sae,  Jijini hapa, ambaye hata hivyo hakuwa tayari jina lake liandikwe gazetini  inasemekana alipata ugonjwa huo baada ya kung’atwa na  mbu aina ya Aides alipokuwa akiishi ,  Jijini Dar es salaam. Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Gloria Mbwile, alithibitisha kupokelewa kwa  mgonjwa huyo na kwamba tayari hali yake imeimarika baada ya madaktari kumpatia matibabu baada ya kufikishwa hospitalini hapo. Amesema mgonjwa huyo alifikishwa hospitalini hapo Mei 17  majira ya mchana,  huku akionesha kuwa dalili zote za ugonjwa huo Amesema kutokana na hali hiyo madaktari walianza kuchukua hatua za haraka kwa kuchukua sampuli za vipimo kwa ajili ya kuvipeleka Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi, wakati huo huo wakimtoa katika wodi ya wagonjwa m

HOMA YA DENGUE YABISHA HODI MBEYA, MGONJWA ALAZWA HOSPITALI YA MKOA

Image
HATIMAYE ugonjwa wa homa ya  Dengue umeripotiwa kuingia Mkoani Mbeya baada ya kupatikana kwa kesi ya mgonjwa mmoja mwanamke ambaye amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Mwanamke huyo ambaye ni mkazi wa Sae,  Jijini hapa, ambaye hata hivyo hakuwa tayari jina lake liandikwe gazetini  inasemekana alipata ugonjwa huo baada ya kung’atwa na  mbu aina ya Aides alipokuwa akiishi ,  Jijini Dar es salaam. Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Gloria Mbwile, alithibitisha kupokelewa kwa  mgonjwa huyo na kwamba tayari hali yake imeimarika baada ya madaktari kumpatia matibabu baada ya kufikishwa hospitalini hapo. Amesema mgonjwa huyo alifikishwa hospitalini hapo Mei 17  majira ya mchana,  huku akionesha kuwa dalili zote za ugonjwa huo Amesema kutokana na hali hiyo madaktari walianza kuchukua hatua za haraka kwa kuchukua sampuli za vipimo kwa ajili ya kuvipeleka Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi, wakati huo huo wakimtoa katika wodi ya wagonjwa m

MUUGUZI MWENYE HIV AFUNGWA JELA UGANDA

Image
Muuguzi Namubiru aliambia mahakama hakuwa na nia ya kumuambukiza mtoto huyo HIV Nchini Uganda mahakama imempata na hatia muuguzi mwenye HIV, aliyeshitakiwa kwa kumdunga mtoto mchanga sindano, ambayo awali ilimchoma yeye mwenyewe. Muunguzi huyo, Rosemary Namubiru, mwenye umri wa miaka 64, mwathiriwa wa virusi vya HIV, amefungwa miaka mitatu jela, kwa kile hakimu amekiita, 'uzembe wa weledi'. Hukumu hio imetolewa wiki moja baada ya bunge la Uganda kupitisha muswada, unaomtia hatiani mtu yeyote ambaye kusudi anamuambukiza mtu mwengine virusi vya ukimwi. Mtoto huyo hata hivyo hakuambukizwa virusi vya HIV na wanaharakati wamekosoa mahakama kwa kumfunga jela mwanamke huyo. Bbake mtoto huyo hata hivyo alielezea kufurahishwa na uamuzi wa mahakama. Baba huyo, Daniel Mushabe, amesema kuwa anatumai kesi hiyo itampa motisha Rais Museveni kuidhinisha mswada uliopitishwa na wabunge wa kuwachukulia hatua za kisheria watu wa

YALIYOJIRI KWENYE MSIBA WA DIRECTOR WA FILAMU ADAM KUAMBIANA!

Image
Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii. Waombolezaji wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar. Watangazaji Sauda Mwilima (kulia) na Zamaradi Mketema (kati) wakiwa msibani hapo. Kushoto ni msanii Shamsa Ford. William Mtitu (katikati) akiwa na waombolezaji. Ibada ya kumuombea marehemu ikiendelea. Mwili wa marehemu Adam Kuambiana ukitolewa kwa ajili ya kuagwa. Baadhi ya wasanii baada ya kuwasili Bunju B. Mwili wa marehemu ukiwasili nyumbani Bunju B. Mwili wa marehemu ukishushwa kutoka kwenye gari Bunju B. MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana umeagwa nyumbani kwake Bunju B, Dar ambapo ndugu, jamaa, wanasiasa, marafiki wameshiriki tukio hilo. Kesho asubuhi mwili utapelekwa Viwanja vya Leaders kuagwa na baadaye kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar

KINANA AWASILI SINGIDA

Image
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Ndugu Lazaro Nyalandu katika kijiji cha Kaskazi mkoani Singida,Katibu Mkuu atakuwa kwenye ziara ya siku nane mkoani Singida.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisaidiana na mafundi kupandish bati wakati wa ujenzi wa maabara ya shule ya sekondari Mgando,Singida  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na viongozi wa CCM mkoa wa Singida na Kundi la akina mama wajasiriamali wa Itagata kuelekea kwenye mkutano wa hadhara  baada ya kufungua shina la akina mama hao wa Itagata,Singida.  Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa bwawa la maji la Itagata,Singida.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Itigi mkoani Singida .  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Itigi na kuwaambia  CCM ipo imara na kuwaambia wananchi hao muungano  wa vyama vya siasa unaofahamika  k

RAIS KIKWETE AONGOZA KUAGA MWILI WA MWAKAPUGI DAR

Image
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho na kufariji familia ya  aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini marehemu Arthur Mwakapugi huko nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam jana.Mwakapugi ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 64 alitumikia taifa kwa miaka 30 mfululizo katika nafasi mbalimbali.Marehemu baadaye alisafirishwa kwenda kuzikwa kijijini kwake Ilundo wilaya ya Tukuyu(picha na Freddy Maro).

BREAKIN NEWZZZ:- BALOZI AULIWA NA KIMADA WAKE ONA PICHA YAO HAPA LIVE!!

Image
Balozi wa Togo nchini Nigeria amefariki akiwa na kimada kwenye ajali ya gari. Inasemekana marehemu hao walikuwa wameenda 'Club' kujistarehesha kisha wakati wa kurudi gari walilokuwa wakiendesha likapata ajali ya kuingia baharini

MBATIA ATOA MILIONI 10 KWA PROFESSOR ATAKAYEPATA MAJIBU YOTE SAHIHI YA MTIHANI WA DARASA LA 7 .....ASEMA MTIHANI HUO UMEJAA MADUDU

Image
Changamoto ya mapungufu yaliyotajwa kwenye maandalizi ya vitabu na mitihani ya kumaliza darasa la saba imepelekea mheshimiwa James Mbatia kuwa-challenge maprofesa walioko bungeni kuufanya mtihani wa darasa la saba ambao kwa mujibu wake haufanyiki. Akitoa mchango wake bungeni wakati wa mjadala kuhusu bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka 2014/2015, Mbatia amesema alichukua mtihani wa darasa la saba na kuupeleka kwa professor wa chuo kikuu cha Dar es Salaam na alimrudishia majibu kuwa mtihani ule haufanyiki. “Njoo kwenye mtihani wa hisabati, na mimi napenda sana hisabati. Mheshimiwa spika, nilipeleka mtihani huu kwa professor wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mtihani wa darasa la saba. Professor ameniandikia hapa ‘nimetumia muda wa  saa mbili na dakika tatu kufanya mtihani huu bila kuandika majibu kwenye karatasi na mtihani wenyewe haufanyiki.   "Yaani ni madudu matupu yako kwenye mtihani huu. Nawachallenge wenzangu ambao ni maprofesa n

HAWA NDIO MABINTI WA KENYA WENYE MAKIO NA MAUMBO YENYE MITEGO NCHINI KENYA,JIONEEE MWENYEWE NI SHIDAAAA

Image

WEMA, DIAMOND WACHAFUA HALI YA HEWA

Image
JAMBO limezua jambo. Pamoja na kuanza kwa kishindo safari yake ya kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa ajili ya fainali za kuwania Tuzo za MTV Africa (MAMA), mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na baby wake, Wema Isaac Sepetu wamechafua hali ya hewa, Ijumaa Wikienda lilikuwa linarandaranda ndani ya nyumba. Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz 'akijidai' ndani ya ukumbi wa Club Billicanas. Pamoja na kufanya makamuzi ya kufa mtu kwenye shoo ya kuwatambulisha wasanii wanaowania tuzo hizo kwenye Ukumbi wa Bilicanas uliopo Posta, Dar, Diamond hakumpandisha Wema stejini kama kawaida yake, jambo lililozua kizaazaa. Kuna muda mashabiki wake walipiga kelele wakimtaka Wema apande stejini lakini hakufanya hivyo. Awali Diamond alipanda stejini mishale ya saa 8:00 akipishwa na msanii kutoka Sauz, Jigger ambaye alikuwepo kwa ajili ya kutoa sapoti kwa Mbongo Fleva huyo. Wema Sepetu akihojiwa na mmoja ya watangazaji katika ukumbi wa Billicanas. Msauz huyo alifa